You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Mafundisho juu <strong>ya</strong> kugeuka kwa ulimwengu na utawala wa Kristo wa kiroho<br />
ha<strong>ya</strong>kushikwa na kanisa la mitume. Kwa kawaida ha<strong>ya</strong>kukubaliwa na Wakristo hata karibu<br />
<strong>ya</strong> mwanzo wa karne <strong>ya</strong> kumi na mnane. Ilifundisha watu kutazamia mbali kwa wakati ujao<br />
kuja kwa Bwana na kuwakataza kwangalia ishara za kurudi kwake. Iliongoza watu kutojali<br />
kujita<strong>ya</strong>risha kwa kumlaki Bwana wao.<br />
Miller akaona kuja kwa Kristo halisi kulikofundishwa wazi katika Maandiko. “Kwa<br />
sababu Bwana mwenyewe atashuka toka mbinguni, na sauti kubwa, na sauti <strong>ya</strong> malaika<br />
mkubwa, na pamoja na baragumu <strong>ya</strong> Mungu.” “Nao wataona Mwana wa watu akija katika<br />
mawingu <strong>ya</strong> mbingu pamoja na uwezo na utukufu mkubwa.” “Kwa maana kama umeme<br />
unavyokuja toka mashariki na unaonekana hata mangaribi; ni hivi kuja kwa Mwana wa watu<br />
kutakavyokuwa.” “Mwana wa watu atakapokuja katika utukufu wake, na malaika yote<br />
pamoja naye.” “Naye atatuma malaika zake na sauti kubwa <strong>ya</strong> baragumu, nao watakusan<strong>ya</strong><br />
wachaguliwa wake.” 1 Watesalonika 4:16, 17; Matayo 24:30, 27; 25:31; 24:31.<br />
Kwa kuja kwake wafu wenye haki watafufuka na wenye haki waliohai watabadilika. “Sisi<br />
sote hatutalala, lakini sisi sote tutabadilika, kwa dakika moja, kwa kufunga na kufungua jicho,<br />
kwa baragumu <strong>ya</strong> mwisho: sababu baragumu italia, na wafu watafufuliwa wasiwe na kuoza,<br />
na tutabadilika. Maana sharti ule mwili wenye kuoza uvae kutokuoza, na huu wa mauti uvae<br />
kutokufa.” “Nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza; kisha sisi tulio hai, tuliobaki,<br />
tutan<strong>ya</strong>nyuliwa pamoja nao katika mawingu, kukutana na Bwana katika hewa, na hivi<br />
tutakuwa pamoja na Bwana milele.” 1 Wakorinto 15:51-53; 1 Watesalonika 4:16, 17.<br />
Mtu katika hali <strong>ya</strong> sasa ni wa kufa, wakuoza; lakini ufalme wa Mungu utakuwa<br />
wakutokuoza. Kwa hivyo mtu kwa hali <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> sasa hawezi kuingia katika ufalme wa Mungu.<br />
Wakati Yesu atakuja, atatoa kutokufa kwa watu wake, na kuwaita kuriti ufalme ambao<br />
hawakuuriti hata sasa.<br />
Maandiko matakatifu na Taratibu <strong>ya</strong> Miaka<br />
Ha<strong>ya</strong> pamoja na maandiko mengine kwa wazi <strong>ya</strong>kamshuhudia Miller kwamba utawala wa<br />
amani wa watu wote na kuimarishwa kwa ufalme wa Mungu duniani ungekuwa baada <strong>ya</strong> kuja<br />
kwa mara <strong>ya</strong> pili. Tena, hali <strong>ya</strong> ulimwengu ililingana na maelezo <strong>ya</strong> unabii wa siku za mwisho.<br />
Alilazimishwa kwa mwisho kwamba mda uliogawanywa kwa dunia katika hali <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> sasa<br />
ulikuwa karibu kuisha.<br />
Namna ingine <strong>ya</strong> ushuhuda ambao kwa nguvu ulichoma moyo wangu.” Akasema,<br />
“ulikuwa utaratibu wa Maandiko... Niliona kwamba mambo <strong>ya</strong>liyotabiriwa, <strong>ya</strong>litimilika<br />
katika wakati uliopita, mara kwa mara <strong>ya</strong>litukia karibu <strong>ya</strong> wakati uliotolewa... Matokeo ...<br />
<strong>ya</strong>napokuwa tu mambo <strong>ya</strong> unabii, ... <strong>ya</strong>litimia katika upatano wa <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>liotabiriwa.”<br />
Wakati alipoona n<strong>ya</strong>kati za taratibu <strong>ya</strong> miaka ambayo ilifikia kwa kuja kwa mara <strong>ya</strong> pili<br />
kwa Kristo, hangaliweza lakini kuzitazama kama “n<strong>ya</strong>kati zilizoonyeshwa mbele”, ambazo<br />
Mungu alifunulia watumishi wake. “Vitu vile vilivyofunuliwa ni vyetu, na v<strong>ya</strong> wana wetu<br />
128