Kupinga ya Kiprotestanti

newcovenantpublicationsintl
from newcovenantpublicationsintl More from this publisher
12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti na wakapatwa na lazima ya ufunuo wa mambo ya kimungu na dini ya hakika. Tokea wakati huu kazi za ujumbe wa kigeni zikapata maendeleo kuliko mbele. (Tazama Nyongezo.) Maendeleo katika ufundi wa uchapishaji ulisaidia sana kwa maenezi ya Biblia. Kupotea kwa upendeleo usio na haki wa zamani na ubaguzi wa taifa na mwisho wa uwezo wa ulimwengu, askofu wa Roma kukafungua njia kwa mwingilio wa Neno la Mungu. Sasa Biblia ikachukuliwa kwa kila sehemu ya dunia. Kafiri Voltaire akasema: “Nachoka kusikia kukariri kwamba watu kumi na mbili walianzisha dini ya kikristo.” Nitawaonyesha kwamba mtu mmoja anatosha kwa kuiangamiza” (N.B Missine,sentence). Mamilioni ya watu wakajiunga katika vita juu ya Biblia. Lakini ni mbali kwa kuiangamiza. Mahali palikuwa mia kwa wakati wa Voltaire, sasa panakuwa vitabu ama nakala mamia ya maelfu ya Kitabu cha Mungu. Katika maneno ya Mtengenezaji wa mwanzo, “Biblia ni chuma cha mfinyanzi iliyomaliza nyundo nyingi.” Chochote kitu kilichojengwa juu ya mamlaka ya mtu kitaangushwa; lakini kile ambacho kilijengwa juu ya mwamba wa Neno la Mungu, kitasimama milele 114

Kupinga ya Kiprotestanti Sura 16. Kutafuta Uhuru Katika Dunia Mpya Ijapo mamlaka na imani ya Roma mambo yale yalikataliwa, kanuni nyingi ziliingizwa katika ibada ya Kanisa la Uingereza. Ilidaiwa kwamba mambo yasiyokatazwa katika Maandiko hayakuwa na uovu wa hatari. Kwa kuyashika kunafaa kwa kupunguza shimo kubwa ambalo lilitenga makanisa ya matengenezo na Roma, na ilishurtishwa kwamba wangesaidia Wakatoliki kukubali imani ya Kiprotestanti. Kundi lingine halikuamua vile. Waliangalia desturi hizi kama dalili ya utumwa ambao walikombolewa. Walifikiri kwamba Mungu katika Neno lake ameimarisha maagizo kwa kutawala ibada yake, na kwamba watu hawana uhuru wa kuongeza kwa haya ao kutosha kwa haya. Roma ikaanza kulazimisha yale Mungu hakukataza,na ikaishia kukataza yale aliyo amuru wazi wazi. Wengi wakaangalia desturi za Kanisa la Kiingereza kama nguzo za ukumbusho wa ibada ya sanamu, na hawakuweza kujiunga kwa ibada yake. Lakini Kanisa lilisaidiwa na mamlaka ya serkali, haingeruhusu mafarakano. Mikutano isiyoruhusiwa kwa ajili ya ibada ilikatazwa chini ya malipizi ya kufungwa, kuhamishwa ao mauti. Kuwindwa, kuteswa, na kufungwa, watu walioishi maisha safi ya unyofu hawakuweza kutambua ahadi ya siku bora. Wengine wakakusudia kutafuta kimbilio katika Uhollande, wakasalitiwa katika mikono ya adui zao. Lakini wakavumilia kwa uaminifu na mwishowe wakashinda, na wakapata kimbilio katika pwani za urafiki. Waliacha nyumba zao na mali yao ya uchumi. Walikuwa wageni katika inchi ya kigeni, kurudia kwa kazi mpya ili wapate mkate wao. Lakini hawakupoteza wakati kwa uvivu ao kusikitika. Walimshukuru Mungu kwa ajili ya mibaraka waliyopata na wakawa na furaha katika ushirika wa kiroho wa raha ambao haukusumbuluwa. Mungu akageuza matokeo Wakati mkono wa Mungu ulionekana ukiwashota kuvuka bahari kwenda kwa inchi ambayo wanaweza kupata inchi na kuachia watoto wao uriti wa uhuru wa dini, wakaendelea katika njia ya maongozi ya Mungu. Mateso na kujihamisha vilikuwa vikifungua njia kwa uhuru. Wakati mara ya kwanza walipolazimishwa kujitenga kutoka kwa kanisa la Kiingereza, Watu walioishi maisha safi wakajiunga waowenyewe kwa maagano kama watu huru wa Bwana “kwa kutembea pamoja katika njia zake zote zilizojulishwa ao zinazopaswa kujulishwa kwao.” Hapa ndipo palikuwa na kanuni ya maana sana ya Kiprotestanti. Kwa kusudi hili Wasafiri wakatoka Uholandi kutafuta makao katika Dunia Mpya. Yohana Robinson, mchungaji wao, katika hotuba yake ya kuaga kwenda kwa mahamisho akasema: 115

