12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

na wakapatwa na lazima <strong>ya</strong> ufunuo wa mambo <strong>ya</strong> kimungu na dini <strong>ya</strong> hakika. Tokea wakati<br />

huu kazi za ujumbe wa kigeni zikapata maendeleo kuliko mbele. (Tazama Nyongezo.)<br />

Maendeleo katika ufundi wa uchapishaji ulisaidia sana kwa maenezi <strong>ya</strong> Biblia. Kupotea<br />

kwa upendeleo usio na haki wa zamani na ubaguzi wa taifa na mwisho wa uwezo wa<br />

ulimwengu, askofu wa Roma kukafungua njia kwa mwingilio wa Neno la Mungu. Sasa Biblia<br />

ikachukuliwa kwa kila sehemu <strong>ya</strong> dunia.<br />

Kafiri Voltaire akasema: “Nachoka kusikia kukariri kwamba watu kumi na mbili<br />

walianzisha dini <strong>ya</strong> kikristo.” Nitawaonyesha kwamba mtu mmoja anatosha kwa<br />

kuiangamiza” (N.B Missine,sentence). Mamilioni <strong>ya</strong> watu wakajiunga katika vita juu <strong>ya</strong><br />

Biblia. Lakini ni mbali kwa kuiangamiza. Mahali palikuwa mia kwa wakati wa Voltaire, sasa<br />

panakuwa vitabu ama nakala mamia <strong>ya</strong> maelfu <strong>ya</strong> Kitabu cha Mungu. Katika maneno <strong>ya</strong><br />

Mtengenezaji wa mwanzo, “Biblia ni chuma cha mfin<strong>ya</strong>nzi iliyomaliza nyundo nyingi.”<br />

Chochote kitu kilichojengwa juu <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> mtu kitaangushwa; lakini kile ambacho<br />

kilijengwa juu <strong>ya</strong> mwamba wa Neno la Mungu, kitasimama milele<br />

114

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!