Kupinga ya Kiprotestanti

newcovenantpublicationsintl
from newcovenantpublicationsintl More from this publisher
12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti siku 2300; malaika Gabrieli, ingawa aliagizwa kwa kufahamisha Danieli njozi, akamupa tu sehemu ya maelezo. Kwa sababu mateso ya kutisha ilifaa kuanguka juu ya kanisa ilikuwa haikufunuliwa kwa njozi ya nabii, hakuweza kuvumilia tena. Danieli “akazimia, na kugonjwa siku chache.” “Nikashangaa kwa maono,” akasema, “lakini hakuna aliyeyafahamu.” Danieli 8:27. Lakini Mungu akaagiza mjumbe wake, “Fahamisha mtu huyu maono.” Kwa kutii, malaika akarudi kwa Danieli, kusema: “Nimekuja sasa ili nikupe akili upate kufahamu ... kwa sababu hii elewa maneno haya na kufahamu maono.” Jambo moja la maana katika sura ya 8 liliachwa bila kufasiriwa, yaani, siku 2300; kwa hiyo malaika, kwa kuendelea na maelezo yake, akaeleza sana juu ya wakati: “Mda wa majuma makumi saba umeamriwa juu ya watu wako na juu ya mji wako mtakatifu... Ujue basi na kufahamu ya kuwa tangu kuwekwa amri ya kutengeneza na kujenga Yerusalema hata mupakaliwa, masiya mkubwa, yatakuwa majuma saba na majuma makumi sita na mawili; njia kuu itajengwa tena, na ukuta, hata katika nyakati za taabu. Na nyuma ya majuma makumi sita na majuma mawili massiah atakataliwa mbali, lakini ni kwake mwenyewe: ... Naye atafanya agano la nguvu pamoja na wengi kwa juma moja: na kwa nusu ya juma atakomesha kafara na toleo.” Danieli 8:16; 9:22,23, 24-27. Malaika alitumwa kwa Danieli kwa kueleza jambo aliloshindwa kufahamu “Hata mangaribi na asubui ya siku elfu mbili mia tatu; ndipo Pahali patakatifu patasafishwa.” Maneno ya kwanza ya malaika ni haya, “Mda wa majuma makumi saba umeamriwa juu ya watu wako na juu ya mji wako.” Neno umeamriwa kwa halisi maana yake “atakatiliwa mbali.” Majuma makumi saba, miaka 490, ilipaswa kukatiliwa mbali kuwekwa kando kwa ajili ya Wayahudi. Mda wa Nyakati Mbili Zilianza Pamoja Lakini kukatiliwa mbali kwa nini? Hivi siku 2300 zilikuwa ni mda tu wa wakati uliotajwa katika sura 8, majuma makumi saba yanapaswa basi kuwa sehemu ya siku 2300. Nyakati mbili hizo zinapaswa kuanza pamoja, majuma makumi saba tangu “kuwekwa amri” ya kutengeneza na kujenga Yerusalema. Kama tarehe ya amri hii ingeweza kupatikana, ndiyo ingekuwa mwanzo wa uhakika wa siku 2300. Katika sura ya saba ya Ezra amri inapatikana, ilitolewa na Artasasta, mfalme wa Persia, katika mwaka 457 B.C. Wafalme watatu katika kuanzisha na kutimiza amri, wakaifanya kwa utimilivu uliotakiwa na unabii kwa kutia alama ya mwanzo wa mwaka 2300. Kukamata miaka 457 B.C., wakati amri ilipotimia, kama tarehe ya “amri”, kila hatuwa ya majuma makumi saba ikaonekana katika kutimilika. (Tazama Nyongezo.) Kwa kuendelea kwa kutengeneza na kujenga Yerusalema hata Masiya Mfalme itakuwa majuma saba, na majuma makumi sita na mawili”majuma makumi sita na kenda, ao miaka 483. Amri ya Artasasta ikatendeka katika wakati wa masika wa mwaka 457 B.C. Kutoka 132

