You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
kumpokea mjumbe wa mbinguni. Kwa gafula utukufu wa mbinguni ukajaa pote katika<br />
uwanda, kundi lisilohesabika la wamalaika likafunuliwa; na kana kwamba furaha ilikuwa<br />
kubwa kwa ajili <strong>ya</strong> mjumbe kutoka mbinguni, wingi wa masauti kuimba wimbo wa furaha<br />
ambao mataifa yote <strong>ya</strong> waliookolewa wataimba siku moja: “Utukufu kwa Mungu aliye juu,<br />
na salama duniani, katika watu wanaomupendeza.” Luka 2:14.<br />
Fundisho la namna gani linakuwa kwa historia <strong>ya</strong> ajabu hii <strong>ya</strong> Betelehemu! Namna gani<br />
inakemea kutokuamini kwetu, kiburi chetu na hali <strong>ya</strong> kuwaza tunatosheka nafsini. Namna<br />
gani inatuon<strong>ya</strong> kwa kujihazari, ili sisi vile vile tusishindwe kutambua ishara za n<strong>ya</strong>kati na<br />
kwa hiyo hatutajua siku <strong>ya</strong> kuzuriwa kwetu.<br />
Si miongoni mwa wachungaji tu ambamo malaika walipata walinzi kwa ajili <strong>ya</strong> kuja kwa<br />
Masi<strong>ya</strong>. Katika inchi <strong>ya</strong> wapagani vile vile kulikuwa wale waliomtazamia--watajiri, watu bora<br />
wenye akili— wenye elimu zote wa Mashariki. Kutoka kwa Maandiko <strong>ya</strong> Kiebrania walikuwa<br />
wakijifunza habari <strong>ya</strong> nyota kutokea kwa Yakobo. Kwa mapenzi <strong>ya</strong> bidii walingojea kuja<br />
kwake yeye aliyepashwa kuwa si “Faraja la Israeli” tu, bali “Nuru <strong>ya</strong> kuangazia Mataifa,” na<br />
“kuwa wokovu hata mwisho wa dunia.” Luka 2:25, 32; Matendo 13:47. Mbingu--ikatuma<br />
nyota ikaongoza wageni wa mataifa kwa mahali pa kuzaliwa kwa Mfalme mp<strong>ya</strong> aliyezaliwa.<br />
Ni kwa “wale wanaomungojea” Kwamba Kristo “ataonekana mara <strong>ya</strong> pili, si tena kwa<br />
zambi, lakini kuokoa wale wanaomungojea kwa wokovu.” Waebrania 9:28. Kama habari <strong>ya</strong><br />
kuzaliwa kwa Mwokozi, ujumbe wa kuja kwa mara <strong>ya</strong> pili haukutolewa kwa waongozi wa<br />
dini <strong>ya</strong> watu. Walikataa nuru kutoka mbinguni; kwa hiyo hawakuwa katika hesabu <strong>ya</strong> wale<br />
waliotajwa na mtume Paulo: “Lakini ninyi ndugu, si katika giza, hata siku ile iwapate ninyi<br />
kama mwizi: sababu ninyi wote ni wana wa nuru, na wana wa mchana: sisi hatuko wana wa<br />
usiku wala wa giza.” 1 Watesalonika 5:4, 5.<br />
Walinzi juu <strong>ya</strong> kuta za Sayuni walipashwa kuwa wa kwanza kupata habari <strong>ya</strong> kuja kwa<br />
Mwokozi, wa kwanza kutangaza ukaribu wa kuja kwake. Lakini walikuwa kwa raha, wakati<br />
watu walikuwa katika usingizi wa zambi zao. Yesu aliona kanisa lake, kama mti wa mtini<br />
usiozaa, umefunikwa na majani <strong>ya</strong> fahari, lakini pasipo kuwa na matunda <strong>ya</strong> damani. Roho<br />
<strong>ya</strong> unyenyekevu wa kweli, uvumilivu, na imani ilikosekana. Hapo kulikuwa kiburi, unafiki,<br />
uchoyo, ugandamizi. Kanisa laukufuru lilifunga macho <strong>ya</strong>o kwa alama za n<strong>ya</strong>kati. Wakatoka<br />
kwa Mungu na wakajitenga wao wenyewe kwa upendo wake. Namna walivyokataa na<br />
mapashwa <strong>ya</strong>liyowekwa, ahadi zake hazikutimizwa kwao.<br />
Wengi waliojidai kuwa wafuasi wa Kristo wakakataa kupokea nuru kutoka mbinguni.<br />
Kama Wa<strong>ya</strong>hudi wa zamani, hawakujua wakati wa kuzuriwa kwao. Bwana akapita pembeni<br />
<strong>ya</strong>o na akafunua ukweli wake kwa wale ambao, kama wachungaji wa Betelehemu na Waakili<br />
wa Mashariki, walipewa usikizi kwa nuru yote walioyopokea.<br />
125