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 16. Kutafuta Uhuru Katika Dunia Mp<strong>ya</strong><br />

Ijapo mamlaka na imani <strong>ya</strong> Roma mambo <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>likataliwa, kanuni nyingi ziliingizwa<br />

katika ibada <strong>ya</strong> Kanisa la Uingereza. Ilidaiwa kwamba mambo <strong>ya</strong>siyokatazwa katika<br />

Maandiko ha<strong>ya</strong>kuwa na uovu wa hatari. Kwa ku<strong>ya</strong>shika kunafaa kwa kupunguza shimo<br />

kubwa ambalo lilitenga makanisa <strong>ya</strong> matengenezo na Roma, na ilishurtishwa kwamba<br />

wangesaidia Wakatoliki kukubali imani <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong>.<br />

Kundi lingine halikuamua vile. Waliangalia desturi hizi kama dalili <strong>ya</strong> utumwa ambao<br />

walikombolewa. Walifikiri kwamba Mungu katika Neno lake ameimarisha maagizo kwa<br />

kutawala ibada <strong>ya</strong>ke, na kwamba watu hawana uhuru wa kuongeza kwa ha<strong>ya</strong> ao kutosha kwa<br />

ha<strong>ya</strong>. Roma ikaanza kulazimisha <strong>ya</strong>le Mungu hakukataza,na ikaishia kukataza <strong>ya</strong>le aliyo<br />

amuru wazi wazi.<br />

Wengi wakaangalia desturi za Kanisa la Kiingereza kama nguzo za ukumbusho wa ibada<br />

<strong>ya</strong> sanamu, na hawakuweza kujiunga kwa ibada <strong>ya</strong>ke. Lakini Kanisa lilisaidiwa na mamlaka<br />

<strong>ya</strong> serkali, haingeruhusu mafarakano. Mikutano isiyoruhusiwa kwa ajili <strong>ya</strong> ibada ilikatazwa<br />

chini <strong>ya</strong> malipizi <strong>ya</strong> kufungwa, kuhamishwa ao mauti.<br />

Kuwindwa, kuteswa, na kufungwa, watu walioishi maisha safi <strong>ya</strong> unyofu hawakuweza<br />

kutambua ahadi <strong>ya</strong> siku bora. Wengine wakakusudia kutafuta kimbilio katika Uhollande,<br />

wakasalitiwa katika mikono <strong>ya</strong> adui zao. Lakini wakavumilia kwa uaminifu na mwishowe<br />

wakashinda, na wakapata kimbilio katika pwani za urafiki.<br />

Waliacha nyumba zao na mali <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> uchumi. Walikuwa wageni katika inchi <strong>ya</strong> kigeni,<br />

kurudia kwa kazi mp<strong>ya</strong> ili wapate mkate wao. Lakini hawakupoteza wakati kwa uvivu ao<br />

kusikitika. Walimshukuru Mungu kwa ajili <strong>ya</strong> mibaraka waliyopata na wakawa na furaha<br />

katika ushirika wa kiroho wa raha ambao haukusumbuluwa.<br />

Mungu akageuza matokeo<br />

Wakati mkono wa Mungu ulionekana ukiwashota kuvuka bahari kwenda kwa inchi<br />

ambayo wanaweza kupata inchi na kuachia watoto wao uriti wa uhuru wa dini, wakaendelea<br />

katika njia <strong>ya</strong> maongozi <strong>ya</strong> Mungu. Mateso na kujihamisha vilikuwa vikifungua njia kwa<br />

uhuru.<br />

Wakati mara <strong>ya</strong> kwanza walipolazimishwa kujitenga kutoka kwa kanisa la Kiingereza,<br />

Watu walioishi maisha safi wakajiunga waowenyewe kwa maagano kama watu huru wa<br />

Bwana “kwa kutembea pamoja katika njia zake zote zilizojulishwa ao zinazopaswa<br />

kujulishwa kwao.” Hapa ndipo palikuwa na kanuni <strong>ya</strong> maana sana <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong>. Kwa<br />

kusudi hili Wasafiri wakatoka Uholandi kutafuta makao katika Dunia Mp<strong>ya</strong>. Yohana<br />

Robinson, mchungaji wao, katika hotuba <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kuaga kwenda kwa mahamisho akasema:<br />

115

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!