Kupinga ya Kiprotestanti

newcovenantpublicationsintl
from newcovenantpublicationsintl More from this publisher
12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti Sura 18. Nuru Mpya Katika Dunia Mpya Mkulima mwaminifu, wa haki, ambaye alitamani kujua ukweli, alikuwa mtu aliyechaguliwa na Mungu kuongoza katika kutangaza kuja kwa Kristo mara ya pili. Kama watengenezaji wengi wengine, William Miller alipigana na umaskini na akajifunza fundisho la kujikana. Hata katika utoto alitoa ushuhuda wa uwezo wa akili zaidi kuliko ule wa kawaida. Kwa kukomaa kuwa mtu mzima, akili yake ilikuwa ya utendaji na ikaendelea sana, na alikuwa na kiu cha bidii kwa maarifa. Upendo wake wa kujifunza na tabia ya mafikara ya uangalifu kuambatana na ujuzi vikamfanya kuwa mtu wa hukumu na maono ya uchunguzi. Alikuwa na tabia ya matendo mema isiyolaumiwa na sifa nzuri. Alifanya kazi za serkali na za kiaskari pamoja na sifa njema. Utajiri na heshima vilionekana kufunguliwa sana kwake. Katika utoto alikuwa mtu wa mawazo ya dini. Mawazo ya mtu mkubwa, kwa hivi akajiingiza katika jamii ya watu wanaokuwa na imani katika Mungu (deistes), mvuto wake ulikuwa wa nguvu kwa jambo kwamba walikuwa karibu raia wema,wapole na wakarimu. Kuishi kati ya vyama vya Kikristo, tabia zao zilikuwa za kadiri zilizofanywa na wale waliowazunguuka. Kwa ajili ya wema ambao uliwapatia heshima, wakawapashwa kushukuru Biblia, na zawadi hizi nzuri zikawaongoza kwa kutumia mvuto juu ya Neno la Mungu. Miller akaongozwa kuitika nia zao. Mafasiri ya kisasa ya Maandiko yalionyesha magumu ambayo ilionekana kwake kwamba kubwa sana; lakini imani mpya yake, kwa kuweka Biblia kando, haikumsaidia kitu, na akawa mbali ya kutoshelewa. Lakini wakati Miller alipokuwa na miaka makumi tatu na ine, Roho Mtakatifu akamfahamisha moyo wake kwa hali aliyokuwamo kama mwenye zambi. Hakuona tumaini la furaha ngambo ya pili ya kaburi. Wakati ujao ulikuwa giza na huzuni. Kwa kutazama mawazo yake ya moyo kwa wakati huu, akasema: 1 “Mbingu zilikuwa kama shaba juu ya kichwa changu, na dunia kama chuma chini ya miguu yangu... Nilipofikiri zaidi hukumu zangu zikatawanyika. Nikajaribu kukataza mawazo yangu, lakini mawazo yangu haikuweza kutawalika. Nikawa maskini kwa kweli, lakini bila kufahamu sababu. Nikanungunika na kulalamika, lakini sikujua juu ya nani. Nikajua kwamba kosa lilikuwako, lakini sikujua namna gani ao mahali gani kupata haki.” Miller Anapata Rafiki “Kwa gafula,” akasema, “tabia la Mwokozi likaonekana kabisa kwa akili yangu. Inaonekana kwangu kufahamu kwamba kuna Kiumbe kizuri sana na chenye huruma kwa kufanya mwenyewe upatanisho wa makosa yetu, na kutuokoa kwa kuteseka kwa azabu ya zambi... Lakini swali likatokea, Namna gani itawezekana kuhakikisha kwamba kiumbe cha namna hii kinakuwako? Inje ya Biblia, niliona kwamba sikuweza kupata ushahidi wa kuwako kwa Mwokozi wa namna ile, ao hata hali ya wakati ujao... 126

