Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
kosa. Yeye ambaye peke <strong>ya</strong>ke alipashwa kuwaokoa kwa hatari <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kifo amezarauliwa,<br />
kutukanwa, kukataliwa, na alikuwa karibu kusulubiwa.<br />
Kristo alipotazama Yerusalema, mwisho wa muji mzima, taifa lote, ulikuwa mbele <strong>ya</strong>ke.<br />
Alisikia malaika mwangamizi pamoja na upanga ulioinuka juu <strong>ya</strong> mji ambao ulikuwa kwa<br />
wakati mrefu makao <strong>ya</strong> Mungu. Katika mahali palepale ambapo baadaye pakashikwa na Tito<br />
na jeshi lake, akatazama kwa bonde viwanja vitakatifu na mabaraza. Na machozi machoni<br />
akaona kuta kuzungukwa na majeshi <strong>ya</strong> kigeni. Alisikia shindo la jeshi kutembea kwa vita,<br />
sauti za wamama na watoto walililia mkate ndani <strong>ya</strong> muji uliozungukwa. Aliona nyumba <strong>ya</strong>ke<br />
takatifu, majumba <strong>ya</strong>ke na minara, <strong>ya</strong>kitolewa kwa ndimi za moto, fungu la kuharibika lenye<br />
kuwaka na kutoka moshi.<br />
Kutazama katika n<strong>ya</strong>kati, aliona watu wa ahadi kutawanyika katika kila inchi, “kama<br />
mavunjiko <strong>ya</strong> merikebu kwa pwani <strong>ya</strong> ukiwa”. Huruma <strong>ya</strong> Mungu, upendo mkuu, <strong>ya</strong>kapata<br />
usemi katika maneno <strong>ya</strong> kusikitisha: “Ee Yerusalema, unaoua manabii, na kuwapiga kwa<br />
mawe wale waliotumwa kwako! Ni mara ngapi nimetaka kukusan<strong>ya</strong> watoto wako pamoja,<br />
kama vile kuku anavyokusan<strong>ya</strong> watoto wake chini <strong>ya</strong> mabawa <strong>ya</strong>ke, lakini ninyi<br />
hamukutaka”! Matayo 23:37.<br />
Kristo aliona katika Yerusalema mfano wa ulimwengu uliokazana katika kutoamini na<br />
kuasi, ukijiharakisha kwa kukutana na hukumu za kulipiza kisasi cha Mungu. Moyo wake<br />
ukashikwa na huruma kwa ajili <strong>ya</strong> waliohuzunishwa na walioteswa na dunia. Alitamani sana<br />
kuwafariji wote. Alitaka kutoa roho <strong>ya</strong>ke kwa kifo kwa kuleta wokovu karibu nao.<br />
Mtukufu wa mbinguni katika machozi! Mambo ile huonesha namna gani ni vigumu<br />
kuokoa mwenye kosa kwamatokeo <strong>ya</strong> kuharibu sheria <strong>ya</strong> Mungu. Yesu aliona ulimwengu<br />
kujitia katika madanganyo kama <strong>ya</strong>le ambayo <strong>ya</strong>lileta uharibifu wa Yerusalema. Zambi<br />
kubwa <strong>ya</strong> Wa<strong>ya</strong>hudi ilikuwa ni kukataa Kristo; zambi kubwa <strong>ya</strong> ulimwengu ingekuwa<br />
kukataa sheria <strong>ya</strong> Mungu, msingi wa serekali <strong>ya</strong>ke katika mbingu na dunia. Mamilioni katika<br />
utumwa wa zambi,ambao watahukumiwa kwa mauti <strong>ya</strong> pili, waliweza kukataa kusikiliza<br />
maneno <strong>ya</strong> kweli katika siku <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> hukumu.<br />
Uharibifu wa Hekalu Tukufu<br />
Siku mbili kabla <strong>ya</strong> Pasaka, Kristo akaenda tena na wanafunzi wake kwa mlima wa<br />
Mizeituni kutazama mji. Mara moja tena akatazama hekalu katika fahari <strong>ya</strong> kungaa kwake,<br />
taji la uzuri. Solomono, aliyekuwa mwenye busara kuliko wafalme wa Israeli, alimaliza<br />
hekalu la kwanza, jengo nzuri kuliko ambalo dunia haijaona. Baada <strong>ya</strong> maangamizi <strong>ya</strong>ke kwa<br />
Nebukadneza, ikajengwa tena karibu miaka mia tano kabla <strong>ya</strong> kuzaliwa kwa Kristo.<br />
Lakini hekalu la pili halikulingana na la kwanza katika uzuri. Hakuna wingu la utukufu,<br />
hakuna moto kutoka mbinguni, ulioshuka juu <strong>ya</strong> mazabahu <strong>ya</strong>ke. Sanduku, kiti cha rehema,<br />
na meza <strong>ya</strong> ushuhuda havikupatikana pale. Hakuna sauti kutoka mbinguni iliyojulisha kuhani<br />
mapenzi <strong>ya</strong> Mungu. Hekalu la pili halikutukuzwa na wingu la utukufu wa Mungu, lakini<br />
6