12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

“Makutano <strong>ya</strong>kaja pamoja kwa mahali ... pengi. Maneno kwa hotuba zisizo za kawaida<br />

kwanza zilikuwa zile zisizogeuka za kuonyesha kwamba giza ililingana na unabii wa<br />

Maandiko... Giza ilikuwa nyingi zaidi kwa upesi baada <strong>ya</strong> saa tano.”<br />

“Kwa sehemu nyingi za inchi ilikuwa kubwa sana katika n<strong>ya</strong>kati za mchana, ambaye watu<br />

hawakuweza kutaja saa wala kwa saa ndogo ao kubwa, wala kula chakula, ao kufan<strong>ya</strong> kazi<br />

zao za nyumbani, bila nuru <strong>ya</strong> mishumaa.”<br />

Mwezi kama Damu<br />

“Giza <strong>ya</strong> usiku haikukosa kuwa <strong>ya</strong> ajabu na <strong>ya</strong> kutisha kama ile <strong>ya</strong> mchana; ingawa mwezi<br />

ulikuwa karibu kuwa mzima, hakuna kitu kilikuwa cha kutambulikana ila tu kwa msaada wa<br />

nuru isiyokuwa <strong>ya</strong> asili, ambayo, kama ikionekana kwa nyumba za jirani na mahali pengine<br />

kwa mbali ilionekana kama katika ile giza <strong>ya</strong> Misri ambayo ilionekana karibu kama<br />

isiyopenyeka kwa miale.” “Kama kila kitu chenye kung’aa katika ulimwengu kilifunikwa<br />

katika giza isiyopenyeka, ao kingeondolewa, giza haingalikuwa kamili kabisa.” Baada <strong>ya</strong><br />

usiku wa manane giza ikatoweka, na mwezi, wakati ulionekana mara <strong>ya</strong> kwanza, ulikuwa na<br />

rangi <strong>ya</strong> damu.<br />

Tarehe 19 <strong>ya</strong> Mai 1780, inakuwa katika historia kama “Siku <strong>ya</strong> Giza.” Tangu wakati wa<br />

Musa hakuna giza <strong>ya</strong> namna ile nzito, kubwa, na <strong>ya</strong>kuendelea iliyoandikwa. Maelezo<br />

<strong>ya</strong>liyotolewa kwa washuhuda waliojionea ni jibu la maneno <strong>ya</strong>liyoandikwa na Yoeli miaka<br />

2500 mbele: “Jua litageuka kuwa giza, na mwezi kuwa damu mbele <strong>ya</strong> kutimia kwake ile siku<br />

kubwa <strong>ya</strong> Bwana yenye kuogopesha.” Yoeli 2:31.<br />

“Wakati maneno ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>napoanza kuja,” akasema Kristo, “tazameni juu, mun<strong>ya</strong>nyue<br />

vichwa vyenu kwa sababu ukombozi wenu umekaribia.” Alitolea wafuasi wake mfano wa mti<br />

uliochipuka wakati <strong>ya</strong> mwaka <strong>ya</strong> kukua ao kuota kwa mimea: “Wakati inapochipuka,<br />

munaona na kutambua ninyi wenyewe <strong>ya</strong> kwamba mavuno <strong>ya</strong>mekwisha kuwa karibu. Vile<br />

nanyi, wakati munapoona maneno ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>napotokea jueni <strong>ya</strong> kwamba ufalme wa Mungu ni<br />

karibu.” Luka 21:28, 30, 31.<br />

Lakini katika kanisa upendo kwa ajili <strong>ya</strong> Kristo na imani katika kuja kwake vilipoa.<br />

Waliojidai kuwa watu wa Mungu walipofushwa kwa mafundisho <strong>ya</strong> Mwokozi juu <strong>ya</strong> ishara<br />

za kuonekana kwake. Mafundisho <strong>ya</strong> kuja kwa mara <strong>ya</strong> pili <strong>ya</strong>lizarauliwa, hata ikiwa kwa,<br />

eneo kubwa, haikujaliwa na ikasahauliwa, hasa zaidi kule Amerika. Tamaa <strong>ya</strong> mali, kupigania<br />

sifa na uwezo, vikaongoza watu kuweka mbali kwa wakati ujao siku ile kubwa ambapo<br />

mambo yote <strong>ya</strong> sasa <strong>ya</strong>tapaswa kupita.<br />

Mwokozi alitabiri hali <strong>ya</strong> kukufuru ilipashwa kuwako mbele <strong>ya</strong> kuja kwake kwa mara <strong>ya</strong><br />

pili. Kwa wale wanaoishi kwa wakati huu, onyo la Kristo ni: “Mujiangalie, mioyo yenu isipate<br />

kulemewa na ulafi na ulevi, na masumbuko <strong>ya</strong> maisha ha<strong>ya</strong>, siku ile isije kwenu gafula kama<br />

mutego.” “Lakini tazameni kila wakati, mukiomba mupate nguvu <strong>ya</strong> kukimbia maneno ha<strong>ya</strong><br />

yote <strong>ya</strong>takayokuwa, na kusimama mbele <strong>ya</strong> Mwana wa watu.” Luka 21:34, 36.<br />

122

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!