Kupinga ya Kiprotestanti
Kupinga ya Kiprotestanti Sura 30. Uadui wa Shetani ................................................................................................... 207 Sura 31. Pepo Wachafu ........................................................................................................ 209 Sura 32. Namna ya Kumshinda Shetani .............................................................................. 211 Sura 33. Kinacholala Ng’ambo ya Pili ya Kaburi ............................................................... 217 Sura 34. Roho za Wafu? ...................................................................................................... 224 Sura 35. Uhuru wa Zamiri Unatishwa ................................................................................. 229 Sura 36. Migogoro Inayokaribia .......................................................................................... 237 Sura 37. Maandiko - Mlinda Yetu Pekee ............................................................................. 242 Sura 38. Ujumbe wa Mungu Ulio wa Mwisho .................................................................... 246 Sura 39. Wakati wa Taabu ................................................................................................... 251 Sura 40. Ukombozi Mkubwa ............................................................................................... 259 Sura 41. Dunia katika Uharibifu .......................................................................................... 267 Sura 42. Vita Imemalizika ................................................................................................... 271 4
Kupinga ya Kiprotestanti Sura 1. Unabii wa Hali ya Mwicho wa Ulimwengu Kutoka kwa kilele cha Mizeituni, Yesu akatazama juu ya Yerusalema. Mbele ya makutano kulikuwa na majengo mazuri ya hekalu. Kushuka kwa jua kukaangazia weupe wa teluji wa kuta zake za marimari na kumulikia mnara wa zahabu na mnara mrefu mwembamba (Pinnacle). Mtoto gani wa Israeli aliweza kutazama juu ya maajabu haya bila kufurahi sana na kushangaa! Lakini mawazo mengine yalikuwa moyoni mwa Yesu. “Naye alipokaribia, akaona muji, akalia juu yake”. Luka 19:41. Machozi ya Yesu haikuwa kwa ajili yake mwenyewe, ingawa mbele yake kulikuwa Getesemane, mambo ya maumivu makubwa yaliyokaribia, na si mbali sana na, Kalvari, mahali pa kusulubiwa. Lakini haikuwa mambo hayo yaliyotia kivuli juu yake katika saa hii ya furaha. Alilia kwa ajili ya maelfu ya watu wa Yerusalema watakaoangamizwa. Historia ya zaidi ya miaka elfu ya upendeleo wa kipekee wa Mungu na ulinzi mkubwa, ulifunuliwa kwa watu wachaguliwa, ilifunguliwa kwa macho ya Yesu. Yerusalema uliheshimiwa na Mungu juu ya dunia yote. Bwana “amechagua Sayuni ... kuwa kao lake”. Zaburi 132:13. Kwa miaka mingi, manabii watakatifu walikuwa wakitoa ujumbe wa maonyo. Siku kwa siku damu ya wana kondoo ilikuwa ikitolewa, ikionyesha Mwana Kondoo wa Mungu. Israeli kama taifa angalilinda utii wake kwa Mungu, Yerusalema ungalisimama milele, mchaguliwa wa Mungu. Lakini historia ya wale watu waliopendelezwa ilikuwa habari ya kukufuru na kuasi. Zaidi kuliko upendo wa huruma wa baba, Mungu alikuwa mwenye “huruma kwa watu wake na makao yake”. 