12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kosa la Hatari<br />

Kosa la mauti ambalo lilileta msiba wa namna hiyo kwa Ufransa lilikuwa kuitokujali kwa<br />

ukweli huu mmoja mkubwa; uhuru wa kweli unaokuwa katikati <strong>ya</strong> makatazo <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong><br />

Mungu. “Laiti ungalisikiliza maagizo <strong>ya</strong>ngu! Ndipo salama <strong>ya</strong>ko ingalikuwa kama mto, na<br />

haki <strong>ya</strong>ko kama mawimbi <strong>ya</strong> bahari.” Isa<strong>ya</strong> 48:18. Wale ambao hawatasoma fundisho kutoka<br />

kwa Kitabu cha Mungu wanaalikwa kulisoma katika historia.<br />

Wakati Shetani alitenda kwa njia <strong>ya</strong> kanisa la Roma kuongoza watu kuacha utii, kazi <strong>ya</strong>ke<br />

ikageuka.. Kwa kazi <strong>ya</strong> Roho wa Mungu makusudi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kazuiwa kufikia matumizi <strong>ya</strong>o<br />

kamili. Watu hawakutafuta matokeo kwa mwanzo wake na kuvumbua asili <strong>ya</strong> taabu zao.<br />

Lakini katika mapinduzi sheria <strong>ya</strong> Mungu iliwekwa kando kwa wazi na Baraza la Taifa. Na<br />

katika Utawala wa Hofu Kuu uliofuata, kazi na matokeo <strong>ya</strong>liweza kuonekana kwa wote.<br />

Kuvunja sheria <strong>ya</strong> haki na nzuri matunda <strong>ya</strong>ke inapaswa kuwa maangamizi. Roho wa<br />

Mungu wa kiasi, ambaye analazimisha uaguzi juu <strong>ya</strong> uwezo mkali wa Shetani, uliotoka kwa<br />

kiasi kikubwa, na yule ambaye furaha <strong>ya</strong>ke ni taabu <strong>ya</strong> watu aliruhusiwa kufan<strong>ya</strong> mapenzi<br />

<strong>ya</strong>ke. Wale waliochagua uasi waliachiwa kuvuna matunda <strong>ya</strong>ke. Inchi ikajaa na zambi.<br />

Kutoka mitaa iliyoteketezwa na miji iliyoangamizwa kilio, cha kutisha kilisikiwa cha<br />

maumivu makali. Ufransa ukatikisishwa kama kwa tetemeko. Dini, sheria, kanuni <strong>ya</strong> watu<br />

wote, jamaa, serkali, na kanisa--vyote vikashindwa na mkono mpotovu ambao uliinuliwa<br />

kupinga sheria <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Washuhuda waaminifu wa Mungu, waliochinjwa kwa uwezo wa dini <strong>ya</strong> yule “anayotoka<br />

katika shimo pasipo mwisho,” hawakubakia kim<strong>ya</strong>.” Na nyuma <strong>ya</strong> siku tatu na nusu, roho <strong>ya</strong><br />

uhai ikatoka kwa Mungu ikaingia ndani <strong>ya</strong>o, wakasimama juu <strong>ya</strong> miguu <strong>ya</strong>o; woga mkubwa<br />

ukaangukia watu wote waliowatazama.” Ufunuo 11:11. Katika mwaka 1793 Baraza la Taifa<br />

la Ufransa likaweka amri za kutenga Biblia kando. Miaka mitatu na nusu baadaye, shauri la<br />

kutangua amri hizi likakubaliwa na mkutano ule ule. Watu wakatambua lazima <strong>ya</strong> imani<br />

katika Mungu na Neno lake kama msingi wa uwezo na maarifa <strong>ya</strong> wema na uba<strong>ya</strong>.<br />

Kwa habari <strong>ya</strong> “washuhuda wawili” (Maagano <strong>ya</strong> Kale na Jip<strong>ya</strong>) nabii akatangaza zaidi:<br />

“Wakasikia sauti kubwa kutoka mbingu ikisema kwao: Pandeni hata hapa. Wakapanda<br />

mbinguni katika wingu, adui zao wakiwatazama.” Ufunuo 11:12. “Washahidi hawa wawili<br />

wa Mungu” wakaheshimiwa zaidi kuliko mbele. Katika mwaka 1804 Chama cha Biblia cha<br />

Uingereza na inchi za kigeni kikatengenezwa, kikafuatwa na matengenezo <strong>ya</strong> namna hii juu<br />

<strong>ya</strong> bara la Ula<strong>ya</strong>. Katika mwaka 1816 chama cha Biblia cha Waamarica kikaimarishwa. Biblia<br />

ikatafsiriwa tangu hapo katika mamia mengi <strong>ya</strong> lugha na matamko. (Tazama Nyongezo).<br />

Mbele <strong>ya</strong> mwaka 1792, uangalifu kidogo ukatolewa kwa watu waliopasha kwenda<br />

kufundisha na inchi za kigeni. Lakini karibu <strong>ya</strong> mwisho wa karne <strong>ya</strong> kumi na mnane<br />

mabadiliko kubwa <strong>ya</strong>kafanyika. Watu wakawa hawatoshelewi na kufuata akili za binadamu<br />

113

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!