Kupinga ya Kiprotestanti

newcovenantpublicationsintl
from newcovenantpublicationsintl More from this publisher
12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti “Hawakuomba kitu kwa inchi bali zawadi za kweli za kazi yao... Waliishi kwa uvumilivu wa taabu ya jangwani, wakanyunyizia maji ya mti wa uhuru kwa machozi yao, na jasho ya vipaji vya nyuso zao, hata ukatia mizizi yake chini sana katika inchi.” Ulinzi wa kweli Kabisa wa Ukuu wa Taifa Kanuni za Biblia zilikuwa zikifundishwa katika jamaa, chuoni, na kanisani; matunda yake yalionekana katika uangallifu wa kutumia feza, akili, usafi, na kiasi. Mtu mmoja angeweza kwa muda wa miaka “bila kuona mlevi, ao kusikia kiapo, wala kukutana na muombaji.” Kanuni za Biblia ndizo kingo ao walinzi wa kweli kabisa wa ukuu wa taifa. Inchi zaifu zilizokuwa chini ya utawala wa inchi ingine (colony) zilifanikiwa na kuwa majimbo yenye uwezo, na dunia ikaona usitawi wa “kanisa bila Papa, na serkali bila mfalme.” Lakini hesabu iliongezeka ya watu waliovutwa na Amerika kwa makusudi tofauti na Wasafiri wa kwanza. Hesabu iliyoongezeka ni ya wale waliotafuta tu faida ya kidunia. Mabwana wa kwanza wakaruhusu washiriki wa kanisa tu kwa kuchagua ao kuongoza kazi katika Serkali. Mpango huu ulikubaliwa kwa kulinda usafi wa Serkali; ukaleta matokeo ya uharibifu wa kanisa. Wengi wakajiunga na kanisa bila badiliko la moyo. Hata katika kazi ya injili kulikuwa wale waliokuwa wajinga wa uwezo mpya wa Roho Mtakatifu. Tangu siku za Constantine hata wakati huu, kujaribu kujenga kanisa kwa usaada wa serkali, ambapo inaweza kuonekana kuleta ulimwengu karibu ya kanisa, kwa kweli huleta kanisa karibu ya ulimwengu. Makanisa ya Protestanti ya Amerika, na yale ya Ulaya pia, yakashindwa kuendelea mbele katika njia ya matengenezo. Wengi, kama Wayahudi wa siku za Kristo ao wakatoliki katika wakati wa Luther, walirizika kuamini kama mababa zao walivyoamini. Makosa na ibada ya sanamu vilishikwa. Matengenezo polepole yakafa, hata kukawa haja kubwa sana ya matengenezo katika makanisa ya Kiprotestanti hata katika kanisa la kiRoma wakati wa Luther. Hapo kulikuwa heshima ya namna moja kwa maoni ya watu na kutia mafikara ya binadamu kwa nafsi ya Neno la Mungu. Watu wakaacha kutafuta Maandiko na kwa hiyo wakaendelea kutunza mafundisho ambayo haikuwa na msingi katika Biblia. Kiburi na upotovu (ujinga) yakalindwa chini ya umbo la dini, na makanisa yakaharibika. Mambo ya asili ambayo yalipaswa kuharibu mamilioni ya watu yalikuwa yakipata mizizi ya nguvu. Kanisa lilikuwa likishika mambo ya asili haya baadala ya kushindana kwa ajili ya “imani ambayo iliyotolewa kwa watakatifu.” Ndiyo namna kanuni ziliunguzwa heshima (aibishwa) ambazo Watengenezaji walizotesekea sana. 118