2 Mambo 36:15. Wakati maombi na makaripio yaliposhindwa, alituma zawadi bora sana ya mbinguni, Mwana wa Mungu Mwenyewe, kwa kutetea pamoja na muji usiotubu wa moyo mgumu. Kwa miaka mitatu Bwana wa nuru na utukufu alikuwa akiingia na kutoka miongoni mwa watu wake. “Akifanya kazi njema na kuponyesha wote walioonewa na Shetani”. Kuhubiri wokovu kwa wafungwa, na vipofu kupata kuona tena, kuwezesha viwete kutembea, na viziwi kusikia, kutakasa wenye ukoma, kufufua wafu, na kuhubiri Habari Njema kwa masikini. Tazama Matendo 10:38; Luka 4:18; Matayo 11:5. Mtembezi asiye na makao, aliishi kwa kusaidia wenye mahitaji na kupunguza misiba ya watu, kuwasihi kukubali zawadi ya uzima. Mawimbi ya huruma yaliyopingwa na waie waliokuwa na mioyo migumu, yakarudia na mwendo wa nguvu wa huruma, upendo usioelezeka. Lakini Israeli akamuacha Rafiki wake mwema na Msaidizi wa pekee. Maombezi ya upendo wake yakazarauliwa. Saa ya tumaini na musamaha ilikuwa ikipita upesi. Wingu lile ambalo lilikuwa likijikusanya katika miaka ya kukufuru na kuasi ilikuwa karibu kupasuka juu ya watu wenye 5
- Page 1 and 2: KUPINGA YA E KIPROTESTANTI Ellen Wh
- Page 3 and 4: KUPINGA YA KIPROTESTANTI ELLEN G. W
- Page 5 and 6: Ukurasa huu umeachwa tupu kwa makus
- Page 7 and 8: Shukrani Kitabu hiki ni kujitolea k
- Page 9 and 10: Kupinga ya Kiprotestanti
- Page 11: Kupinga ya Kiprotestanti Yaliyomo S
- Page 15 and 16: Kupinga ya Kiprotestanti lilitukuzw
- Page 17 and 18: Kupinga ya Kiprotestanti Majeshi ya
- Page 19 and 20: Kupinga ya Kiprotestanti mkubwa. Na
- Page 21 and 22: Kupinga ya Kiprotestanti Shetani ba
- Page 23 and 24: Kupinga ya Kiprotestanti Wenye haki
- Page 25 and 26: Kupinga ya Kiprotestanti wakakatazw
- Page 27 and 28: Kupinga ya Kiprotestanti Injili ili
- Page 29 and 30: Kupinga ya Kiprotestanti Malaika wa
- Page 31 and 32: Kupinga ya Kiprotestanti Sasa roho
- Page 33 and 34: Kupinga ya Kiprotestanti fundi wa k
- Page 35 and 36: Kupinga ya Kiprotestanti Ujumbe wa
- Page 37 and 38: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 5. Nu
- Page 39 and 40: Kupinga ya Kiprotestanti Wycliffe a
- Page 41 and 42: Kupinga ya Kiprotestanti Wycliffe a
- Page 43 and 44: Kupinga ya Kiprotestanti wateteaji
- Page 45 and 46: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa wakati
- Page 47 and 48: Kupinga ya Kiprotestanti Mwenendo w
- Page 49 and 50: Kupinga ya Kiprotestanti mwenyewe k
- Page 51 and 52: Kupinga ya Kiprotestanti Jerome aka
- Page 53 and 54: Kupinga ya Kiprotestanti Waongozi w
- Page 55 and 56: Kupinga ya Kiprotestanti Kutafuta A
- Page 57 and 58: Kupinga ya Kiprotestanti Tetzel, mj
- Page 59 and 60: Kupinga ya Kiprotestanti ulishindwa
- Page 61 and 62: Kupinga ya Kiprotestanti Kutoka kwa
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 1. Unabii wa Hali <strong>ya</strong> Mwicho wa Ulimwengu<br />
Kutoka kwa kilele cha Mizeituni, Yesu akatazama juu <strong>ya</strong> Yerusalema. Mbele <strong>ya</strong> makutano<br />
kulikuwa na majengo mazuri <strong>ya</strong> hekalu. Kushuka kwa jua kukaangazia weupe wa teluji wa<br />
kuta zake za marimari na kumulikia mnara wa zahabu na mnara mrefu mwembamba<br />
