12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

siku 2300; malaika Gabrieli, ingawa aliagizwa kwa kufahamisha Danieli njozi, akamupa tu<br />

sehemu <strong>ya</strong> maelezo. Kwa sababu mateso <strong>ya</strong> kutisha ilifaa kuanguka juu <strong>ya</strong> kanisa ilikuwa<br />

haikufunuliwa kwa njozi <strong>ya</strong> nabii, hakuweza kuvumilia tena. Danieli “akazimia, na kugonjwa<br />

siku chache.” “Nikashangaa kwa maono,” akasema, “lakini hakuna aliye<strong>ya</strong>fahamu.” Danieli<br />

8:27.<br />

Lakini Mungu akaagiza mjumbe wake, “Fahamisha mtu huyu maono.” Kwa kutii, malaika<br />

akarudi kwa Danieli, kusema: “Nimekuja sasa ili nikupe akili upate kufahamu ... kwa sababu<br />

hii elewa maneno ha<strong>ya</strong> na kufahamu maono.” Jambo moja la maana katika sura <strong>ya</strong> 8 liliachwa<br />

bila kufasiriwa, <strong>ya</strong>ani, siku 2300; kwa hiyo malaika, kwa kuendelea na maelezo <strong>ya</strong>ke,<br />

akaeleza sana juu <strong>ya</strong> wakati:<br />

“Mda wa majuma makumi saba umeamriwa juu <strong>ya</strong> watu wako na juu <strong>ya</strong> mji wako<br />

mtakatifu... Ujue basi na kufahamu <strong>ya</strong> kuwa tangu kuwekwa amri <strong>ya</strong> kutengeneza na kujenga<br />

Yerusalema hata mupakaliwa, masi<strong>ya</strong> mkubwa, <strong>ya</strong>takuwa majuma saba na majuma makumi<br />

sita na mawili; njia kuu itajengwa tena, na ukuta, hata katika n<strong>ya</strong>kati za taabu. Na nyuma <strong>ya</strong><br />

majuma makumi sita na majuma mawili massiah atakataliwa mbali, lakini ni kwake<br />

mwenyewe: ... Naye atafan<strong>ya</strong> agano la nguvu pamoja na wengi kwa juma moja: na kwa nusu<br />

<strong>ya</strong> juma atakomesha kafara na toleo.” Danieli 8:16; 9:22,23, 24-27.<br />

Malaika alitumwa kwa Danieli kwa kueleza jambo aliloshindwa kufahamu “Hata<br />

mangaribi na asubui <strong>ya</strong> siku elfu mbili mia tatu; ndipo Pahali patakatifu patasafishwa.”<br />

Maneno <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> malaika ni ha<strong>ya</strong>, “Mda wa majuma makumi saba umeamriwa juu <strong>ya</strong><br />

watu wako na juu <strong>ya</strong> mji wako.” Neno umeamriwa kwa halisi maana <strong>ya</strong>ke “atakatiliwa<br />

mbali.” Majuma makumi saba, miaka 490, ilipaswa kukatiliwa mbali kuwekwa kando kwa<br />

ajili <strong>ya</strong> Wa<strong>ya</strong>hudi.<br />

Mda wa N<strong>ya</strong>kati Mbili Zilianza Pamoja<br />

Lakini kukatiliwa mbali kwa nini? Hivi siku 2300 zilikuwa ni mda tu wa wakati uliotajwa<br />

katika sura 8, majuma makumi saba <strong>ya</strong>napaswa basi kuwa sehemu <strong>ya</strong> siku 2300. N<strong>ya</strong>kati<br />

mbili hizo zinapaswa kuanza pamoja, majuma makumi saba tangu “kuwekwa amri” <strong>ya</strong><br />

kutengeneza na kujenga Yerusalema. Kama tarehe <strong>ya</strong> amri hii ingeweza kupatikana, ndiyo<br />

ingekuwa mwanzo wa uhakika wa siku 2300.<br />

Katika sura <strong>ya</strong> saba <strong>ya</strong> Ezra amri inapatikana, ilitolewa na Artasasta, mfalme wa Persia,<br />

katika mwaka 457 B.C. Wafalme watatu katika kuanzisha na kutimiza amri, wakaifan<strong>ya</strong> kwa<br />

utimilivu uliotakiwa na unabii kwa kutia alama <strong>ya</strong> mwanzo wa mwaka 2300. Kukamata miaka<br />

457 B.C., wakati amri ilipotimia, kama tarehe <strong>ya</strong> “amri”, kila hatuwa <strong>ya</strong> majuma makumi<br />

saba ikaonekana katika kutimilika. (Tazama Nyongezo.)<br />

Kwa kuendelea kwa kutengeneza na kujenga Yerusalema hata Masi<strong>ya</strong> Mfalme itakuwa<br />

majuma saba, na majuma makumi sita na mawili”majuma makumi sita na kenda, ao miaka<br />

483. Amri <strong>ya</strong> Artasasta ikatendeka katika wakati wa masika wa mwaka 457 B.C. Kutoka<br />

132

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!