Kupinga ya Kiprotestanti “Niliona kwamba Biblia ilionyesha tu Mwokozi wa namna ninayehitaji: na nilifazaika kuona namna gani kitabu kisichoongozwa na Mungu kilipashwa kukuza kanuni zilizolingana kabisa kabisa kwa matakwa ya ulimwengu ulioanguka. Nikalazimishwa kukubali kwamba Maandiko yanapashwa kuwa ufunuo kutoka kwa Mungu. Yakawa mapenzi yangu; na katika Yesu napata rafiki. Mwokozi akawa kwangu mkuu kuliko miongoni mwa wakuu elfu kumi; na Maandiko, ambayo mbele yalikuwa giza na kinyume, sasa yakawa taa kwa miguu yangu... Niliona Bwana Mungu kuwa Mwamba katikati ya bahari ya maisha. Biblia sasa inakuwa fundisho langu kuu, na ninaweza kusema kweli, niliitafuta kwa furaha kubwa... Nilishangaa sababu gani sikuona uzuri wake na utukufu mbele, na nikashangaa namna gani ningaliweza kuikataa... Nikapoteza onyo yote ya kusoma vitabu vingine, nikatumia moyo wangu kwa kupata hekima kutoka kwa Mungu.” Miller akaungama wazi wazi imani yake. Lakini rafiki zake wasiokuwa waaminifu wakaendeleya mbele na mabishano, hayo yote ambayo yalishurutisha mwenyewe kupinga Maandiko. Akafikiri kwamba kama Biblia ni ufunuo wa Mungu, Kitabu hicho kinapaswa kujieleza chenyewe. Akakusudia kujifunza Maandiko na kupata kama kila mabishano ya wazi yapate kupatanishwa. Akaacha maelezo yo yote, akalinganisha maandiko kwa maandiko kwa usaada wa kumbukumbu ya upande na upatanifu (concordance). Kuanzia kwa Mwanzo, kusoma shauri kwa shauri, alipoona kitu cho chote cha giza ilikuwa desturi yake kukilinganisha pamoja na maneno yote yanayoweza kuwa na uhusiano na fundisho lenyewe. Kila neno likaruhusiwa kuwa na tegemeo lake juu ya maneno yenyewe. Kwa hiyo wakati wo wote alipokutana maneno magumu kwa kufahamu alipata maelezo katika sehemu ingine ya Maandiko. Akajifunza kwa maombi ya juhudi kwa ajili ya nuru ya kiMungu maneno ya mwandishi wa zaburi: “kufunua kwa maneno yako kunaleta nuru; Kunamupa mujinga ufahamu.” Zaburi 119:130. Kwa usikizi mwingi akajifunza kitabu cha Danieli na Ufunuo na akaona ya kwamba mifano ya unabii inaweza kufahamika. Aliona ya kwamba mifano yote mbalimbali, mezali, vifani, kama hayakuelezwa kwa maneno yaliyotangulia haya, hupata penginepo maelezo yake kwa muunganiko wake mwenyewe ao kuelezwa kwa maandiko mengine na kufahamika kwa kweli. Kiungo kwa kiungo cha mnyororo wa kweli na kuwa ni shani ya bidii yake. Hatua kwa hatua akafuatisha mistari ya unabii. Malaika wa mbinguni walikuwa wakiongoza akili yake. Akatoshelewa kwamba maoni ya watu wengi ya miaka elfu (millennium) mbele ya mwisho wa dunia hayakukubaliwa na Neno la Mungu. Mafundisho haya,ya kuonyesha miaka elfu ya amani mbele ya kuja kwa Bwana, ni kinyume cha mafundisho ya Kristo na mitume wake, waliotangaza kwamba ngano na magugu yanapashwa kukuwa pamoja hata wakati wa mavuno, mwisho wa dunia, na kwamba “watu wabaya na wadanganyifu wataendelea na kuzidi kuwa waovu.” 2 Timoteo 3:13. Kuja kwa Kristo mwenyewe 127

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

“Niliona kwamba Biblia ilionyesha tu Mwokozi wa namna ninayehitaji: na nilifazaika<br />

kuona namna gani kitabu kisichoongozwa na Mungu kilipashwa kukuza kanuni zilizolingana<br />

kabisa kabisa kwa matakwa <strong>ya</strong> ulimwengu ulioanguka. Nikalazimishwa kukubali kwamba<br />

Maandiko <strong>ya</strong>napashwa kuwa ufunuo kutoka kwa Mungu. Yakawa mapenzi <strong>ya</strong>ngu; na katika<br />

Yesu napata rafiki. Mwokozi akawa kwangu mkuu kuliko miongoni mwa wakuu elfu kumi;<br />

na Maandiko, ambayo mbele <strong>ya</strong>likuwa giza na kinyume, sasa <strong>ya</strong>kawa taa kwa miguu <strong>ya</strong>ngu...<br />

