12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

angeweza kuamuru shauri fulani ao imani leo na ingine kesho; kama ilivyokuwa ikifanyika<br />

katika Uingereza na wafalme wa kuachana na wamalkia, na mapapa wa kuachana na<br />

mabaraza katika Kanisa la Roma.”<br />

Kuhuzuria katika kanisa lililosimamishwa ililazimishwa chini <strong>ya</strong> malipo ao kifungo.<br />

“Kushurutisha watu kuungana pamoja na wale wa imani <strong>ya</strong> kuachana, yeye (Williams)<br />

aliangalia jambo hilo kama kutendea zambi kwa wazi kwa haki zao halisi, kukokota watu<br />

wasio kuwa wa dini kwa ibada na wasiopenda, ilikuwa ni kukuza unafiki... Hakuna mutu<br />

alipashwa kulazimishwa kuabudu Mungu, ao, akaongeza, kushikilia ibada, kinyume cha<br />

ukubali wake mwenyewe!”<br />

Roger Williams aliheshimiwa, lakini haja <strong>ya</strong>ke kwa ajili <strong>ya</strong> uhuru wa dini haukuweza<br />

kuvumiliwa. Kwa kuepuka kufungwa akalazimishwa kukimbilia kati kati <strong>ya</strong> baridi ng zoruba<br />

<strong>ya</strong> majira <strong>ya</strong> baridi katika poli usiokatwa bado.<br />

“Kwa muda wa majuma kumi na inne,” akasema, “Nikarushwa sana katika majira <strong>ya</strong><br />

uchungu, bila kuwa na mkate ao kitanda.” Lakini “Kunguru wakanilisha jangwani,” shimo<br />

ndani <strong>ya</strong> mti nikaitumia mara kwa mara kuwa ficho.” Akaendelea na ukimbizi wake wa<br />

uchungu katika theluji na mwitu usio na njia hata akapata kimbilio pamoja na kabila la<br />

Wahindi ambao aliopata matumaini na upendo wao.<br />

Akaweka msingi wa jimbo la kwanza la n<strong>ya</strong>kati za kisasa lile lililo tambua haki “kwamba<br />

kila mutu alipashwa kuwa na uhuru kwa kuabudu Mungu kufuatana na nuru <strong>ya</strong> zamiri <strong>ya</strong>ke<br />

mwenyewe.” Jimbo lake ndogo, Kisiwa cha Rhode, likaongezeka na kusitawi hata kwa kanuni<br />

zake za msingi--uhuru wa serekali na wa dini--vikawa mawe <strong>ya</strong> pembeni <strong>ya</strong> Jamuhuri <strong>ya</strong><br />

Amerika.<br />

Barua <strong>ya</strong> maagano wa Uhuru<br />

Tangazo la Amerika la Uhuru likatangazwa: “Tunashika kweli hizi kuwa zamiri binafsi,<br />

kwamba watu wote waliumbwa kuwa sawasawa; na kwamba Muumba aliwapa haki fulani<br />

zisizoondolewa; ambazo katika hizo kuna uzima, uhuru, na kutafuta furaha.” Serkali (<strong>ya</strong><br />

Amerika) iliahidi heshima <strong>ya</strong> zamiri: “Baraza kuu halitaweza kufan<strong>ya</strong> sheria hata moja<br />

inayosimamia kwa dini, ao inayokataza uhuru wa dini.”<br />

“Watengenezaji wa Serkali wakatambua kanuni <strong>ya</strong> milele kwamba uhusiano wa mtu na<br />

Mungu wake unakuwa juu <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> binadamu, na haki zake za zamiri <strong>ya</strong> daima... Ni<br />

kanuni <strong>ya</strong>kuliwa ambayo hakuna kitu kitakacho weza kuiondoa.”<br />

Habari ikaenezwa katika Ula<strong>ya</strong> kwamba kuna inchi ambapo kila mtu anaweza kufurahiwa<br />

matunda <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>ke na kutii zamiri <strong>ya</strong>ke. Maelfu wakasongana kwa pande za pwani za<br />

Dunia Mp<strong>ya</strong>. Katika miaka makumi mbili kutoka siku <strong>ya</strong> kufika mara <strong>ya</strong> kwanza huko<br />

Plymouth (1620), jinsi maelfu mengi <strong>ya</strong> Wasafiri walikaa katika Uingereza Mp<strong>ya</strong>.<br />

117

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!