Kupinga ya Kiprotestanti
Kupinga ya Kiprotestanti Mapinduzi yakaweka mashini yake ya kukata watu vichwa ya kwanza. Ni mahali pale ambapo, kwa karne ya kumi na sita, wafia dini wa kwanza wa imani ya Kiprotestanti walichomwa, watu wa kwanza walikatwa vichwa kwa karne ya kumi na mnani. Wakati amri za sheria ya Mungu ziliwekwa pembeni, taifa likaingia katika giza na machafuko ya mambo ya utawala. Vita juu ya Biblia katika historia ya ulimwengu ikajulikana kwa jina la Utawala wa hofu kuu. Yeye aliyeshinda leo akahukumiwa kesho yake. Mfalme, waongozi wa dini, na wakuu wakalazimishwa kujiweka chini ya mambo ya mabaya ya watu wenye wazimu. Wale walioamuru kifo cha mfalme mara wakamfuata kwa jukwaa. Machinjo makubwa ya wote waliozaniwa kuwa na uchuki kwa Mapinduzi yakakusudiwa. Ufransa ukawa shamba kubwa la mabishano, yaliyowayawaya kwa hasira kali ya tamaa. “Katika Paris,fujo ikafuata fujo ingine, na wakaaji wakajitenga katika machafuko ya fitina, yaliyoonekana yenye bidii si kwa kitu kingine bali kusudi moja. ... Inchi ilikuwa karibu kushindwa, majeshi yalikuwa yakifanya fujo kwa ajili ya deni ya malipo, wakaaji wa Paris walikuwa na njaa, mitaa ikaangamizwa na wanyanganyi, na utamaduni na maendeleo vilikuwa karibu kukomeshwa katika machafuko ya mambo ya utawala na upotovu.” Kwa yote haya watu wakajifunza mafundisho ya ukali na mateso ambayo Roma ilifundisha kwa nguvu sana. Haikuwa sasa wanafunzi wa Yesu waliokokotwa kwa kigingi. Ni Zamani walikuwa ao kuchinjwa wala kulazimishwa kujihamisha. “Damu ya wapadri ilitiririka juu ya majukwaa. Majahazi na gereza, zamani zilikuwa zikijaa na Wahuguenots, yakajaa sasa na watesi wao. Wakafungiwa na minyororo kwa viti vyao na kukokota kwa gasia, wapadri wa Katoliki wa Roma wakajua misiba ile yote ambayo kanisa lao lilipatisha kwa bure kabisa juu ya wazushi wapole.” (Tazama Nyongezo.) “Ndipo siku zile zikaja ... wakati wapelelezi walijificha kwa kila pembe; wakati mashine ya kukatia vichwa ilikuwa ndefu na ya nguvu kwa kazi kila asubuhi: wakati magereza zikijaa kama kiwanja kama chumba cha chini cha merikebu ya watumwa; wakati damu na uchafu vikawa kama pofu na kutiririka katika mifereji ya mabati hata mto seine” ... mistari mirefu ya watumwa yalisukumwa chini kwa marisaa makubwa. Matundu yalifanywa katika upande wa chini wa mashua kubwa iliosongana. ... Hesabu ya vijana wanaume na wanawake wa miaka kumi na saba waliuawa kwa serekali ile mbaya sana, inajulikana kuwa mamia. Watoto wachanga waliotengwa kwa kifua cha mama wakarushwa kutoka kwa mkuki na kwa mkuki mwengine kwa cheo cha wa Jacobins.” (Tazama Nyongezo.) Haya yote yalikuwa ni mapenzi ya Shetani. Amri yake ni madanganyo na makusudi yake ni kuleta uharibifu juu ya watu, kutia haya kiumbe cha Mungu, kwa kuharibu kusudi la Mungu la upendo, na kwa hiyo kuleta sikitiko mbinguni. Basi kwa mambo yake ya ufundi ya kudanganya, huongoza watu kutupa laumu juu ya Mungu, kana kwamba mateso haya yote yalikuwa matokeo ya shauri la Muumba. Wakati watu waliona dini ya Roma kuwa danganyifu, akawashurutisha kuzania dini yote kama danganyifu na Biblia kama hadisi (uongo). 112
