Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Ilikuwa jambo la maana sana kwamba watu waamshwe kwa kujita<strong>ya</strong>risha kwa ajili <strong>ya</strong><br />
mambo makubwa <strong>ya</strong>nayo husiana na kufungwa kwa rehema. ‘’Siku <strong>ya</strong> Bwana ni kubwa na<br />
<strong>ya</strong> kuogopesha, nani anayeweza kuivumilia?” Nani atakayesimama wakati atakapoonekana<br />
yeye anayekuwa na “macho safi zaidi hata asiweze kutazama maba<strong>ya</strong>,” na hawezi “kutazama<br />
ukaidi”? “Nami nitaazibu ulimwengu kwa sababu <strong>ya</strong> uba<strong>ya</strong> wake, na wenye zambi kwa<br />
sababu <strong>ya</strong> uovu wao, nami nitakomesha kiburi cha wenye majivuno; nami nitaangusha chini<br />
majivuno <strong>ya</strong> wenye ukali.” “Wala feza zao wala zahabu zao hazitaweza kuwaponyesha;” “Na<br />
utajiri wao utakuwa mateka, na nyumba zao ukiwa.” Yoeli 2:11; Habakuki 1:13; Isa<strong>ya</strong> 13:11;<br />
Zefania 1:18, 13.<br />
Mwito kwa Kuamka<br />
Kwa maoni <strong>ya</strong> siku ile kubwa Neno la Mungu linaita watu wake kutafuta uso wake katika<br />
toba: “Siku <strong>ya</strong> Bwana inakuja, kwani imekaribia.” “Takaseni kufunga chakula, iteni<br />
kusanyiko la dini; kusanyeni watu, takaseni makutano, kusanyeni wazee, kusanyeni watoto:<br />
... Makuhani, watumishi wa Bwana, lia katikati <strong>ya</strong> baraza na mazabahu.” “Geukeni kwangu<br />
na moyo wenu wote, na pamoja na kufunga chakula, na kutoa machozi na kuomboleza; na<br />
pasueni moyo wenu, wala si mavazi yenu, geukeni kwa Bwana, Mungu wenu; kwa kuwa ni<br />
mwenye neema na, anayejaa huruma, si mwepesi kwa kukasirika, na mwenye rehema nyingi.”<br />
Yoeli 2:1, 15-17, 12,13.<br />
Kwa kuta<strong>ya</strong>risha watu kusimama kwa siku <strong>ya</strong> Mungu, kazi kubwa <strong>ya</strong> matengenezo<br />
ilipashwa kutimilika. Katika huruma zake alikuwa karibu kutuma mjumbe kwa kuamsha<br />
waliojidai kuwa watu wake na kuwaongoza kujita<strong>ya</strong>risha kwa kuja kwa Bwana.<br />
Onyo hili linaonyeshwa katika Ufunuo 14. Hapa kunakuwa na namna tatu <strong>ya</strong> ujumbe<br />
unaoonyeshwa kama unatangazwa na viumbe v<strong>ya</strong> mbinguni na mara moja ukafuatwa na kuja<br />
kwa Mwana wa mtu kwa kuvuna “mavuno <strong>ya</strong> dunia.” Nabii aliona malaika akiruka “katikati<br />
<strong>ya</strong> mbingu, mwenye Habari Njema <strong>ya</strong> milele, awahubiri wale wanaokaa juu <strong>ya</strong> dunia, na kila<br />
taifa na kabila na lugha na jamaa, akasema kwa sauti kubwa: Ogopeni Mungu, na kumutukuza<br />
kwa maana saa <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong>ke imekuja. Mukamwabudu yeye aliyezifan<strong>ya</strong> mbingu na dunia<br />
na bahari na chemchemi za maji.” Ufunuo 14:6. 7.<br />
Ujumbe huu ni sehemu <strong>ya</strong> “Habari Njema <strong>ya</strong> milele.” Kazi <strong>ya</strong> kuhubiri ilipewa wala<br />
kuaminishwa kwa watu. Malaika watakatifu huongoza, lakini tangazo la sasa la habari njema<br />
linafanywa na watumishi wa Kristo duniani. Watu waaminifu, watiifu kwa maongozi <strong>ya</strong> Roho<br />
wa Mungu na mafundisho <strong>ya</strong> Neno lake, walipashwa kutangaza onyo hili. Walikuwa<br />
wakitafuta maarifa <strong>ya</strong> Mungu, kuihesabu “vema kuliko biashara <strong>ya</strong> feza, na faida <strong>ya</strong>ke ni<br />
nyororo kuliko zahabu safi.” “Siri <strong>ya</strong> Bwana ni pamoja nao wanaomwogopa; Naye<br />
atawaonyesha agano lake.” Mezali 3:14; Zaburi 25:14.<br />
Ujumbe Uliotolewa na Watu Wanyenyekevu<br />
123