12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kazi wakalipishwa kodi <strong>ya</strong> nguvu kwa watawala wa serkali na wa dini. “Wakulima na wakaaji<br />

wa vijiji waliweza kuteswa na njaa, kwani watesi wao hawakujali. ... Maisha <strong>ya</strong> watumikaji<br />

wakulima <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong> kazi isiyokuwa na mwisho na taabu isiyokuwa na kitulizo;<br />

maombolezo <strong>ya</strong>o ... <strong>ya</strong>iizaniwa kuwa zarau <strong>ya</strong> ushupavu. ... Mambo maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> rushwa<br />

<strong>ya</strong>kakubaliwa kwa hakika na waamzi. ... Ya kodi, ... nusu <strong>ya</strong> feza ikaenda kwa hazina <strong>ya</strong><br />

mfalme ao <strong>ya</strong> askofu; inayobaki ikatumiwa ovyo ovyo katika anasa <strong>ya</strong> upotovu. Na watu<br />

waliozoofisha hivi wenzao wakaachiliwa wenyewe bila kulipa kodi na walikuwa na haki kwa<br />

sheria ao kwa desturi, kwa maagizo yote <strong>ya</strong> serkali. ... Kwa ajili <strong>ya</strong> furaha <strong>ya</strong>o mamilioni<br />

walihukumiwa maisha maba<strong>ya</strong> bila tumaini.” (Tazama Nyongezo.)<br />

Zaidi <strong>ya</strong> nusu <strong>ya</strong> karne mbele <strong>ya</strong> Mapinduzi kiti cha ufalme kilikaliwa na Louis XV,<br />

aliyetambulika nakuwa mfalme mvivu, asiyejali, na waanasa. Kwa habari <strong>ya</strong> feza <strong>ya</strong> serkali<br />

wakawa na matatizo na watu wakakasirishwa, haikuhitajiwa jicho la nabii kuona maasi<br />

makali. Ilikuwa vigumu kuharakisha hoja <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> matengenezo. Ajali iliyongojea Ufransa<br />

ilielezwa katika jibu la kujipenda ama choyo cha mfalme, “Baada <strong>ya</strong>ngu, garika!”<br />

Roma ilivuta wafalme na vyeo v<strong>ya</strong> watawala kuweka watu katika utumwa, kukusudia<br />

kufunga wote watawala na watu katika vifungo v<strong>ya</strong>ke v<strong>ya</strong> minyororo juu <strong>ya</strong> roho zao. Huku<br />

hali mba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> tabia njema ambayo ni matokeo <strong>ya</strong> siasa hii ilikuwa <strong>ya</strong> kutisha zaidi mara elfu<br />

kuliko mateso <strong>ya</strong> kimwili. Kukosa Biblia, na kujitia katika kujipendeza, watu wakajifunika<br />

katika ujinga na kuzama katika maovu, kabisa hawakuweza kujitawala.<br />

Matokeo Yaliyopatwa katika Damu<br />

Baadala <strong>ya</strong> kudumisha watu wengi katika utii wa upofu kwa mafundisho <strong>ya</strong>ke, kazi <strong>ya</strong><br />

Roma ikaishia katika kuwafan<strong>ya</strong> makafiri na wapinduzi. Dini <strong>ya</strong> Roma wakaizarau kama<br />

ujanja wa wapadri. Mungu mmoja waliomujua ni mungu wa Roma. Waliangalia tamaa <strong>ya</strong>ke<br />

na ukatili kama tunda la Biblia, na hawakutaka tena kusikia habari <strong>ya</strong>ke.<br />

Roma ilieleza viba<strong>ya</strong> tabia <strong>ya</strong> Mungu, na sasa watu wakakataa vyote viwili Biblia na<br />

Muumba wake. Katika urejeo, Voltaire na wafuasi wake wakakataa kabisa Neno la Mungu<br />

yote pamoja kutawan<strong>ya</strong> kukana Mungu. Roma ikakan<strong>ya</strong>ga watu chini <strong>ya</strong> kisigino chake cha<br />

chuma; na sasa watu wengi wakatupia mbali kuzuiwa kote (amri). Walipokasirishwa,<br />

wakakataa kweli na uongo pamoja.<br />

Kwa kufunguliwa kwa Mapinduzi, kwa ukubali wa mfalme, watu wakapata kwa mitaa <strong>ya</strong><br />

kawaida mfano wa juu kuliko ule wa wakuu na mapadri pamoja. Kwa hivyo kipimo cha<br />

uwezo kulikuwa katika mikono <strong>ya</strong>o; lakini hawakuta<strong>ya</strong>rishwa kukitumia kwa hekima na<br />

utaratibu (kiasi). Watu waliotendewa viba<strong>ya</strong> wakakusudia kulipiza kisasi wao wenyewe.<br />

Walioonewa wakatumia fundisho walilojifunza chini <strong>ya</strong> uonevu na wakawa watesi wa wale<br />

waliowatesa.<br />

Ufransa ukavuna katika damu mavuno <strong>ya</strong> utii wake kwa Roma. Mahali Ufransa, chini <strong>ya</strong><br />

Kanisa la Roma, uliweka tita (kigingi) la kwanza kwa mwanzo wa Matengenezo, hapo<br />

111

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!