12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kama wanafunzi wa elimu <strong>ya</strong> tabia na sifa za Mungu na dini walikuwa walinzi waaminifu,<br />

wenye bidii na wenye kuomba kuchunguza Maandiko, wangaliweza kujua wakati. Mambo <strong>ya</strong><br />

unabii <strong>ya</strong>ngeweza kuwafungulia matokeo <strong>ya</strong>liyopashwa kuwa. Lakini ujumbe ulitolewa na<br />

watu wanyenyekevu. Wale waliozarau kutafuta nuru wakati inapokuwa karibu nao waliachwa<br />

gizani. Lakini Mwokozi anatangaza, “Yeye anayenifuata hatatembea katika giza, lakini<br />

atakuwa na nuru <strong>ya</strong> uzima.” Yoane 8:12. Kwa roho ile nyota fulani <strong>ya</strong> mwangaza wa<br />

mbinguni itatumwa kwake kwa kumwongoza katika ukweli wote.<br />

Kwa wakati wa kuja kwa mara <strong>ya</strong> kwanza kwa Kristo wakuhani na waandishi wa mji<br />

Mtakatifu wangaliweza kutambua “ishara za wakati” na kutangaza kuja kwa yule<br />

Aliyeahidiwa. Mika aliandika mahali pale pa kuzaliwa, Danieli, wakati wa kuja kwake. Mika<br />

5:2; Danieli 9:25. Waongozi wa Wa<strong>ya</strong>hudi walikuwa bila sababu kama hawakujua. Ujinga<br />

wao ulikuwa matokeo <strong>ya</strong> zarau lenye zambi.<br />

Kwa faida kubwa sana waongozi wa Israeli wangalipashwa kujifunza pahali, wakati, hali<br />

<strong>ya</strong> mambo, <strong>ya</strong> tukio kubwa sana katika historia <strong>ya</strong> dunia--kuja kwa Mwana wa Mungu. Watu<br />

walipashwa kukesha ili wapate kumkaribisha Mkombozi wa ulimwengu. Lakini kule<br />

Betelehemu wasafiri wawili waliochoka kutoka Nazareti wakapitia njia nyembamba kwa<br />

mwisho wa upande wa mashariki <strong>ya</strong> mji, kutafuta kimbilio sababu ulikuwa usiku bila kuona<br />

mahali pa kupangia. Hakuna milango iliyofunguliwa kwa kuwapokea. Katika kibanda kibovu<br />

kilichota<strong>ya</strong>rishwa kwa ajili <strong>ya</strong> mifugo, mwishowe wakapata kimbilio, na hapo Mwokozi wa<br />

ulimwengu akazaliwa.<br />

Malaika wakaagizwa kuchukua habari <strong>ya</strong> furaha kwa wale waliojita<strong>ya</strong>risha kuipokea na<br />

walioweza kwa furaha kuijulisha. Kristo alijishusha hata akajivika hali <strong>ya</strong> binadamu,<br />

kuchukua taabu isiyo na mwisho namna alipashwa kutoa roho <strong>ya</strong>ke sadaka kwa ajili <strong>ya</strong> zambi.<br />

Lakini malaika walitamani kwamba hata katika kujishusha kwake Mwana wa Aliyejuu<br />

angeweza kuonekana mbele <strong>ya</strong> watu na heshima na utukufu unaofaa tabia <strong>ya</strong>ke. Je, wakuu wa<br />

inchi hawangekusanyika kwa mji mkuu wa Israeli kusalimia kuja kwake? Je, malaika<br />

hawangemwonyesha kwa makutano <strong>ya</strong>liyomungojea?<br />

Malaika mmoja alizuru ulimwengu kuona wanani waliojita<strong>ya</strong>risha kumkaribisha Yesu.<br />

Lakini hakusikia sauti <strong>ya</strong> sifa kwamba mda wa kuja kwa Masi<strong>ya</strong> umefika. Akakawia juu <strong>ya</strong><br />

mji uliochaguliwa na hekalu ikasimama kwa mda mahali kuwako kwa Mungu kulionekana<br />

kwa miaka nyingi, lakini hata pale palikuwa na kutojali kwa namna moja. Wakuhani katika<br />

sherehe na kiburi walikuwa wakitoa kafara za unajisi. Mafarisayo kwa sauti kuu<br />

wakawaambia watu ao wakafan<strong>ya</strong> maombi <strong>ya</strong> kujisifu kwa pembe za njia. Wafalme, watu wa<br />

elimu zote (philosophes), waalimu, wote walikuwa wasiokumbuka jambo la ajabu kwamba<br />

Mkombozi wa watu alikuwa karibu kuonekana.<br />

Kwa mshangao mjumbe wa mbinguni alikuwa karibu kurudi mbinguni pamoja na habari<br />

<strong>ya</strong> aibu sana, wakati alipovumbua kundi la wachungaji wakilinda makundi <strong>ya</strong>o. Wakatamani<br />

sana kuja kwa Mkombozi wa ulimwengu. Hapa palikuwa na kundi la watu waliojita<strong>ya</strong>risha<br />

124

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!