12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

wakati wa jua kali kwa kuomba na kusifu. Hapo hapakuwa na wasiwasi wa kupita kiasi. Kazi<br />

<strong>ya</strong>ke kama ile <strong>ya</strong> Watengenezaji wa kwanza ikaamsha zamiri kuliko kuchocheza tamaa tu.<br />

Katika mwaka 1833 Miller akapokea ruhusa <strong>ya</strong> kuhubiri kwa Kanisa la Baptiste. Hesabu<br />

kubwa <strong>ya</strong> wahuduma wa kanisa lake wakakubali kazi <strong>ya</strong>ke; ilikuwa ni kwa ukubali wao wa<br />

kawaida ambao akaendelea na kazi zake. Akasafiri na kuhubiri bila kukoma, bila kupokea<br />

mali <strong>ya</strong> kutosha kwa ajili <strong>ya</strong> gharama <strong>ya</strong> kusafiri kwa mahali alipoalikwa, hivi kazi <strong>ya</strong>ke kwa<br />

ajili <strong>ya</strong> watu wote ilikuwa kodi nzito kwa mali <strong>ya</strong>ke.<br />

“Nyota Zitaanguka”<br />

Katika mwaka 1833 ishara za mwisho zikaonekana zilizoahidiwa na Mwokozi kama dalili<br />

<strong>ya</strong> kuja kwake kwa mara <strong>ya</strong> pili: “Nyota zitaanguka toka mbinguni.” Na Yoane katika Ufunuo<br />

akasema, “Na nyota za mbinguni zikaanguka juu <strong>ya</strong> dunia kama vile mtini unavyotupa<br />

matunda mabichi <strong>ya</strong>ke, wakati unapotikiswa na upepo mkubwa.” Matayo 24:29; Ufunuo 6:13.<br />

Unabii huu ulipata utimilifu wa kushangaza katika wingi wa vimondo (nyota ipitayo upesi<br />

mbinguni) v<strong>ya</strong> Novemba 13, 1833, ni tamasha <strong>ya</strong> kushangaza <strong>ya</strong> nyota ambayo historia<br />

hulinda kumbukumbu <strong>ya</strong>ke. “Kamwe mvua haikuanguka tena kubwa kuliko vimondo<br />

vilivyoanguka juu <strong>ya</strong> dunia; mashariki, mangaribi, kaskazini na kusini, ilikuwa namna moja.<br />

Katika neno moja, mbinguni pote kulionekana katika mwendo... Tangu saa nane hata asubui,<br />

mbingu kuwa bila mawingu kabisa na kweupe, mwendo wa daima wa miangaza yenye kungaa<br />

<strong>ya</strong> ajabu ikalindwa mbinguni mwote.”<br />

Ilionekana kwamba nyota zote za mbinguni zilipatana kukutana pahali pa karibu pa opeo,<br />

na zilikuwa zikiendelea kurushwa wakati ule ule, kwa upesi wa umeme, kwa pande zote za<br />

upeo wa macho; na huku hazikuisha--maelfu kwa upesi katika njia za maelfu, kama kwamba<br />

ziliumbwa kwa ajili <strong>ya</strong> tukio lile.” “Picha halisi zaidi <strong>ya</strong> mtini kuangusha tini zake<br />

zinapopeperushwa na upepo wa nguvu, ndiyo si vyepesi kueleza tukio hili.”<br />

Katika gazeti la biashara la New York la tarehe 14, Novemba 1833, kukatokea nakala kwa<br />

ajili <strong>ya</strong> jambo hili; “Hakuna mtu wa elimu <strong>ya</strong> elimu zote (philosophe) wala mwalimu aliyetoa<br />

habari wala kuandika tukio, ninawaza, kama lile la jana asubui. Nabii miaka elfu moja mia<br />

nane iliyopita akaitabiri sawasawa, kama tukiwa kwa hatari <strong>ya</strong> kufahamu kwamba kuanguka<br />

kwa nyota hakika ni kuanguka kwa nyota,... katika maana <strong>ya</strong> pekee kwamba inawezekana<br />

kwa kweli.”<br />

Ndivyo ilivyokuwa onyesho la dalili zile za kuja kwake, kuhusu habari ambazo Yesu<br />

aliambia wanafunzi wake: “Wakati munapoona maneno ha<strong>ya</strong> yote, mjue <strong>ya</strong> kuwa yeye ni<br />

karibu, hata kwa milango.” Matayo 24:33. Wengi walioshuhudia kuanguka kwa nyota<br />

walikutazama kama mjumbe wa hukumu ijayo.<br />

Katika mwaka 1840 utimilizo kubwa mwingine wa unabii ukaamsha usikizi wa mahali<br />

pengi. Miaka miwili mbele, Josiah Litch akatangaza habari <strong>ya</strong> Ufunuo 9, kutabiri kuanguka<br />

kwa Ufalme wa Ottoman “Katika A.D. 1840, siku moja katika mwezi wa Agosti.” Siku<br />

135

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!