12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Sababu <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> Kweli<br />

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 15. Mapinduzi <strong>ya</strong> Ufaransa<br />

Mataifa mengine <strong>ya</strong>likaribisha Matengenezo kuwa ujumbe wa mbinguni. Katika inchi<br />

zingine nuru <strong>ya</strong> maarifa <strong>ya</strong> Biblia ilikuwa karibu kufungwa kabisa. Katika inchi ingine kweli<br />

na uongo vikashindani<strong>ya</strong> uwezo kwa karne nyingi. Mwishowe ukweli wa mbinguni<br />

ukasongwa. Kiasi cha Roho <strong>ya</strong> Mungu kikaondolewa kwa watu wale waliozarau zawadi <strong>ya</strong><br />

neema <strong>ya</strong>ke. Na ulimwengu wote ukaona matunda <strong>ya</strong> kukataa nuru kwa makusudi.<br />

Vita <strong>ya</strong> kupinga Biblia katika Ufransa ikatimilika wakati wa mapinduzi, ambayo ni<br />

matokeo halali kwa Roma kutosoma Maandiko. (Tazama Nyongezo.) Ni onyesho la ajabu<br />

sana lililoshuhudia mwisho wa mafundisho <strong>ya</strong> kanisa la Roma. Ufunuo ulitangaza matokeo<br />

<strong>ya</strong> kutisha <strong>ya</strong>liyopaswa kuongezeka zaidi kwa Ufransa kutoka kwa utawala wa “mtu wa<br />

zambi”:<br />

“Na kiwanja kilicho inje <strong>ya</strong> hekalu la Mungu, uache inje, wala usipime kwa maana<br />

imetolewa kwa mataifa, nao watakan<strong>ya</strong>ga mji mutakatifu miezi makumi ine na miwili. Nami<br />

nitawapa washuhuda wangu wawili nguvu, nao watatoa unabii siku elfu moja mia mbili<br />

makumi sita, wamevikwa mavazi <strong>ya</strong> gunia. ... Hata watakapomaliza ushuhuda wao, yule<br />

n<strong>ya</strong>ma anayetoka katika shimo pasipo mwisho atafan<strong>ya</strong> vita nao; naye atawashinda na<br />

kuwaua. Na maiti <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>talala katika njia <strong>ya</strong> mji ule mkubwa, unaoitwa kwa kiroho Sodomo<br />

na Misri, ambapo tena Bwana wetu aliposulubiwa. ... Na wale wanaokaa juu <strong>ya</strong> dunia<br />

watafurahi juu <strong>ya</strong>o na kuchekelea, watapelekeana zawadi wao kwa wao, kwa sababu manabii<br />

hawa wawili waliwatesa wao wanaokaa juu <strong>ya</strong> dunia. Na kiisha siku tatu na nusu, Roho <strong>ya</strong><br />

uhai inayotoka kwa Mungu ikaingia ndani <strong>ya</strong>o, wakasimama kwa miguu <strong>ya</strong>o; na woga<br />

mkubwa ukawaangukia watu wote waliowaona.” Ufunuo 11:2-11.<br />

“Miezi makumi ine na miwili” na siku elfu moja mia mbili na makumi sita” ni sawa sawa,<br />

wakati ambao kanisa la Kristo lilipaswa kuteswa na magandamizo <strong>ya</strong> Roma. Miaka 1260<br />

ilianza katika mwaka 538 A.D. na ikamalizika kwa mwaka 1798 AD. (Tazama Nyongezo.)<br />

Kwa wakati ule majeshi <strong>ya</strong> Ufaransa likamfan<strong>ya</strong> Papa kuwa mfungwa, na akafa mbali na<br />

kwao. Mamlaka <strong>ya</strong> Papa ikakosa uwezo wa kuimarisha utawala wake wa zamani.<br />

Mateso ha<strong>ya</strong>kudumu hata mwisho katika miaka 1260 yote. Katika huruma zake kwa watu<br />

wake, Mungu akafupisha mda wa taabu <strong>ya</strong>o kali kwa mvuto wa Matengenezo. “Washahidi<br />

wawili” ni mfano wa Maandiko <strong>ya</strong> Agano la Kale na Agano Jip<strong>ya</strong>, washuhuda wakuu kwa<br />

mwanzo na umilele wa sheria za Mungu, na pia kwa mpango wa wokovu.<br />

“Nao watatoa unabii siku elfu moja mia mbili makumi sita, wamevikwa mavazi <strong>ya</strong> gunia.”<br />

Wakati Biblia ilipokatazwa, ushuhuda wake ukageuzwa viba<strong>ya</strong>; wakati wale walipojaribu<br />

kutangaza ukweli wake wakasalitiwa, kuteswa, kuuawa kama wafia dini kwa ajili <strong>ya</strong> imani<br />

<strong>ya</strong>o ao kulazimishwa kukimbia--ndipo “washuhuda” waaminifu wakatabiri “katika mavazi <strong>ya</strong><br />

105

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!