Kupinga ya Kiprotestanti tarehe hii, miaka 483 ikafikia kwa wakati wa masika wa mwaka 27 A.D. Kwa wakati ule unabii huu ukatimilika. Katika wakati wa masika wa mwaka 27 A.D.Kristo akabatizwa na Yoane na akapakwa mafuta ya Roho. Baada ya ubatizo wake akaenda Galilaya, “akihubiri Habari njema ya ufalme wa Mungu akisema: Wakati umetimia.” Marko 1:14, 15. Habari Njema Imetolewa kwa Ulimwenguni “Naye ataimarisha na wengi muda wa juma moja” mwisho wa miaka saba ya mda uliogawanywa kwa Wayahudi. Kwa wakati huu, kutoka kwa mwaka 27 A.D. hata A.D. 34, Kristo na wanafunzi wake wakaeneza mwaliko wa Habari Njema zaidi kwa Wayahudi. Agizo la Mwokozi lilikuwa: “Musiende katika njia ya Mataifa, wala musiingie mji wo wote wa Wasamaria; lakini zaidi kwendeni kwa kondoo wapotevu za nyumba ya Israeli.” Matayo 10:5, 6. “Na kwa nusu ya juma atakomesha sadaka na toleo.” Katika mwaka A.D. 31,miaka tatu na nusu baada ya ubatizo wake, Bwana wetu alisulibishwa. Kwa kafara kubwa iliyotolewa kule Golgota, mfano ukakutana na kilicho asili ya mfano. Kafara zote na sadaka za kawaida za ibada zilipashwa kukomeshwa. Miaka 490 iliyogawanyiwa kwa Wayahudi ikamalizika katika mwaka A.D. 34. Kwa wakati ule, kwa njia ya tendo la Baraza (Sanhedrin) la Wayahudi, taifa likatia mhuri wa kukataa injili kwa kifo cha Stefano na mateso ya wafuasi wa Kristo. Ndipo ujumbe wa wokovu ukatolewa ulimwenguni. Wanafunzi wakalazimishwa na mateso kukimbia toka Yerusalema, “wakakwenda pahali po pote wakihubiri neno.” Matendo 8:4. Kwa hiyo maelezo yote ya mambo ya unabii yakatimia kwa ajabu sana. Mwanzo wa majuma makumi saba ukaimarishwa bila swali lo lote kwa mwaka 457 B.C., na kumalizika kwayo katika mwaka A.D. 34. Majuma makumi saba (siku 490) kukatwa kutoka kwa 2300, hapo kulikuwa siku 1810 zilizobakia. Baada ya mwisho wa siku 490, siku 1810 zilipashwa kutimia. Kutoka A.D. 34, miaka 1810 ikafika kwa mwaka 1844. Kwa hiyo siku 2300 za Danieli 8:14 zikamalizika katika 1844. Kwa kumalizika kwa mda kubwa huu wa unabii, “Pahali patakatifu patasafishwa”--ambaye wafafanisi wengi zaidi wanachanganya na kuja kwa mara ya pili--kukaimarishwa. (Tazama chart, p. 220.) Mwisho wa Kuhofisha Kwa mwanzo Miller hakuwa na matumaini hata kidogo ya kufikia mwisho ambao sasa alifikia. Yeye mwenyewe aliweza kwa shida sana kusadiki matokeo ya uchunguzi wake. Lakini ushuhuda wa Maandiko ulikuwa wazi kabisa kwa kuwa pembeni. Katika mwaka 1818 akafikia hakika maalum kwamba katika miaka makumi mawili na tano karibu Kristo angeonekana kwa ajili ya ukombozi wa watu wake. “Si hitaji kusema,” akasema Miller, “juu ya furaha ambayo inajaa moyoni mwangu kuhusu maoni ya matazamio 133

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

tarehe hii, miaka 483 ikafikia kwa wakati wa masika wa mwaka 27 A.D. Kwa wakati ule<br />

unabii huu ukatimilika. Katika wakati wa masika wa mwaka 27 A.D.Kristo akabatizwa na<br />

Yoane na akapakwa mafuta <strong>ya</strong> Roho. Baada <strong>ya</strong> ubatizo wake akaenda Galila<strong>ya</strong>, “akihubiri<br />

