Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
“Nawaagiza mbele <strong>ya</strong> Mungu na malaika wake wenye kubarikiwa kwamba munifuate si<br />
mbali kama nilivyomfuata Kristo. Kama Mungu angepashwa kufunua kitu cho chote kwenu<br />
kwa chombo kingine chake, muwe ta<strong>ya</strong>ri kukikubali kwa furaha mliyokuwa nayo kukubali<br />
ukweli wa kazi <strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong> kuhubiri; kwa maana ninakuwa na tumaini kwamba Bwana anakuwa<br />
na ukweli zaidi na nuru kuangazia <strong>ya</strong> neno lake takatifu.”<br />
“Kwa upande wangu mimi, siwezi kusikitikia <strong>ya</strong> kutosha hali <strong>ya</strong> makanisa <strong>ya</strong><br />
matengenezo, ambayo ...haitaenda sasa mbali zaidi kuliko wasimamizi wao wa matengenezo.<br />
Haiwezekani kuvuta watu wa dini <strong>ya</strong> Luther kufan<strong>ya</strong> hatua moja zaidi mbali kuliko Luther<br />
alivyoona; ... na watu wa imani <strong>ya</strong> Calvin, munawaona wanabakia pale ambapo mutu mkuu<br />
wa Mungu aliwaacha, ambaye hata hivyo hakuona mambo yote. ... Ijapo walikuwa taa za<br />
kuwaka na kuangaza katika wakati wao, lakini hawakujua shauri lote la Mungu, lakini kama<br />
wangaliishi leo, wangekubali nuru mp<strong>ya</strong> zaidi kama ile waliyokubali mara <strong>ya</strong> kwanza.”<br />
“Kumbukeni ahadi yenu na agano pamoja na Mungu na pamoja na mtu kwa mwenzake,<br />
kukubali nuru yo yote na ukweli utakaojulishwa kwenu kutoka kwa neno lake lililoandikwa;<br />
lakini zaidi, mjihazari, nawasihi, kuhusu mnayokubali kwa ajili <strong>ya</strong> kweli, na kuilinganisha na<br />
kupima uzito wake kwa maandiko mengine <strong>ya</strong> ukweli mbele <strong>ya</strong> kuikubali; kwani haiwezekani<br />
kwa dunia la Kikristo ambayo ilitoka giza nzito kwa kuchelewa ifikie maarifa kamili mara<br />
moja.”<br />
Haja <strong>ya</strong> uhuru wa zamiri ikaongoza Wasafiri kuvuka bahari, kuvumukia magumu <strong>ya</strong><br />
jangwani, na kuweka msingi wa taifa kubwa. Lakini Wasafiri hawakufahamu bado kanuni <strong>ya</strong><br />
uhuru wa dini. Uhuru ambao walijitolea kafara sana kwa ajili <strong>ya</strong>o wenyewe, hawakuwa ta<strong>ya</strong>ri<br />
kuutolea wengine. Mafundisho ambayo Mungu alitolea Kanisa haki <strong>ya</strong> kuongoza zamiri na<br />
kuleza wazi na kuazibu uzushi ni mojawapo <strong>ya</strong> makosa makubwa <strong>ya</strong> Kanisa la Roma.<br />
Watengenezaji hawakuwa na uhuru kabisa kwa roho <strong>ya</strong> Roma <strong>ya</strong> kutovumilia. Giza kubwa<br />
sana ambayo Roma ilifunika Kanisa la Kikristo haikuondolewa kabisa.<br />
Kanisa la serkali lilitengenezwa na wagandamizi, waamuzi walioruhusiwa kukomesha<br />
uzushi. Kwa hiyo uwezo wa serkali ulikuwa mikononi mwa Kanisa. Mipango hii haikuleta<br />
matokeo mengine isipokuwa mateso.<br />
Roger Williams<br />
Kama vile Wasafiri wa kwanza, Roger Williams akaja kwa Dunia Mp<strong>ya</strong> kufurahia uhuru<br />
wa dini. Lakini aliufahamu kwa namna ingine si kama Wasafiri, akaona mambo ambayo watu<br />
wachache tu waliona, kwamba uhuru huu ulipashwa kuwa haki kwa watu wote. Alikuwa<br />
mtafuti (atafutaye) wa bidii wa kweli. Williams alikuwa mtu wa kwanza katika Ukristo wa<br />
kisasa kwa kuanzisha serkali inayosimamia kwa mafundisho <strong>ya</strong> uhuru wa zamiri.” “Watu ao<br />
waamuzi wanaweza kukata shauri,” akasema, “ni nini inastahili kati <strong>ya</strong> mtu na mtu; lakini<br />
wanapojaribu kufafanua wajibu wa mtu kwa Mungu, hapa wanaachana na Mungu, na hapo<br />
hapawezi kuwa na salama; kwani ni wazi kwamba kama mwamuzi anakuwa na uwezo,<br />
116