12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

watu elfu makumi sita wakaangamizwa. Bahari mara ikarudi, na ikaacha kivuko kikavu; na<br />

kurudi ndani <strong>ya</strong>ke, nakuinuka juu mita makumi tano ao zaidi juu <strong>ya</strong> daraja lake la kawaida.”<br />

Tetemeko la inchi lilifanyika kwa sikukuu, wakati makanisa na nyumba za watawa zilijaa<br />

na watu, wachache sana tu waliokoka.” “Hofu <strong>ya</strong> watu ilikuwa <strong>ya</strong> kupita kiasi kwa kuieleza.<br />

Hakuna mtu aliyelia; hapakuwa na machozi mbele <strong>ya</strong> msiba kama huo. Wakakimbia huko na<br />

huko, wakipayuka payuka na hofu na mshangao, wakipiga nyuso zao na vifua, kulia, `<br />

Mesericordia! Ni mwisho wa dunia?’ Wamama wakasahau watoto wao, na kukimbia njiani<br />

pamoja na sanamu za misalaba. Kwa bahati mba<strong>ya</strong>, wengi wakakimbilia kwa makanisa<br />

kutafuta kimbilio; lakini sacramenti iliwekwa kwa bure; kwa bure viumbe maskini<br />

walikumbatia mazabahu; masanamu, mapadri, na watu wakazikwa katika uharibifu moja<br />

mba<strong>ya</strong> wa wote pamoja.”<br />

Kutiwa giza kwa jua na Mwezi<br />

Miaka makumi mbili na tano baadaye ishara ingine iliotajwa katika unabii ikaonekana -<br />

Kutiwa giza kwa jua na mwezi. Wakati wa kutimilika kwake kulionyeshwa kabisa katika<br />

mazungumzo <strong>ya</strong> Mwokozi na wanafunzi wake juu <strong>ya</strong> mlima wa Mizeituni. “Katika siku zile<br />

nbaada <strong>ya</strong> mateso <strong>ya</strong>le, jua litatiwa giza, na mwezi hautatoa nuru <strong>ya</strong>ke.” Marko 13:24. Siku<br />

1260, ao miaka, zilimalizika katika mwaka 1798, robo <strong>ya</strong> karne mbele, mateso <strong>ya</strong>likuwa<br />

karibu kuisha kabisa. Kufuata mateso ha<strong>ya</strong>, jua likatiwa giza. Kwa tarehe 19 mai 1780, unabii<br />

huu ukatimilika.<br />

Shahidi aliyejionea kwa macho katika Massachusetts akaeleza jambo hili kama ifuatavyo:<br />

“Wingu nzito sana likatawanyika juu <strong>ya</strong> mbingu nzima isipokuwa ukingo mwembamba juu<br />

<strong>ya</strong> upeo wa macho, na ilikuwa giza kama inavyokuwa kwa kawaida saa tisa kwa majira <strong>ya</strong><br />

baridi jioni... “Woga, mashaka, na hofu polepole vikajaa mioyoni mwa watu. Wanawake<br />

wakasimama mlangoni, kutazama juu <strong>ya</strong> kipande cha inchi <strong>ya</strong> giza; watu wakarudi kutoka<br />

kazini mwao katika mashamba; sermala akaacha vyombo v<strong>ya</strong>ke, mhunzi kuacha kiwanda<br />

chake, mchuuzi kuacha meza <strong>ya</strong>ke. Vyuo vikafungwa, na kwa kutetemeka watoto<br />

wakakimbilia kwao. Wasafiri wakaenda kutafuta kimbilio karibu sana <strong>ya</strong> nyumba <strong>ya</strong><br />

mashamba. “Ni kitu gani kita kuja?” Swali hili lilikuwa katika midomo yote na ndani <strong>ya</strong><br />

moyo. Ilionekana kwamba zoruba kali ilitaka kupita inchini, ao siku <strong>ya</strong> maangamizi <strong>ya</strong> vitu<br />

vyote.<br />

“Mishumaa ikatumiwa, mioto <strong>ya</strong> nyumbani ikaangaza kwa mwangaza mwingi kama usiku<br />

wa wakati wa baridi, bila mwezi... Kuku wakatoka na kwenda kwa vituo v<strong>ya</strong>o na kwenda<br />

kulala, mifugo ikakusanyika kwa fito za malisho na kulala, vyura vikalia, ndege wakaimba<br />

nyimbo zao za jioni, na popo wakaruka. Lakini watu walijua kwamba usiku ulikuwa haujafika<br />

bado...<br />

121

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!