12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

gunia.” Katika n<strong>ya</strong>kati za giza kabisa watu waaminifu wakapewa hekima na mamlaka kwa<br />

kutangaza kweli wa Mungu. (Tazama Nyongezo.)<br />

“Na kama mtu yeyote akitaka kuwaumiza, moto utatoka katika vinywa v<strong>ya</strong>o na kumeza<br />

adui zao. Na kama mtu yeyote akitaka kuwaumiza, anapashwa kuuawa namna hii.” Ufunuo<br />

11:5. Watu hawawezi bila kuwa na hofu <strong>ya</strong> kupata malipizi kwa kuzarau Neno la Mungu!<br />

“Hata watakapomaliza ushuhuda wao.” Wakati washuhuda hawa wawili walipokaribia<br />

mwisho wa kazi <strong>ya</strong>o katika giza, vita ilipaswa kufanywa juu <strong>ya</strong>o na “yule n<strong>ya</strong>ma anayetoka<br />

katika shimo pasipo mwisho.” Hapa kunaonekana onyesho mp<strong>ya</strong> la uwezo wa Shetani.<br />

Ilikuwa busara <strong>ya</strong> Roma, kushuhudia heshima kwa ajili <strong>ya</strong> Biblia, kwa kuifungisha kwa<br />

lugha isiyojulikana, ikafichwa kwa watu. Chini <strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong>ke washahidi wakatabiri “katika<br />

mavazi <strong>ya</strong> gunia. ” Lakini ” yule n<strong>ya</strong>ma anayetoka katika shimo pasipo mwisho” alipashwa<br />

kufunguliwa na kufan<strong>ya</strong> vita wazi wazi kwa Neno la Mungu.<br />

“Mji mkubwa” katika njia zake ambazo washahidi hawa wawili waliuawa, na mahali maiti<br />

<strong>ya</strong>o ililala ni “kwa kiroho” ni Misri. Kwa mataifa yote katika historia <strong>ya</strong> Biblia, Misri ndiyo<br />

iliyozidi kukana kuwako kwa Mungu na ikapinga amri zake. Hakuna mfalme aliyeasi kwa<br />

ujasiri sana juu <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> mbingu kama mfalme wa Misri alivyofan<strong>ya</strong>, Farao: “Simjui<br />

Bwana, na vilevile sitaruhusu Israeli kwenda.” Kutoka 5:2. Hii ni kusema hakuna Mungu<br />

(atheisme), na taifa linalowakilisha Misri lingetaja mfano wa namna moja wa Mungu na<br />

kuonyesha roho <strong>ya</strong> namna moja <strong>ya</strong> uasi.<br />

“Mji mkubwa” unafananishwa vile vile, “kwa kiroho,” na Sodomo. Maovu <strong>ya</strong> Sodomo<br />

<strong>ya</strong>lionekana zaidi katika uasherati. Zambi hizi zilipaswa kuwa vile vile tabia <strong>ya</strong> taifa lililopasa<br />

kutimiza andiko hili.<br />

Kwa kupatana na nabii, ndipo, mbele kidogo <strong>ya</strong> mwaka 1798 uwezo moja wa tabia <strong>ya</strong><br />

uovu ukainuka kwa kufan<strong>ya</strong> vita na Biblia. Na katika inchi ambapo “washuhuda wawili wa<br />

Mungu walipashwa kun<strong>ya</strong>mazishwa, hapo pangekuwa onyesho la kutokujali kuwako kwa<br />

Mungu kwa Farao na usherati wa Sodomo.<br />

Utimilizo wa Ajabu wa Unabii<br />

Unabii huu ulipata utimilizo wa ajabu katika historia <strong>ya</strong> Ufransa wakati wa Mapinduzi<br />

(Revolution), katika mwaka 1793. “Ufransa ulikuwa ni taifa pekee katika historia <strong>ya</strong> dunia,<br />

ambayo kwa amri <strong>ya</strong> baraza la sheria, likatangaza kwamba hakuna Mungu, na ambaye<br />

wenyeji wote wa mji mkuu, na sehemu kubwa <strong>ya</strong> watu popote, wanawake na wanaume pia,<br />

wakacheza na kuimba kwa furaha kwa kukubali tangazo hili.”<br />

Ufransa ukaonyesha pia tabia ambazo zilipambanua Sodomo. Mwandishi wa historia<br />

anaonyesha pamoja kukana Mungu na uasherati wa Ufransa: “Kwa uhusiano na sheria hizi<br />

juu <strong>ya</strong> dini, ilikuwa ile ambayo ilivunja muungano wa ndoa--maagano takatifu kuliko ambayo<br />

watu wanaweza kufan<strong>ya</strong>, na kudumu ni wa lazima kwa ulinzi wa jamaa--ukageuzwa kuwa<br />

106

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!