Kupinga ya Kiprotestanti Sura 17. Ahadi za Kurudi kwa Kristo Ahadi ya kuja kwa Kristo mara ya pili ili kutimiza kazi kubwa ya ukombozi ni msingi wa Maandiko matakatifu. Tangu Edeni, watoto wa imani wamengojea kuja kwa Yule Aliyeahidiwa kwa kuwaleta tena kwa Paradiso iliyopotea. Enoki, mtu wa saba katika uzao kutoka kwa wale ambao waliokaa katika Edeni, ambaye kwa karne tatu alitembea pamoja na Mungu, akatangaza, “Angalia, Bwana anakuja na watakatifu wake, elfu kumi, ill afanye hukumu juu ya watu wote,” Yuda 14,15. Yobu katika usiku wa taabu akapaaza sauti, “Lakini ninajua ya kuwa Mkombozi wangu ni hai, Na ya kuwa katika siku za mwisho atasimama juu ya inchi:... pasipo mwili wangu nitamuona Mungu: Na mimi mwenyewe nitamuona. Na macho yangu yatamutazama, wala si mwingine.” Yoba 19:25-27. Washairi (poets) na manabii wa Biblia walieleza sana juu ya kuja kwa Kristo katika maneno yenye mwangaza wa moto. “Mbingu zifurahi, na inchi ishangilie, ... Mbele ya Bwana, kwa maana anakuja; Kwa maana anakuja kuhukumu inchi. Atahukumu ulimwengu kwa haki, na mataifa kwa kweli yake.” Zaburi 96:11-13. Akasema Isaya: “Katika siku ile itasemwa, Tazama, huyu ndiye Mungu wetu, Tumemungoja, ... Tutashangilia na tutafurahi katika wokovu wake.” Isaya 25:9. Mwokozi akafariji wanafunzi wake na tumaini ya kuwa atakuja tena: “Katika nyumba ya Baba yangu ni makao mengi ... ninakwenda, kuwatengenezea ninyi makao. Na kama ninakwenda, ... nitakuja tena, na nitawakaribisha ninyi kwangu.” “Mwana wa watu atakapokuja katika utukufu wake, na malaika wote pamoja naye, halafu ataketi juu ya kiti cha utukufu wake; na mbele yake mataifa yote watakusanyika.” Yoane 14:2,3; Matayo 25:31,32. Malaika walikariri kwa wanafunzi ahadi ya kurudi kwake; “Huyu Yesu aliyechukuliwa toka kwenu kwenda juu mbinguni, atakuja namna hii sawasawa mulivyomwona akikwenda zake mbinguni.” Matendo 1:11. Na Paulo akashuhudia: “Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka toka mbinguni, na sauti kubwa, na sauti ya malaika mkubwa, pamoja na baragumu ya Mungu.” 1 Watesalonika 4:16. Akasema nabii wa Patemo: “Tazama, anakuja na mawingu; na kila jicho litamwona.” Ufunuo 1:7. Halafu desturi ndefu iliyoendelea ya uovu itavunjika: “Ufalme wa dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake, naye atatawala hata milele na milele.” Ufunuo 11:15. “Na kama shamba linalochipuza vitu vilivyopandwa ndani yake: ndivyo Bwana Mungu ataotesha haki na sifa mbele ya mataifa yote.” Isaya 61:11. Halafu ufalme wa amani wa Masiya utaimarishwa “Maana Bwana atafariji Sayuni; atafariji pahali pake pote pa pori; atafanya jangwa lake kuwa kama Edeni, na jangwa lake kama shamba la Bwana.” Isaya 51:3. Kuja kwa Bwana kumekuwa katika vizazi vyote tumaini la wafuasi wake wa kweli. Kati ya taabu na mateso, “na kuonekana kwa utukufu wa Mungu mkubwa, Mwokozi wetu Yesu 119

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 17. Ahadi za Kurudi kwa Kristo<br />

Ahadi <strong>ya</strong> kuja kwa Kristo mara <strong>ya</strong> pili ili kutimiza kazi kubwa <strong>ya</strong> ukombozi ni msingi wa<br />

