12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kosa. Yeye ambaye peke <strong>ya</strong>ke alipashwa kuwaokoa kwa hatari <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kifo amezarauliwa,<br />

kutukanwa, kukataliwa, na alikuwa karibu kusulubiwa.<br />

Kristo alipotazama Yerusalema, mwisho wa muji mzima, taifa lote, ulikuwa mbele <strong>ya</strong>ke.<br />

Alisikia malaika mwangamizi pamoja na upanga ulioinuka juu <strong>ya</strong> mji ambao ulikuwa kwa<br />

wakati mrefu makao <strong>ya</strong> Mungu. Katika mahali palepale ambapo baadaye pakashikwa na Tito<br />

na jeshi lake, akatazama kwa bonde viwanja vitakatifu na mabaraza. Na machozi machoni<br />

akaona kuta kuzungukwa na majeshi <strong>ya</strong> kigeni. Alisikia shindo la jeshi kutembea kwa vita,<br />

sauti za wamama na watoto walililia mkate ndani <strong>ya</strong> muji uliozungukwa. Aliona nyumba <strong>ya</strong>ke<br />

takatifu, majumba <strong>ya</strong>ke na minara, <strong>ya</strong>kitolewa kwa ndimi za moto, fungu la kuharibika lenye<br />

kuwaka na kutoka moshi.<br />

Kutazama katika n<strong>ya</strong>kati, aliona watu wa ahadi kutawanyika katika kila inchi, “kama<br />

mavunjiko <strong>ya</strong> merikebu kwa pwani <strong>ya</strong> ukiwa”. Huruma <strong>ya</strong> Mungu, upendo mkuu, <strong>ya</strong>kapata<br />

usemi katika maneno <strong>ya</strong> kusikitisha: “Ee Yerusalema, unaoua manabii, na kuwapiga kwa<br />

mawe wale waliotumwa kwako! Ni mara ngapi nimetaka kukusan<strong>ya</strong> watoto wako pamoja,<br />

kama vile kuku anavyokusan<strong>ya</strong> watoto wake chini <strong>ya</strong> mabawa <strong>ya</strong>ke, lakini ninyi<br />

hamukutaka”! Matayo 23:37.<br />

Kristo aliona katika Yerusalema mfano wa ulimwengu uliokazana katika kutoamini na<br />

kuasi, ukijiharakisha kwa kukutana na hukumu za kulipiza kisasi cha Mungu. Moyo wake<br />

ukashikwa na huruma kwa ajili <strong>ya</strong> waliohuzunishwa na walioteswa na dunia. Alitamani sana<br />

kuwafariji wote. Alitaka kutoa roho <strong>ya</strong>ke kwa kifo kwa kuleta wokovu karibu nao.<br />

Mtukufu wa mbinguni katika machozi! Mambo ile huonesha namna gani ni vigumu<br />

kuokoa mwenye kosa kwamatokeo <strong>ya</strong> kuharibu sheria <strong>ya</strong> Mungu. Yesu aliona ulimwengu<br />

kujitia katika madanganyo kama <strong>ya</strong>le ambayo <strong>ya</strong>lileta uharibifu wa Yerusalema. Zambi<br />

kubwa <strong>ya</strong> Wa<strong>ya</strong>hudi ilikuwa ni kukataa Kristo; zambi kubwa <strong>ya</strong> ulimwengu ingekuwa<br />

kukataa sheria <strong>ya</strong> Mungu, msingi wa serekali <strong>ya</strong>ke katika mbingu na dunia. Mamilioni katika<br />

utumwa wa zambi,ambao watahukumiwa kwa mauti <strong>ya</strong> pili, waliweza kukataa kusikiliza<br />

maneno <strong>ya</strong> kweli katika siku <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> hukumu.<br />

Uharibifu wa Hekalu Tukufu<br />

Siku mbili kabla <strong>ya</strong> Pasaka, Kristo akaenda tena na wanafunzi wake kwa mlima wa<br />

Mizeituni kutazama mji. Mara moja tena akatazama hekalu katika fahari <strong>ya</strong> kungaa kwake,<br />

taji la uzuri. Solomono, aliyekuwa mwenye busara kuliko wafalme wa Israeli, alimaliza<br />

hekalu la kwanza, jengo nzuri kuliko ambalo dunia haijaona. Baada <strong>ya</strong> maangamizi <strong>ya</strong>ke kwa<br />

Nebukadneza, ikajengwa tena karibu miaka mia tano kabla <strong>ya</strong> kuzaliwa kwa Kristo.<br />

Lakini hekalu la pili halikulingana na la kwanza katika uzuri. Hakuna wingu la utukufu,<br />

hakuna moto kutoka mbinguni, ulioshuka juu <strong>ya</strong> mazabahu <strong>ya</strong>ke. Sanduku, kiti cha rehema,<br />

na meza <strong>ya</strong> ushuhuda havikupatikana pale. Hakuna sauti kutoka mbinguni iliyojulisha kuhani<br />

mapenzi <strong>ya</strong> Mungu. Hekalu la pili halikutukuzwa na wingu la utukufu wa Mungu, lakini<br />

6

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!