Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
siku 2300; malaika Gabrieli, ingawa aliagizwa kwa kufahamisha Danieli njozi, akamupa tu<br />
sehemu <strong>ya</strong> maelezo. Kwa sababu mateso <strong>ya</strong> kutisha ilifaa kuanguka juu <strong>ya</strong> kanisa ilikuwa<br />
haikufunuliwa kwa njozi <strong>ya</strong> nabii, hakuweza kuvumilia tena. Danieli “akazimia, na kugonjwa<br />
siku chache.” “Nikashangaa kwa maono,” akasema, “lakini hakuna aliye<strong>ya</strong>fahamu.” Danieli<br />
8:27.<br />
Lakini Mungu akaagiza mjumbe wake, “Fahamisha mtu huyu maono.” Kwa kutii, malaika<br />
akarudi kwa Danieli, kusema: “Nimekuja sasa ili nikupe akili upate kufahamu ... kwa sababu<br />
hii elewa maneno ha<strong>ya</strong> na kufahamu maono.” Jambo moja la maana katika sura <strong>ya</strong> 8 liliachwa<br />
bila kufasiriwa, <strong>ya</strong>ani, siku 2300; kwa hiyo malaika, kwa kuendelea na maelezo <strong>ya</strong>ke,<br />
akaeleza sana juu <strong>ya</strong> wakati:<br />
“Mda wa majuma makumi saba umeamriwa juu <strong>ya</strong> watu wako na juu <strong>ya</strong> mji wako<br />
mtakatifu... Ujue basi na kufahamu <strong>ya</strong> kuwa tangu kuwekwa amri <strong>ya</strong> kutengeneza na kujenga<br />
Yerusalema hata mupakaliwa, masi<strong>ya</strong> mkubwa, <strong>ya</strong>takuwa majuma saba na majuma makumi<br />
sita na mawili; njia kuu itajengwa tena, na ukuta, hata katika n<strong>ya</strong>kati za taabu. Na nyuma <strong>ya</strong><br />
majuma makumi sita na majuma mawili massiah atakataliwa mbali, lakini ni kwake<br />
mwenyewe: ... Naye atafan<strong>ya</strong> agano la nguvu pamoja na wengi kwa juma moja: na kwa nusu<br />
<strong>ya</strong> juma atakomesha kafara na toleo.” Danieli 8:16; 9:22,23, 24-27.<br />
Malaika alitumwa kwa Danieli kwa kueleza jambo aliloshindwa kufahamu “Hata<br />
mangaribi na asubui <strong>ya</strong> siku elfu mbili mia tatu; ndipo Pahali patakatifu patasafishwa.”<br />
Maneno <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> malaika ni ha<strong>ya</strong>, “Mda wa majuma makumi saba umeamriwa juu <strong>ya</strong><br />
watu wako na juu <strong>ya</strong> mji wako.” Neno umeamriwa kwa halisi maana <strong>ya</strong>ke “atakatiliwa<br />
mbali.” Majuma makumi saba, miaka 490, ilipaswa kukatiliwa mbali kuwekwa kando kwa<br />
ajili <strong>ya</strong> Wa<strong>ya</strong>hudi.<br />
Mda wa N<strong>ya</strong>kati Mbili Zilianza Pamoja<br />
Lakini kukatiliwa mbali kwa nini? Hivi siku 2300 zilikuwa ni mda tu wa wakati uliotajwa<br />
katika sura 8, majuma makumi saba <strong>ya</strong>napaswa basi kuwa sehemu <strong>ya</strong> siku 2300. N<strong>ya</strong>kati<br />
mbili hizo zinapaswa kuanza pamoja, majuma makumi saba tangu “kuwekwa amri” <strong>ya</strong><br />
kutengeneza na kujenga Yerusalema. Kama tarehe <strong>ya</strong> amri hii ingeweza kupatikana, ndiyo<br />
ingekuwa mwanzo wa uhakika wa siku 2300.<br />
Katika sura <strong>ya</strong> saba <strong>ya</strong> Ezra amri inapatikana, ilitolewa na Artasasta, mfalme wa Persia,<br />
katika mwaka 457 B.C. Wafalme watatu katika kuanzisha na kutimiza amri, wakaifan<strong>ya</strong> kwa<br />
utimilivu uliotakiwa na unabii kwa kutia alama <strong>ya</strong> mwanzo wa mwaka 2300. Kukamata miaka<br />
457 B.C., wakati amri ilipotimia, kama tarehe <strong>ya</strong> “amri”, kila hatuwa <strong>ya</strong> majuma makumi<br />
saba ikaonekana katika kutimilika. (Tazama Nyongezo.)<br />
Kwa kuendelea kwa kutengeneza na kujenga Yerusalema hata Masi<strong>ya</strong> Mfalme itakuwa<br />
majuma saba, na majuma makumi sita na mawili”majuma makumi sita na kenda, ao miaka<br />
483. Amri <strong>ya</strong> Artasasta ikatendeka katika wakati wa masika wa mwaka 457 B.C. Kutoka<br />
132