Maandiko matakatifu. Tangu Edeni, watoto wa imani wamengojea kuja kwa Yule<br />

Aliyeahidiwa kwa kuwaleta tena kwa Paradiso iliyopotea.<br />

Enoki, mtu wa saba katika uzao kutoka kwa wale ambao waliokaa katika Edeni, ambaye<br />

kwa karne tatu alitembea pamoja na Mungu, akatangaza, “Angalia, Bwana anakuja na<br />

watakatifu wake, elfu kumi, ill afanye hukumu juu <strong>ya</strong> watu wote,” Yuda 14,15. Yobu katika<br />

usiku wa taabu akapaaza sauti, “Lakini ninajua <strong>ya</strong> kuwa Mkombozi wangu ni hai, Na <strong>ya</strong> kuwa<br />

katika siku za mwisho atasimama juu <strong>ya</strong> inchi:... pasipo mwili wangu nitamuona Mungu: Na<br />

mimi mwenyewe nitamuona. Na macho <strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong>tamutazama, wala si mwingine.” Yoba<br />

19:25-27. Washairi (poets) na manabii wa Biblia walieleza sana juu <strong>ya</strong> kuja kwa Kristo katika<br />

maneno yenye mwangaza wa moto. “Mbingu zifurahi, na inchi ishangilie, ... Mbele <strong>ya</strong> Bwana,<br />

kwa maana anakuja; Kwa maana anakuja kuhukumu inchi. Atahukumu ulimwengu kwa haki,<br />

na mataifa kwa kweli <strong>ya</strong>ke.” Zaburi 96:11-13.<br />

Akasema Isa<strong>ya</strong>: “Katika siku ile itasemwa, Tazama, huyu ndiye Mungu wetu,<br />

Tumemungoja, ... Tutashangilia na tutafurahi katika wokovu wake.” Isa<strong>ya</strong> 25:9. Mwokozi<br />

akafariji wanafunzi wake na tumaini <strong>ya</strong> kuwa atakuja tena: “Katika nyumba <strong>ya</strong> Baba <strong>ya</strong>ngu<br />

ni makao mengi ... ninakwenda, kuwatengenezea ninyi makao. Na kama ninakwenda, ...<br />

nitakuja tena, na nitawakaribisha ninyi kwangu.” “Mwana wa watu atakapokuja katika<br />

utukufu wake, na malaika wote pamoja naye, halafu ataketi juu <strong>ya</strong> kiti cha utukufu wake; na<br />

mbele <strong>ya</strong>ke mataifa yote watakusanyika.” Yoane 14:2,3; Matayo 25:31,32.<br />

Malaika walikariri kwa wanafunzi ahadi <strong>ya</strong> kurudi kwake; “Huyu Yesu aliyechukuliwa<br />

toka kwenu kwenda juu mbinguni, atakuja namna hii sawasawa mulivyomwona akikwenda<br />

zake mbinguni.” Matendo 1:11. Na Paulo akashuhudia: “Kwa sababu Bwana mwenyewe<br />

atashuka toka mbinguni, na sauti kubwa, na sauti <strong>ya</strong> malaika mkubwa, pamoja na baragumu<br />

<strong>ya</strong> Mungu.” 1 Watesalonika 4:16. Akasema nabii wa Patemo: “Tazama, anakuja na mawingu;<br />

na kila jicho litamwona.” Ufunuo 1:7.<br />

Halafu desturi ndefu iliyoendelea <strong>ya</strong> uovu itavunjika: “Ufalme wa dunia umekwisha kuwa<br />

ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake, naye atatawala hata milele na milele.” Ufunuo<br />

11:15. “Na kama shamba linalochipuza vitu vilivyopandwa ndani <strong>ya</strong>ke: ndivyo Bwana<br />

Mungu ataotesha haki na sifa mbele <strong>ya</strong> mataifa yote.” Isa<strong>ya</strong> 61:11.<br />

Halafu ufalme wa amani wa Masi<strong>ya</strong> utaimarishwa “Maana Bwana atafariji Sayuni;<br />

atafariji pahali pake pote pa pori; atafan<strong>ya</strong> jangwa lake kuwa kama Edeni, na jangwa lake<br />

kama shamba la Bwana.” Isa<strong>ya</strong> 51:3.<br />

Kuja kwa Bwana kumekuwa katika vizazi vyote tumaini la wafuasi wake wa kweli. Kati<br />

<strong>ya</strong> taabu na mateso, “na kuonekana kwa utukufu wa Mungu mkubwa, Mwokozi wetu Yesu<br />

119

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!