Kupinga ya Kiprotestanti Kosa la Hatari Kosa la mauti ambalo lilileta msiba wa namna hiyo kwa Ufransa lilikuwa kuitokujali kwa ukweli huu mmoja mkubwa; uhuru wa kweli unaokuwa katikati ya makatazo ya sheria ya Mungu. “Laiti ungalisikiliza maagizo yangu! Ndipo salama yako ingalikuwa kama mto, na haki yako kama mawimbi ya bahari.” Isaya 48:18. Wale ambao hawatasoma fundisho kutoka kwa Kitabu cha Mungu wanaalikwa kulisoma katika historia. Wakati Shetani alitenda kwa njia ya kanisa la Roma kuongoza watu kuacha utii, kazi yake ikageuka.. Kwa kazi ya Roho wa Mungu makusudi yake yakazuiwa kufikia matumizi yao kamili. Watu hawakutafuta matokeo kwa mwanzo wake na kuvumbua asili ya taabu zao. Lakini katika mapinduzi sheria ya Mungu iliwekwa kando kwa wazi na Baraza la Taifa. Na katika Utawala wa Hofu Kuu uliofuata, kazi na matokeo yaliweza kuonekana kwa wote. Kuvunja sheria ya haki na nzuri matunda yake inapaswa kuwa maangamizi. Roho wa Mungu wa kiasi, ambaye analazimisha uaguzi juu ya uwezo mkali wa Shetani, uliotoka kwa kiasi kikubwa, na yule ambaye furaha yake ni taabu ya watu aliruhusiwa kufanya mapenzi yake. Wale waliochagua uasi waliachiwa kuvuna matunda yake. Inchi ikajaa na zambi. Kutoka mitaa iliyoteketezwa na miji iliyoangamizwa kilio, cha kutisha kilisikiwa cha maumivu makali. Ufransa ukatikisishwa kama kwa tetemeko. Dini, sheria, kanuni ya watu wote, jamaa, serkali, na kanisa--vyote vikashindwa na mkono mpotovu ambao uliinuliwa kupinga sheria ya Mungu. Washuhuda waaminifu wa Mungu, waliochinjwa kwa uwezo wa dini ya yule “anayotoka katika shimo pasipo mwisho,” hawakubakia kimya.” Na nyuma ya siku tatu na nusu, roho ya uhai ikatoka kwa Mungu ikaingia ndani yao, wakasimama juu ya miguu yao; woga mkubwa ukaangukia watu wote waliowatazama.” Ufunuo 11:11. Katika mwaka 1793 Baraza la Taifa la Ufransa likaweka amri za kutenga Biblia kando. Miaka mitatu na nusu baadaye, shauri la kutangua amri hizi likakubaliwa na mkutano ule ule. Watu wakatambua lazima ya imani katika Mungu na Neno lake kama msingi wa uwezo na maarifa ya wema na ubaya. Kwa habari ya “washuhuda wawili” (Maagano ya Kale na Jipya) nabii akatangaza zaidi: “Wakasikia sauti kubwa kutoka mbingu ikisema kwao: Pandeni hata hapa. Wakapanda mbinguni katika wingu, adui zao wakiwatazama.” Ufunuo 11:12. “Washahidi hawa wawili wa Mungu” wakaheshimiwa zaidi kuliko mbele. Katika mwaka 1804 Chama cha Biblia cha Uingereza na inchi za kigeni kikatengenezwa, kikafuatwa na matengenezo ya namna hii juu ya bara la Ulaya. Katika mwaka 1816 chama cha Biblia cha Waamarica kikaimarishwa. Biblia ikatafsiriwa tangu hapo katika mamia mengi ya lugha na matamko. (Tazama Nyongezo). Mbele ya mwaka 1792, uangalifu kidogo ukatolewa kwa watu waliopasha kwenda kufundisha na inchi za kigeni. Lakini karibu ya mwisho wa karne ya kumi na mnane mabadiliko kubwa yakafanyika. Watu wakawa hawatoshelewi na kufuata akili za binadamu 113
- Page 69 and 70: Kupinga ya Kiprotestanti Luther aka
- Page 71 and 72: Kupinga ya Kiprotestanti furaha na
- Page 73 and 74: Kupinga ya Kiprotestanti ulipashwa
- Page 75 and 76: Kupinga ya Kiprotestanti utukufu wa
- Page 77 and 78: Kupinga ya Kiprotestanti kuu wakimu
- Page 79 and 80: Kupinga ya Kiprotestanti aliyempele
- Page 81 and 82: Kupinga ya Kiprotestanti Alikuwa ch
- Page 83 and 84: Kupinga ya Kiprotestanti Wapadri wa
- Page 85 and 86: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 11. U
- Page 87 and 88: Kupinga ya Kiprotestanti nafasi ya
- Page 89 and 90: Kupinga ya Kiprotestanti watawala w
- Page 91 and 92: Kupinga ya Kiprotestanti kukaimaris
- Page 93 and 94: Kupinga ya Kiprotestanti Katika mti