(Pinnacle). Mtoto gani wa Israeli aliweza kutazama juu <strong>ya</strong> maajabu ha<strong>ya</strong> bila kufurahi sana<br />
na kushangaa! Lakini mawazo mengine <strong>ya</strong>likuwa moyoni mwa Yesu. “Naye alipokaribia,<br />
akaona muji, akalia juu <strong>ya</strong>ke”. Luka 19:41.<br />
Machozi <strong>ya</strong> Yesu haikuwa kwa ajili <strong>ya</strong>ke mwenyewe, ingawa mbele <strong>ya</strong>ke kulikuwa<br />
Getesemane, mambo <strong>ya</strong> maumivu makubwa <strong>ya</strong>liyokaribia, na si mbali sana na, Kalvari,<br />
mahali pa kusulubiwa. Lakini haikuwa mambo hayo <strong>ya</strong>liyotia kivuli juu <strong>ya</strong>ke katika saa hii<br />
<strong>ya</strong> furaha. Alilia kwa ajili <strong>ya</strong> maelfu <strong>ya</strong> watu wa Yerusalema watakaoangamizwa.<br />
Historia <strong>ya</strong> zaidi <strong>ya</strong> miaka elfu <strong>ya</strong> upendeleo wa kipekee wa Mungu na ulinzi mkubwa,<br />
ulifunuliwa kwa watu wachaguliwa, ilifunguliwa kwa macho <strong>ya</strong> Yesu. Yerusalema<br />
uliheshimiwa na Mungu juu <strong>ya</strong> dunia yote. Bwana “amechagua Sayuni ... kuwa kao lake”.<br />
Zaburi 132:13. Kwa miaka mingi, manabii watakatifu walikuwa wakitoa ujumbe wa maonyo.<br />
Siku kwa siku damu <strong>ya</strong> wana kondoo ilikuwa ikitolewa, ikionyesha Mwana Kondoo wa<br />
Mungu.<br />
Israeli kama taifa angalilinda utii wake kwa Mungu, Yerusalema ungalisimama milele,<br />
mchaguliwa wa Mungu. Lakini historia <strong>ya</strong> wale watu waliopendelezwa ilikuwa habari <strong>ya</strong><br />
kukufuru na kuasi. Zaidi kuliko upendo wa huruma wa baba, Mungu alikuwa mwenye<br />
“huruma kwa watu wake na makao <strong>ya</strong>ke”. 2 Mambo 36:15. Wakati maombi na makaripio<br />
<strong>ya</strong>liposhindwa, alituma zawadi bora sana <strong>ya</strong> mbinguni, Mwana wa Mungu Mwenyewe, kwa<br />
kutetea pamoja na muji usiotubu wa moyo mgumu.<br />
Kwa miaka mitatu Bwana wa nuru na utukufu alikuwa akiingia na kutoka miongoni mwa<br />
watu wake. “Akifan<strong>ya</strong> kazi njema na kuponyesha wote walioonewa na Shetani”. Kuhubiri<br />
wokovu kwa wafungwa, na vipofu kupata kuona tena, kuwezesha viwete kutembea, na viziwi<br />
kusikia, kutakasa wenye ukoma, kufufua wafu, na kuhubiri Habari Njema kwa masikini.<br />
Tazama Matendo 10:38; Luka 4:18; Matayo 11:5.<br />
Mtembezi asiye na makao, aliishi kwa kusaidia wenye mahitaji na kupunguza misiba <strong>ya</strong><br />
watu, kuwasihi kukubali zawadi <strong>ya</strong> uzima. Mawimbi <strong>ya</strong> huruma <strong>ya</strong>liyopingwa na waie<br />
waliokuwa na mioyo migumu, <strong>ya</strong>karudia na mwendo wa nguvu wa huruma, upendo<br />
usioelezeka. Lakini Israeli akamuacha Rafiki wake mwema na Msaidizi wa pekee. Maombezi<br />
<strong>ya</strong> upendo wake <strong>ya</strong>kazarauliwa.<br />
Saa <strong>ya</strong> tumaini na musamaha ilikuwa ikipita upesi. Wingu lile ambalo lilikuwa<br />
likijikusan<strong>ya</strong> katika miaka <strong>ya</strong> kukufuru na kuasi ilikuwa karibu kupasuka juu <strong>ya</strong> watu wenye<br />
5