Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Mmojawapo wa “mapadri” wa agizo jip<strong>ya</strong> akasema: “Mungu, kama Unakuwako, lipisha<br />
kisasi cha matukano <strong>ya</strong>nayofanywa kwa kutukana jina iako. Ninakualika! Unakaa kim<strong>ya</strong>;<br />
Husubutu kutuma ngurumo zako. Nani baada <strong>ya</strong> hii atakayeamini kuwako kwako tena?” Ni<br />
jibu gani hili la swali la Farao: “Bwana ni nani, nisikie sauti <strong>ya</strong>ke?”<br />
“Mupumbafu amesema moyoni mwake: Hakuna Mungu.” Na Bwana anasema,<br />
“Upumbafu wao utaonyeshwa wazi kwa watu wote.” Zaburi 14:1; 2 Timoteo 3:9. Wakati<br />
Ufransa ulipokataa ibada <strong>ya</strong> Mungu mwenye uhai haukukawia kushuka katika ibada <strong>ya</strong> ha<strong>ya</strong><br />
<strong>ya</strong> kuabudu Mungu wa kike wa Akili (kutumia akili), mwanamke msharati. Ibada hii<br />
ikaanzishwa kwa msaada wa mkutano wa taifa! Mojawapo wa sherehe <strong>ya</strong> wakati huu wa<br />
wazimu kusimama inayopita yote kwani upumbafu ilichanganyika na ukosefu wa heshima<br />
kwa Mungu. Milango <strong>ya</strong> mapatano ikafunguliwa wazi wazi. ... Washiriki wa utawala wa mji<br />
wakaingia katika mwandamano wa taratibu, kuimba wimbo kwa sifa za uhuru, na kufuatana,<br />
kama kitu cha ibada <strong>ya</strong> wakati ujao, mwanamke mmoja aliyefunikwa, waliyemwita Mungu<br />
wa Kike wa Kutumia Akili. Alipokuwa katika baraza <strong>ya</strong> hukumu, wakamvua mwili wote kwa<br />
heshima, na wakamweka upande wa kuume wa msimamizi, ambapo alipojulikana kwa<br />
kawaida kama binti mchezaji wa mchezo wa kuigiza (opera).<br />
Mungu wa Kike wa Kutumia Akili<br />
“Kusimamisha Mungu wa Kike wa Kutumia Akili kukafanywa up<strong>ya</strong> na kuigwa na taifa<br />
po pote, katika mahali ambapo wakaaji walitaka kujionyesha wenyewe kulingana na usitawi<br />
wote wa Mapinduzi.”<br />
Wakati “mungu wa kike” alipoletwa kwa Mapatano; msemaji akamkamata kwa mkono,<br />
na akageukia makutano akasema: “Wanadamu, muache kutetemeka mbele <strong>ya</strong> ngurumo zaifu<br />
za mungu ambazo wogo wenu umezifan<strong>ya</strong>. Tangu leo msikubali tena umungu mwengine bali<br />
Kutumia Akili. Ninawapongoatia picha <strong>ya</strong>ke bora na safi sana; kama kunapaswa kuwa na<br />
sanamu, mjitoe tu kwa hii. ...<br />
“Mungu wa kike alipokwisha kukumbatiana na msimamizi, akapandishwa kwa gari<br />
tukufu kabisa, na akapelekwa kwa kanisa kubwa la Notre Dame, kupata nafasi <strong>ya</strong> Umungu.<br />
Hapo akainuliwa kwa mazabahu <strong>ya</strong> juu, na kuabudiwa na wote waliokuwako.”<br />
Dini <strong>ya</strong> Papa alianza kufan<strong>ya</strong> kazi ambayo kukana Mungu kulikuwa kukitimiza,<br />
kuharakisha Ufransa kwa uharibifu. Waandishi kwa kutaja machukizo <strong>ya</strong> Mapinduzi<br />
wakasema kwamba mazidio ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>lipaswa kuwekwa juu <strong>ya</strong> kiti cha mfalme na kanisa.<br />
(Tazama Nyongezo.) Kwa haki yote, mazidio ha<strong>ya</strong> inapaswa kuwekwa juu <strong>ya</strong> kanisa. Kanisa<br />
la Papa lilipotosha mafikara <strong>ya</strong> wafalme juu <strong>ya</strong> Matengenezo. Ujanja wa Roma ilisababisha<br />
ukali na ugandamizi kutoka kwa uliotumiwa mamlaka <strong>ya</strong> mfalme.<br />
Po pote injili ilikubaliwa, mafikara <strong>ya</strong> watu <strong>ya</strong>kaamshwa. Wakaanza kutupa minyorori<br />
(viungo v<strong>ya</strong> pingu vilivyowashikilia) kuwa watumwa wa ujinga na ibada <strong>ya</strong> sanamu. Wafalme<br />
waliviona na wakatetemeka kwa ajili <strong>ya</strong> uonevu wao.<br />
109