12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Uharibifu wa kiroho katika Uingereza kabla <strong>ya</strong> wakati wa Wesley ulikuwa katika hali<br />

kubwa matokeo <strong>ya</strong> mafundisho kwamba Kristo alifuta kanuni <strong>ya</strong> mema na maba<strong>ya</strong> na<br />

kwamba Wakristo hawakuwa na lazima <strong>ya</strong> kuishika. Wengine wakasema kwamba ilikuwa si<br />

lazima kwa wachungaji kuon<strong>ya</strong> watu kutii amri zake, kwani wale ambao Mungu<br />

aliowachagua kwa wokovu “wataongozwa kufuata utawa na wema” wakati wale<br />

waliohukumiwa laana <strong>ya</strong> milele “hawakuwa na uwezo kwa kutii sheria <strong>ya</strong> Mungu.”<br />

Wengine wakishikilia kwamba “wateule hawawezi kukosa neema <strong>ya</strong> Mungu wala,<br />

kun<strong>ya</strong>nganywa kibali cha Mungu,” walipofikia mwisho kwamba “matendo maba<strong>ya</strong><br />

wanayotenda si maovu, ... na kwamba, baadaye, hawana na nafasi wala kuungama zambi zao<br />

ao ku<strong>ya</strong>acha kwa njia <strong>ya</strong> toba.” Kwa hiyo, wakatangaza, hata zambi moja katika zambi mba<strong>ya</strong><br />

kuliko” zilizozaniwa kwa wote kuwa mvunjo mkubwa zaidi wa amri za Mungu kama si zambi<br />

mbele za Mungu “kama ikitendwa na mmojawapo wa wateule.” Hawawezi kufan<strong>ya</strong> kitu cho<br />

chote kisicho mpendeza Mungu ao kilichokatazwa na sheria.”<br />

Mafundisho ha<strong>ya</strong> maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>nakuwa sawa sawa na mafundisho <strong>ya</strong> mwisho kwamba<br />

hakuna sheria <strong>ya</strong> Mungu inayogeuka kama kipimo cha haki, lakini tabia hiyo ilionyeshwa na<br />

chama chenyewe na mara kwa mara ilipaswa kubadirishwa. Mawazo ha<strong>ya</strong> yote <strong>ya</strong>litoka<br />

kwake ambaye miongoni mwa wakaaji wasio na kosa wa mbinguni alianza kazi <strong>ya</strong>ke kwa<br />

kuvunja amri za haki za sheria <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Mafundisho ha<strong>ya</strong> maba<strong>ya</strong> juu<strong>ya</strong> amri za Mungu, zisizogeuka kwa kuimarisha tabia <strong>ya</strong><br />

watu iliongoza wengi kukataa sheria <strong>ya</strong> Mungu. Wesley kwa uhodari akapinga mafundisho<br />

ha<strong>ya</strong> ambayo <strong>ya</strong>liongoza watu kupinga amri <strong>ya</strong> Mungu, mafundisho juu <strong>ya</strong> hali <strong>ya</strong> kila mtu<br />

(Predestination). “Neema <strong>ya</strong> Mungu inayoleta wokovu imeonekana kwa watu wote.” “Mungu<br />

Mwokozi wetu anayetaka watu wote waokolewa na kupata ujuzi wa kweli. Kwani kuna<br />

Mungu mmoja, na mupatanishi katikati <strong>ya</strong> Mungu na watu ni mmoja, yule mtu ni Kristo Yesu,<br />

aliyejitoa mwenyewe kuwa ukombozi kwa ajili <strong>ya</strong> wote. ” Kristo “Nuru <strong>ya</strong> kweli inaangazia<br />

nuru kila mtu anayekuja katika ulimwengu.’‘ Tito 2:11; 1 Timoteo 2:3-6; Yoane 1:9. Watu<br />

wanaoshindwa kupata wokovu ni wale wanaokataa kwa mapenzi <strong>ya</strong>o zawadi <strong>ya</strong> uzima.<br />

Katika Utetezi wa Sheria <strong>ya</strong> Mungu<br />

Katika kujibu madai kwamba wakati wa kifo cha Kristo, amri kumi ziliondolewa pamoja<br />

na sheria za kawaida, Wesley akasema: “Sheria <strong>ya</strong> tabia, inayokuwa katika Amri Kumi na<br />

ikatiliwa nguvu na manabii, hakuitosha. Hii ni sheria ambayo haiwezi kamwe kuvunjwa,<br />

ambayo `inasimama imara kama shuhuda mwaminifu mbinguni.’”<br />

Wesley akatangaza umoja kamilifu wa sheria na injili. “Kwa upande moja sheria kwa<br />

kuendelea kutuongoza kwa injili, kwa ngambo ingine injili huendelea kutuwezesha kutimiza<br />

utimilifu inafan<strong>ya</strong> njia kuwa na sheria, kwa mfano, inatuamuru kumpenda Mungu, kupenda<br />

jirani wetu, kuwa wapole, wanyekevu ao watakatifu. Tukijisikia kwamba hatutoshi kwa<br />

mambo ha<strong>ya</strong>; ... lakini tunaona ahadi <strong>ya</strong> Mungu kutupatia upendo huo, na kutufan<strong>ya</strong><br />

103

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!