Habari njema <strong>ya</strong> ufalme wa Mungu akisema: Wakati umetimia.” Marko 1:14, 15.<br />

Habari Njema Imetolewa kwa Ulimwenguni<br />

“Naye ataimarisha na wengi muda wa juma moja” mwisho wa miaka saba <strong>ya</strong> mda<br />

uliogawanywa kwa Wa<strong>ya</strong>hudi. Kwa wakati huu, kutoka kwa mwaka 27 A.D. hata A.D. 34,<br />

Kristo na wanafunzi wake wakaeneza mwaliko wa Habari Njema zaidi kwa Wa<strong>ya</strong>hudi. Agizo<br />

la Mwokozi lilikuwa: “Musiende katika njia <strong>ya</strong> Mataifa, wala musiingie mji wo wote wa<br />

Wasamaria; lakini zaidi kwendeni kwa kondoo wapotevu za nyumba <strong>ya</strong> Israeli.” Matayo 10:5,<br />

6.<br />

“Na kwa nusu <strong>ya</strong> juma atakomesha sadaka na toleo.” Katika mwaka A.D. 31,miaka tatu<br />

na nusu baada <strong>ya</strong> ubatizo wake, Bwana wetu alisulibishwa. Kwa kafara kubwa iliyotolewa<br />

kule Golgota, mfano ukakutana na kilicho asili <strong>ya</strong> mfano. Kafara zote na sadaka za kawaida<br />

za ibada zilipashwa kukomeshwa.<br />

Miaka 490 iliyogawanyiwa kwa Wa<strong>ya</strong>hudi ikamalizika katika mwaka A.D. 34. Kwa<br />

wakati ule, kwa njia <strong>ya</strong> tendo la Baraza (Sanhedrin) la Wa<strong>ya</strong>hudi, taifa likatia mhuri wa<br />

kukataa injili kwa kifo cha Stefano na mateso <strong>ya</strong> wafuasi wa Kristo. Ndipo ujumbe wa<br />

wokovu ukatolewa ulimwenguni. Wanafunzi wakalazimishwa na mateso kukimbia toka<br />

Yerusalema, “wakakwenda pahali po pote wakihubiri neno.” Matendo 8:4.<br />

Kwa hiyo maelezo yote <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> unabii <strong>ya</strong>katimia kwa ajabu sana. Mwanzo wa<br />

majuma makumi saba ukaimarishwa bila swali lo lote kwa mwaka 457 B.C., na kumalizika<br />

kwayo katika mwaka A.D. 34. Majuma makumi saba (siku 490) kukatwa kutoka kwa 2300,<br />

hapo kulikuwa siku 1810 zilizobakia. Baada <strong>ya</strong> mwisho wa siku 490, siku 1810 zilipashwa<br />

kutimia. Kutoka A.D. 34, miaka 1810 ikafika kwa mwaka 1844. Kwa hiyo siku 2300 za<br />

Danieli 8:14 zikamalizika katika 1844. Kwa kumalizika kwa mda kubwa huu wa unabii,<br />

“Pahali patakatifu patasafishwa”--ambaye wafafanisi wengi zaidi wanachangan<strong>ya</strong> na kuja<br />

kwa mara <strong>ya</strong> pili--kukaimarishwa. (Tazama chart, p. 220.)<br />

Mwisho wa Kuhofisha<br />

Kwa mwanzo Miller hakuwa na matumaini hata kidogo <strong>ya</strong> kufikia mwisho ambao sasa<br />

alifikia. Yeye mwenyewe aliweza kwa shida sana kusadiki matokeo <strong>ya</strong> uchunguzi wake.<br />

Lakini ushuhuda wa Maandiko ulikuwa wazi kabisa kwa kuwa pembeni.<br />

Katika mwaka 1818 akafikia hakika maalum kwamba katika miaka makumi mawili na<br />

tano karibu Kristo angeonekana kwa ajili <strong>ya</strong> ukombozi wa watu wake. “Si hitaji kusema,”<br />

akasema Miller, “juu <strong>ya</strong> furaha ambayo inajaa moyoni mwangu kuhusu maoni <strong>ya</strong> matazamio<br />

133

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!