You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
<strong>ya</strong> kupendeza sana, wala <strong>ya</strong> uvumilivu wa bidii wa roho <strong>ya</strong>ngu kwa ajili <strong>ya</strong> ushirika katika<br />
furaha <strong>ya</strong> waliokombolewa... Aa, kweli <strong>ya</strong> mwanga na utukufu <strong>ya</strong> namna gani iliyotokea! ...<br />
“Swali likaja nyumbani kwangu kwa nguvu nyingi kuhusu habari <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>ngu kwa<br />
ulimwengu, katika maoni <strong>ya</strong> ushuhuda ambao ulihusu roho <strong>ya</strong>ngu mwenyewe.” Hakuweza<br />
lakini kufikiri kwamba ilikuwa wajibu wake kutoa kwa wengine nuru ambayo aliyoipata.<br />
Alitazamia upinzani kwa wasiomcha Mungu, lakini alikuwa na tumaini kwamba Wakristo<br />
wote watafurahi katika tumaini la kukutana na Mwokozi. Alisita kufundisha juu <strong>ya</strong> wokovu<br />
wa utukufu, upesi` kutimilika, isiwe angekuwa katika kosa na kukosesha wengine. Kwa hiyo<br />
akaongozwa kukumbusha na kufikiri kwa uangalifu magumu yote ambayo ilionekana<br />
yenyewe kwa roho <strong>ya</strong>ke. Miaka tano <strong>ya</strong> kujifunza ikamletea kusadikishwa kwa usahihi wa<br />
musimamo wake.<br />
“Wende na Ulihubiri kwa Uiimwengu”<br />
“Wakati nilikuwa katika kazi zangu,” akasema, “nikasikia sauti kukariri katika masikio<br />
<strong>ya</strong>ngu, `Wende na uambie ulimwengu hatari <strong>ya</strong>o.’ Maneno ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong>kitokea daima<br />
kwangu: `Wakati ninapomwambia mwovu; kama mwovu Ee mwovu, hakika utakufa, wala<br />
husemi kuon<strong>ya</strong> mwovu aache njia <strong>ya</strong>ke; mwovu yule atakufa katika uovu wake, lakini damu<br />
<strong>ya</strong>ke nitaitaka mkononi mwako.’ Nikaona kama mwovu angeweza kuonywa, wengi miongoni<br />
mwao wangalitubu; na kama hawakuonywa, damu <strong>ya</strong>o ingeweza kutakwa mkononi<br />
mwangu.” Maneno <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong>kimrudia kwa akili <strong>ya</strong>ke: “Wende na ulihubiri kwa<br />
ulimwenguni; damu <strong>ya</strong>o nitaitaka mkononi mwako.” Akangoja mda wa miaka tisa, mzigo<br />
ulizidi kulemea kwa roho <strong>ya</strong>ke, hata katika mwaka 1831 yeye kwa mara <strong>ya</strong> kwanza kwa wazi<br />
akatoa sababu za imani <strong>ya</strong>ke.<br />
Alikuwa sasa na miaka makumi tano, hakuzoea kusema mbele <strong>ya</strong> watu wengi, lakini kazi<br />
zake zikabarikiwa. Mafundisho <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong>kafuatwa na mwamusho wa dini. Jamaa<br />
kumi na tatu isipokuwa tofauti <strong>ya</strong> watu wawili,zilitubu. Alikuwa akilazimishwa kuhubiri kwa<br />
mahali pengine, na karibu pahali pote wenye zambi walikuwa wakigeuka. Wakristo<br />
waliamshwa kwa utakaso mkubwa, na watu wenye imani <strong>ya</strong> kuwako kwa Mungu lakini<br />
hawakubali mambo <strong>ya</strong> dini na makafiri (wasioamini) wakaongozwa kwa maarifa <strong>ya</strong> ukweli<br />
wa Biblia. Mahubiri <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kaamsha akili <strong>ya</strong> watu na kuzuia mambo <strong>ya</strong> anasa <strong>ya</strong> kidunia<br />
<strong>ya</strong>liyokuwa <strong>ya</strong>kikua na <strong>ya</strong> kutamanisha maisha.<br />
Katika mahali pengi makanisa <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> karibu aina zote wakamfungulia kwake,<br />
na mialiko mara kwa mara ikaja kutoka kwa wahuduma. Ilikuwa desturi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kutotumika<br />
mahali wasipomwalika, lakini kwa upesi akajiona mwenyewe hawezi kutimiza hata kwa nusu<br />
<strong>ya</strong> mialiko iliyokuwa ikimfikia. Wengi wakasadikishwa kwa hakika na ukaribu wa kuja kwa<br />
Kristo na mahitaji <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kujita<strong>ya</strong>risha. Katika miji mikubwa mingine, wenye duka <strong>ya</strong> vileo<br />
vikali na wakageuza duka zao kuwa vyumba v<strong>ya</strong> mikutano; nyumba za michezo <strong>ya</strong> kamari<br />
zikavunjwa; makafiri na hata na wapotovu walioachwa wengi wakabadilika. Mikutano <strong>ya</strong><br />
maombi ikaanzishwa na makanisa mbali-mbali karibu kila saa, wachuuzi wakakusanyika<br />
134