You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
kazi wakalipishwa kodi <strong>ya</strong> nguvu kwa watawala wa serkali na wa dini. “Wakulima na wakaaji<br />
wa vijiji waliweza kuteswa na njaa, kwani watesi wao hawakujali. ... Maisha <strong>ya</strong> watumikaji<br />
wakulima <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong> kazi isiyokuwa na mwisho na taabu isiyokuwa na kitulizo;<br />
maombolezo <strong>ya</strong>o ... <strong>ya</strong>iizaniwa kuwa zarau <strong>ya</strong> ushupavu. ... Mambo maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> rushwa<br />
<strong>ya</strong>kakubaliwa kwa hakika na waamzi. ... Ya kodi, ... nusu <strong>ya</strong> feza ikaenda kwa hazina <strong>ya</strong><br />
mfalme ao <strong>ya</strong> askofu; inayobaki ikatumiwa ovyo ovyo katika anasa <strong>ya</strong> upotovu. Na watu<br />
waliozoofisha hivi wenzao wakaachiliwa wenyewe bila kulipa kodi na walikuwa na haki kwa<br />
sheria ao kwa desturi, kwa maagizo yote <strong>ya</strong> serkali. ... Kwa ajili <strong>ya</strong> furaha <strong>ya</strong>o mamilioni<br />
walihukumiwa maisha maba<strong>ya</strong> bila tumaini.” (Tazama Nyongezo.)<br />
Zaidi <strong>ya</strong> nusu <strong>ya</strong> karne mbele <strong>ya</strong> Mapinduzi kiti cha ufalme kilikaliwa na Louis XV,<br />
aliyetambulika nakuwa mfalme mvivu, asiyejali, na waanasa. Kwa habari <strong>ya</strong> feza <strong>ya</strong> serkali<br />
wakawa na matatizo na watu wakakasirishwa, haikuhitajiwa jicho la nabii kuona maasi<br />
makali. Ilikuwa vigumu kuharakisha hoja <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> matengenezo. Ajali iliyongojea Ufransa<br />
ilielezwa katika jibu la kujipenda ama choyo cha mfalme, “Baada <strong>ya</strong>ngu, garika!”<br />
Roma ilivuta wafalme na vyeo v<strong>ya</strong> watawala kuweka watu katika utumwa, kukusudia<br />
kufunga wote watawala na watu katika vifungo v<strong>ya</strong>ke v<strong>ya</strong> minyororo juu <strong>ya</strong> roho zao. Huku<br />
hali mba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> tabia njema ambayo ni matokeo <strong>ya</strong> siasa hii ilikuwa <strong>ya</strong> kutisha zaidi mara elfu<br />
kuliko mateso <strong>ya</strong> kimwili. Kukosa Biblia, na kujitia katika kujipendeza, watu wakajifunika<br />
katika ujinga na kuzama katika maovu, kabisa hawakuweza kujitawala.<br />
Matokeo Yaliyopatwa katika Damu<br />
Baadala <strong>ya</strong> kudumisha watu wengi katika utii wa upofu kwa mafundisho <strong>ya</strong>ke, kazi <strong>ya</strong><br />
Roma ikaishia katika kuwafan<strong>ya</strong> makafiri na wapinduzi. Dini <strong>ya</strong> Roma wakaizarau kama<br />
ujanja wa wapadri. Mungu mmoja waliomujua ni mungu wa Roma. Waliangalia tamaa <strong>ya</strong>ke<br />
na ukatili kama tunda la Biblia, na hawakutaka tena kusikia habari <strong>ya</strong>ke.<br />
Roma ilieleza viba<strong>ya</strong> tabia <strong>ya</strong> Mungu, na sasa watu wakakataa vyote viwili Biblia na<br />
Muumba wake. Katika urejeo, Voltaire na wafuasi wake wakakataa kabisa Neno la Mungu<br />
yote pamoja kutawan<strong>ya</strong> kukana Mungu. Roma ikakan<strong>ya</strong>ga watu chini <strong>ya</strong> kisigino chake cha<br />
chuma; na sasa watu wengi wakatupia mbali kuzuiwa kote (amri). Walipokasirishwa,<br />
wakakataa kweli na uongo pamoja.<br />
Kwa kufunguliwa kwa Mapinduzi, kwa ukubali wa mfalme, watu wakapata kwa mitaa <strong>ya</strong><br />
kawaida mfano wa juu kuliko ule wa wakuu na mapadri pamoja. Kwa hivyo kipimo cha<br />
uwezo kulikuwa katika mikono <strong>ya</strong>o; lakini hawakuta<strong>ya</strong>rishwa kukitumia kwa hekima na<br />
utaratibu (kiasi). Watu waliotendewa viba<strong>ya</strong> wakakusudia kulipiza kisasi wao wenyewe.<br />
Walioonewa wakatumia fundisho walilojifunza chini <strong>ya</strong> uonevu na wakawa watesi wa wale<br />
waliowatesa.<br />
Ufransa ukavuna katika damu mavuno <strong>ya</strong> utii wake kwa Roma. Mahali Ufransa, chini <strong>ya</strong><br />
Kanisa la Roma, uliweka tita (kigingi) la kwanza kwa mwanzo wa Matengenezo, hapo<br />
111