Niliona Bwana Mungu kuwa Mwamba katikati <strong>ya</strong> bahari <strong>ya</strong> maisha. Biblia sasa inakuwa<br />

fundisho langu kuu, na ninaweza kusema kweli, niliitafuta kwa furaha kubwa... Nilishangaa<br />

sababu gani sikuona uzuri wake na utukufu mbele, na nikashangaa namna gani ningaliweza<br />

kuikataa... Nikapoteza onyo yote <strong>ya</strong> kusoma vitabu vingine, nikatumia moyo wangu kwa<br />

kupata hekima kutoka kwa Mungu.”<br />

Miller akaungama wazi wazi imani <strong>ya</strong>ke. Lakini rafiki zake wasiokuwa waaminifu<br />

wakaendele<strong>ya</strong> mbele na mabishano, hayo yote ambayo <strong>ya</strong>lishurutisha mwenyewe kupinga<br />

Maandiko. Akafikiri kwamba kama Biblia ni ufunuo wa Mungu, Kitabu hicho kinapaswa<br />

kujieleza chenyewe. Akakusudia kujifunza Maandiko na kupata kama kila mabishano <strong>ya</strong> wazi<br />

<strong>ya</strong>pate kupatanishwa.<br />

Akaacha maelezo yo yote, akalinganisha maandiko kwa maandiko kwa usaada wa<br />

kumbukumbu <strong>ya</strong> upande na upatanifu (concordance). Kuanzia kwa Mwanzo, kusoma shauri<br />

kwa shauri, alipoona kitu cho chote cha giza ilikuwa desturi <strong>ya</strong>ke kukilinganisha pamoja na<br />

maneno yote <strong>ya</strong>nayoweza kuwa na uhusiano na fundisho lenyewe. Kila neno likaruhusiwa<br />

kuwa na tegemeo lake juu <strong>ya</strong> maneno yenyewe. Kwa hiyo wakati wo wote alipokutana<br />

maneno magumu kwa kufahamu alipata maelezo katika sehemu ingine <strong>ya</strong> Maandiko.<br />

Akajifunza kwa maombi <strong>ya</strong> juhudi kwa ajili <strong>ya</strong> nuru <strong>ya</strong> kiMungu maneno <strong>ya</strong> mwandishi wa<br />

zaburi: “kufunua kwa maneno <strong>ya</strong>ko kunaleta nuru; Kunamupa mujinga ufahamu.” Zaburi<br />

119:130.<br />

Kwa usikizi mwingi akajifunza kitabu cha Danieli na Ufunuo na akaona <strong>ya</strong> kwamba<br />

mifano <strong>ya</strong> unabii inaweza kufahamika. Aliona <strong>ya</strong> kwamba mifano yote mbalimbali, mezali,<br />

vifani, kama ha<strong>ya</strong>kuelezwa kwa maneno <strong>ya</strong>liyotangulia ha<strong>ya</strong>, hupata penginepo maelezo <strong>ya</strong>ke<br />

kwa muunganiko wake mwenyewe ao kuelezwa kwa maandiko mengine na kufahamika kwa<br />

kweli. Kiungo kwa kiungo cha mnyororo wa kweli na kuwa ni shani <strong>ya</strong> bidii <strong>ya</strong>ke. Hatua kwa<br />

hatua akafuatisha mistari <strong>ya</strong> unabii. Malaika wa mbinguni walikuwa wakiongoza akili <strong>ya</strong>ke.<br />

Akatoshelewa kwamba maoni <strong>ya</strong> watu wengi <strong>ya</strong> miaka elfu (millennium) mbele <strong>ya</strong><br />

mwisho wa dunia ha<strong>ya</strong>kukubaliwa na Neno la Mungu. Mafundisho ha<strong>ya</strong>,<strong>ya</strong> kuonyesha miaka<br />

elfu <strong>ya</strong> amani mbele <strong>ya</strong> kuja kwa Bwana, ni kinyume cha mafundisho <strong>ya</strong> Kristo na mitume<br />

wake, waliotangaza kwamba ngano na magugu <strong>ya</strong>napashwa kukuwa pamoja hata wakati wa<br />

mavuno, mwisho wa dunia, na kwamba “watu waba<strong>ya</strong> na wadanganyifu wataendelea na<br />

kuzidi kuwa waovu.” 2 Timoteo 3:13.<br />

Kuja kwa Kristo mwenyewe<br />

127

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!