- Page 95 and 96: Kupinga ya Kiprotestanti Calvin hak
- Page 97 and 98: Kupinga ya Kiprotestanti Tena mkuta
- Page 99 and 100: Kupinga ya Kiprotestanti Ngurumo ya
- Page 101 and 102: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 13. K
- Page 103 and 104: Kupinga ya Kiprotestanti kidogo. Ka
- Page 105 and 106: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 14. U
- Page 107 and 108: Kupinga ya Kiprotestanti hawa walio
- Page 109 and 110: Kupinga ya Kiprotestanti Mioto ya u
- Page 111 and 112: Kupinga ya Kiprotestanti Uharibifu
- Page 113 and 114: Sababu yake ya Kweli Kupinga ya Kip
- Page 115 and 116: Kupinga ya Kiprotestanti kwa hali y
- Page 117 and 118: Kupinga ya Kiprotestanti Mmojawapo
- Page 119: Kupinga ya Kiprotestanti kazi wakal
- Page 123 and 124: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 16. K
- Page 125 and 126: Kupinga ya Kiprotestanti angeweza k
- Page 127 and 128: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 17. A
- Page 129 and 130: Kupinga ya Kiprotestanti watu elfu
- Page 131 and 132: Kupinga ya Kiprotestanti Ilikuwa ja
- Page 133 and 134: Kupinga ya Kiprotestanti kumpokea m
- Page 135 and 136: Kupinga ya Kiprotestanti “Niliona
- Page 137 and 138: Kupinga ya Kiprotestanti milele.”
- Page 139 and 140: Kupinga ya Kiprotestanti 408 k.k -
- Page 141 and 142: Kupinga ya Kiprotestanti tarehe hii
- Page 143 and 144: Kupinga ya Kiprotestanti wakati wa
- Page 145 and 146: Kupinga ya Kiprotestanti kutosha; n
- Page 147 and 148: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 19. S
- Page 149 and 150: Kupinga ya Kiprotestanti Zahabu saf
- Page 151 and 152: Kupinga ya Kiprotestanti kwa uangal
- Page 153 and 154: Kupinga ya Kiprotestanti Miaka mita
- Page 155 and 156: Kupinga ya Kiprotestanti Imani ya n
- Page 157 and 158: Kupinga ya Kiprotestanti Watu wakas
- Page 159 and 160: Kupinga ya Kiprotestanti Lakini wal
- Page 161 and 162: Kupinga ya Kiprotestanti Giza ya ki
- Page 163 and 164: Kupinga ya Kiprotestanti Mwanamke (
- Page 165 and 166: Kupinga ya Kiprotestanti kupendeza
- Page 167 and 168: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 22. U
- Page 169 and 170: Kupinga ya Kiprotestanti Katika mat
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Mapinduzi <strong>ya</strong>kaweka mashini <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kukata watu vichwa <strong>ya</strong> kwanza. Ni mahali pale<br />
ambapo, kwa karne <strong>ya</strong> kumi na sita, wafia dini wa kwanza wa imani <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
walichomwa, watu wa kwanza walikatwa vichwa kwa karne <strong>ya</strong> kumi na mnani. Wakati amri<br />
za sheria <strong>ya</strong> Mungu ziliwekwa pembeni, taifa likaingia katika giza na machafuko <strong>ya</strong> mambo<br />
<strong>ya</strong> utawala. Vita juu <strong>ya</strong> Biblia katika historia <strong>ya</strong> ulimwengu ikajulikana kwa jina la Utawala<br />
wa hofu kuu. Yeye aliyeshinda leo akahukumiwa kesho <strong>ya</strong>ke.<br />
Mfalme, waongozi wa dini, na wakuu wakalazimishwa kujiweka chini <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong><br />
maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> watu wenye wazimu. Wale walioamuru kifo cha mfalme mara wakamfuata kwa<br />
jukwaa. Machinjo makubwa <strong>ya</strong> wote waliozaniwa kuwa na uchuki kwa Mapinduzi<br />
