Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
“Wakati habari <strong>ya</strong> mauaji ilipofika Roma, furaha <strong>ya</strong> mapadri haikujua mpaka. Askofu wa<br />
Lorraine akatolea mjumbe zawadi <strong>ya</strong> mataji elfu; mzinga wa Saint-Ange mtakatifu akapiga<br />
ngurumo <strong>ya</strong> salamu za furaha; na kengele zikalia kwa minara <strong>ya</strong> makanisa yote; mioto <strong>ya</strong><br />
furaha ikageuza usiku kuwa mchana; na Papa Gregoire XIII, pamoja na maaskofu na wakuu<br />
wengine wa kanisa, wakaenda kwa mwandamano mrefu kwa kanisa la Saint-Louis, mahali<br />
askofu wa Lorraine aliimba Te Deum. ... Nishani ikapigwa kwa kumbukumbu la machinjo.<br />
... Padri wa Ufransa ... akasema kwa ajili <strong>ya</strong>`siku ile akijaa na kicheko na furaha, wakati baba<br />
mtakatifu alipokea habari, na akaenda kwa hali <strong>ya</strong> heshima kwa kumshukuru Mungu na<br />
Mtakatifu Ludoviko.”<br />
Roho mba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> namna moja iliyosukuma kuuawa kwa SaintBarthelemy akaongoza pia<br />
katika maonyesho za Mapinduzi. Yesu Kristo akatangazwa kuwa kama mjanja, na kilio cha<br />
makafiri wa Ufransa kikawaangamiza wamaskini,” maana <strong>ya</strong>ke Kristo. Matukano na uovu<br />
<strong>ya</strong>kaenda pamoja. Katika ha<strong>ya</strong> yote, ibada ilitolewa kwa Shetani, wakati Kristo, katika tabia<br />
zake za kweli, usafi, na upendo wake wa kupendelea wengine kuliko yeye mwenyewe,<br />
alisuubiwa.”<br />
“Yule n<strong>ya</strong>ma anayetoka katika shimo pasipo mwisho atafan<strong>ya</strong> vita nao; naye atawashinda<br />
na kuwaua.” Ufunuo 11:7. Mamlaka <strong>ya</strong> kukana kumjua Mungu iliyotawala katika Ufransa<br />
wakati wa Mapinduzi na utawala wa Hofu kuu ilipigana vita <strong>ya</strong> namna hiyo kumpinga Mungu<br />
na Neno lake. Ibada <strong>ya</strong> Mungu ikakomeshwa na baraza la Taifa. Vitabu v<strong>ya</strong> Biblia<br />
vikakusanywa na kuchomwa mbele <strong>ya</strong> watu wote. V<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> Biblia vikaharibiwa. Siku <strong>ya</strong><br />
kustarehe <strong>ya</strong> juma ikakatazwa, na mahali pake kila siku kumi ikatengwa kwa makutano.<br />
Ubatizo na ushirika Mtakatifu (Meza <strong>ya</strong> Bwana) vikakatazwa. Matangazo <strong>ya</strong>kawekwa kwa<br />
mahali pa maziko kutangaza kwamba mauti ni usingizi wa milele.<br />
Ibada <strong>ya</strong> dini yote ikakatazwa, ila tu ile <strong>ya</strong> uhuru na <strong>ya</strong> inchi. “Askofu wa kushika sheria<br />
wa Paris akaletwa ... kwa kutangaza kwa mapatano kwamba dini aliyofundisha kwa miaka<br />
nyingi ilikuwa, katika heshima yote, sehemu <strong>ya</strong> ujanja wa mapadri, ambayo haikuwa na<br />
msingi hata katika historia ao ukweli takatifu. Katika maneno <strong>ya</strong> kutisha sana na <strong>ya</strong> wazi,<br />
akakana kuwako kwake Mungu ambako alijitakasa kwa ajili <strong>ya</strong>ke.”<br />
“Nao wanaokaa juu <strong>ya</strong> dunia watafurahi juu <strong>ya</strong>o na kuwachekelea. Watapelekeana zawadi<br />
moja kwa wengine, kwa sababu manabii hawa wawili waliwatesa wao wanaokaa juu <strong>ya</strong><br />
dunia.” Ufunuo 11:10. Ufransa kafiri ukan<strong>ya</strong>mazisha sauti yenye kulaumu <strong>ya</strong> washahidi<br />
wawili wa Mungu. Neno la ukweli likalala chini kama maiti” katika njia zake, na wale<br />
waliochukia sheria za Mungu wakafurahi. Watu kwa wazi wakachafua Mfalme wa mbinguni.<br />
Te Deum : Wimbo wa kushukuru wa kanisa la kikatoliki unaoanza na maneno ha<strong>ya</strong> :<br />
‘’Bwana tunakusifu”.<br />
Uhodari wa Kutukana Mungu<br />
108