12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

“Nawaagiza mbele <strong>ya</strong> Mungu na malaika wake wenye kubarikiwa kwamba munifuate si<br />

mbali kama nilivyomfuata Kristo. Kama Mungu angepashwa kufunua kitu cho chote kwenu<br />

kwa chombo kingine chake, muwe ta<strong>ya</strong>ri kukikubali kwa furaha mliyokuwa nayo kukubali<br />

ukweli wa kazi <strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong> kuhubiri; kwa maana ninakuwa na tumaini kwamba Bwana anakuwa<br />

na ukweli zaidi na nuru kuangazia <strong>ya</strong> neno lake takatifu.”<br />

“Kwa upande wangu mimi, siwezi kusikitikia <strong>ya</strong> kutosha hali <strong>ya</strong> makanisa <strong>ya</strong><br />

matengenezo, ambayo ...haitaenda sasa mbali zaidi kuliko wasimamizi wao wa matengenezo.<br />

Haiwezekani kuvuta watu wa dini <strong>ya</strong> Luther kufan<strong>ya</strong> hatua moja zaidi mbali kuliko Luther<br />

alivyoona; ... na watu wa imani <strong>ya</strong> Calvin, munawaona wanabakia pale ambapo mutu mkuu<br />

wa Mungu aliwaacha, ambaye hata hivyo hakuona mambo yote. ... Ijapo walikuwa taa za<br />

kuwaka na kuangaza katika wakati wao, lakini hawakujua shauri lote la Mungu, lakini kama<br />

wangaliishi leo, wangekubali nuru mp<strong>ya</strong> zaidi kama ile waliyokubali mara <strong>ya</strong> kwanza.”<br />

“Kumbukeni ahadi yenu na agano pamoja na Mungu na pamoja na mtu kwa mwenzake,<br />

kukubali nuru yo yote na ukweli utakaojulishwa kwenu kutoka kwa neno lake lililoandikwa;<br />

lakini zaidi, mjihazari, nawasihi, kuhusu mnayokubali kwa ajili <strong>ya</strong> kweli, na kuilinganisha na<br />

kupima uzito wake kwa maandiko mengine <strong>ya</strong> ukweli mbele <strong>ya</strong> kuikubali; kwani haiwezekani<br />

kwa dunia la Kikristo ambayo ilitoka giza nzito kwa kuchelewa ifikie maarifa kamili mara<br />

moja.”<br />

Haja <strong>ya</strong> uhuru wa zamiri ikaongoza Wasafiri kuvuka bahari, kuvumukia magumu <strong>ya</strong><br />

jangwani, na kuweka msingi wa taifa kubwa. Lakini Wasafiri hawakufahamu bado kanuni <strong>ya</strong><br />

uhuru wa dini. Uhuru ambao walijitolea kafara sana kwa ajili <strong>ya</strong>o wenyewe, hawakuwa ta<strong>ya</strong>ri<br />

kuutolea wengine. Mafundisho ambayo Mungu alitolea Kanisa haki <strong>ya</strong> kuongoza zamiri na<br />

kuleza wazi na kuazibu uzushi ni mojawapo <strong>ya</strong> makosa makubwa <strong>ya</strong> Kanisa la Roma.<br />

Watengenezaji hawakuwa na uhuru kabisa kwa roho <strong>ya</strong> Roma <strong>ya</strong> kutovumilia. Giza kubwa<br />

sana ambayo Roma ilifunika Kanisa la Kikristo haikuondolewa kabisa.<br />

Kanisa la serkali lilitengenezwa na wagandamizi, waamuzi walioruhusiwa kukomesha<br />

uzushi. Kwa hiyo uwezo wa serkali ulikuwa mikononi mwa Kanisa. Mipango hii haikuleta<br />

matokeo mengine isipokuwa mateso.<br />

Roger Williams<br />

Kama vile Wasafiri wa kwanza, Roger Williams akaja kwa Dunia Mp<strong>ya</strong> kufurahia uhuru<br />

wa dini. Lakini aliufahamu kwa namna ingine si kama Wasafiri, akaona mambo ambayo watu<br />

wachache tu waliona, kwamba uhuru huu ulipashwa kuwa haki kwa watu wote. Alikuwa<br />

mtafuti (atafutaye) wa bidii wa kweli. Williams alikuwa mtu wa kwanza katika Ukristo wa<br />

kisasa kwa kuanzisha serkali inayosimamia kwa mafundisho <strong>ya</strong> uhuru wa zamiri.” “Watu ao<br />

waamuzi wanaweza kukata shauri,” akasema, “ni nini inastahili kati <strong>ya</strong> mtu na mtu; lakini<br />

wanapojaribu kufafanua wajibu wa mtu kwa Mungu, hapa wanaachana na Mungu, na hapo<br />

hapawezi kuwa na salama; kwani ni wazi kwamba kama mwamuzi anakuwa na uwezo,<br />

116

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!