<strong>ya</strong>kakusudiwa. Ufransa ukawa shamba kubwa la mabishano, <strong>ya</strong>liyowa<strong>ya</strong>wa<strong>ya</strong> kwa hasira kali<br />
<strong>ya</strong> tamaa. “Katika Paris,fujo ikafuata fujo ingine, na wakaaji wakajitenga katika machafuko<br />
<strong>ya</strong> fitina, <strong>ya</strong>liyoonekana yenye bidii si kwa kitu kingine bali kusudi moja. ... Inchi ilikuwa<br />
karibu kushindwa, majeshi <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong>kifan<strong>ya</strong> fujo kwa ajili <strong>ya</strong> deni <strong>ya</strong> malipo, wakaaji wa<br />
Paris walikuwa na njaa, mitaa ikaangamizwa na wan<strong>ya</strong>nganyi, na utamaduni na maendeleo<br />
vilikuwa karibu kukomeshwa katika machafuko <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> utawala na upotovu.”<br />
Kwa yote ha<strong>ya</strong> watu wakajifunza mafundisho <strong>ya</strong> ukali na mateso ambayo Roma<br />
ilifundisha kwa nguvu sana. Haikuwa sasa wanafunzi wa Yesu waliokokotwa kwa kigingi. Ni<br />
Zamani walikuwa ao kuchinjwa wala kulazimishwa kujihamisha. “Damu <strong>ya</strong> wapadri<br />
ilitiririka juu <strong>ya</strong> majukwaa. Majahazi na gereza, zamani zilikuwa zikijaa na Wahuguenots,<br />
<strong>ya</strong>kajaa sasa na watesi wao. Wakafungiwa na minyororo kwa viti v<strong>ya</strong>o na kukokota kwa<br />
gasia, wapadri wa Katoliki wa Roma wakajua misiba ile yote ambayo kanisa lao lilipatisha<br />
kwa bure kabisa juu <strong>ya</strong> wazushi wapole.” (Tazama Nyongezo.)<br />
“Ndipo siku zile zikaja ... wakati wapelelezi walijificha kwa kila pembe; wakati mashine<br />
<strong>ya</strong> kukatia vichwa ilikuwa ndefu na <strong>ya</strong> nguvu kwa kazi kila asubuhi: wakati magereza zikijaa<br />
kama kiwanja kama chumba cha chini cha merikebu <strong>ya</strong> watumwa; wakati damu na uchafu<br />
vikawa kama pofu na kutiririka katika mifereji <strong>ya</strong> mabati hata mto seine” ... mistari mirefu <strong>ya</strong><br />
watumwa <strong>ya</strong>lisukumwa chini kwa marisaa makubwa. Matundu <strong>ya</strong>lifanywa katika upande wa<br />
chini wa mashua kubwa iliosongana. ... Hesabu <strong>ya</strong> vijana wanaume na wanawake wa miaka<br />
kumi na saba waliuawa kwa serekali ile mba<strong>ya</strong> sana, inajulikana kuwa mamia. Watoto<br />
wachanga waliotengwa kwa kifua cha mama wakarushwa kutoka kwa mkuki na kwa mkuki<br />
mwengine kwa cheo cha wa Jacobins.” (Tazama Nyongezo.)<br />
Ha<strong>ya</strong> yote <strong>ya</strong>likuwa ni mapenzi <strong>ya</strong> Shetani. Amri <strong>ya</strong>ke ni madanganyo na makusudi <strong>ya</strong>ke<br />
ni kuleta uharibifu juu <strong>ya</strong> watu, kutia ha<strong>ya</strong> kiumbe cha Mungu, kwa kuharibu kusudi la Mungu<br />
la upendo, na kwa hiyo kuleta sikitiko mbinguni. Basi kwa mambo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> ufundi <strong>ya</strong><br />
kudangan<strong>ya</strong>, huongoza watu kutupa laumu juu <strong>ya</strong> Mungu, kana kwamba mateso ha<strong>ya</strong> yote<br />
<strong>ya</strong>likuwa matokeo <strong>ya</strong> shauri la Muumba. Wakati watu waliona dini <strong>ya</strong> Roma kuwa<br />
danganyifu, akawashurutisha kuzania dini yote kama danganyifu na Biblia kama hadisi<br />
(uongo).<br />
112