You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Whitefield na Wesleys wawili waliitwa kwa wakati ule “Methodistes” na wanafunzi<br />
wenzao waba<strong>ya</strong> -jina ambalo kwa wakati huu linazaniwa kuwa la heshima. Roho Mtakatifu<br />
aliwalazimisha kuhubiri Kristo na Yeye aliyesulubiwa. Maelfu waliogeuka kwa kweli.<br />
Ilikuwa ni lazima kwamba kondoo hizi zilindwe kutoka mbwa mwitu wenye wazimu. Wesley<br />
hakuwa na wazo la kuanzisha dini lingine, lakini aliwatengeneza chini <strong>ya</strong> kile kilichoitwa<br />
mwunganisho wa Methodiste.<br />
Ulikuwa ushindani wa siri na taabu <strong>ya</strong> uinzani ambayo wahubiri hawa walipambana nayo<br />
kwa kuanzisha kanisa--kwani kweli ilikuwa na mwingilio mahali milango labda ingedumu<br />
kuendelea yenye kufungwa. Wakuu wengine wa dini wakaamka kwa mshangao wa tabia <strong>ya</strong>o<br />
na wakawa wahubiri wa juhudi katika mitaa <strong>ya</strong>o wenyewe.<br />
Kwa wakati wa Wesley, watu wa vipawa mbalimbali hawakulinganisha kila sehemu <strong>ya</strong><br />
mafundisho <strong>ya</strong> dini. Tofauti kati <strong>ya</strong> Whitefield na Wesleys wawili ilitisha wakati moja kuleta<br />
fitina, lakini kwa namna walijifunza upole katika chuo cha Kristo, uvumilivu na upendo<br />
vikawapatanisha. Hawakuwa na wakati wa kubishana, wakati ambao makosa na maovu<br />
<strong>ya</strong>lijaa pote.<br />
Wesley Anaepuka Kifo<br />
Watu wa mvuto wakatumia uwezo wao kinyume chao. Wakuu wengi wa kanisa<br />
wakaonyesha uchuki, na milango <strong>ya</strong> makanisa ikafungwa juu <strong>ya</strong> imani safi. Padri,<br />
akiwalaumu juu <strong>ya</strong> mimbara, akachochea watu wajinga wa giza na waovu. Mara na mara<br />
Wesley akaepuka kifo kwa muujiza wa uhuruma <strong>ya</strong> Mungu. Wakati ilionekana kwamba<br />
hakuna njia <strong>ya</strong> kuepuka, malaika katika umbo la kibinadamu alikuja upande wake na kundi<br />
lilianguka na mtumishi wa Kristo akapita katika usalama kutoka hatarini.<br />
Kwa ajili <strong>ya</strong> ulinzi wake, mojawapo wa matukio hayo, Wesley akasema: “Ingawa wengi<br />
walijaribu kukamata ukosi wa shingo <strong>ya</strong>ngu ao mavazi, kuniangusha, hawakuweza kufunga<br />
kamwe: ila mmoja tu alishika upindo wa kisibau changu ambacho kikabaki mara mkononi<br />
mwake; na upindo mwengine, ndani <strong>ya</strong> mfuko ambao ulikuwamo noti <strong>ya</strong> benki, ilipasuka<br />
lakini nusu <strong>ya</strong>ke. ... Mtu wa nguvu nyuma <strong>ya</strong>ngu akanipiga mara nyingi, na fimbo kubwa <strong>ya</strong><br />
mti wa Ula<strong>ya</strong> (che ne); ambayo kama angalinipaga mara moja tu kwa upande wa nyuma wa<br />
kichwa changu, ingalikuwa ni mwisho wangu. Lakini kila mara, pigo likapotoka, sijui namna<br />
gani; kwani sikuweza kwenda kuume wala kushoto.”<br />
Wamethodiste wa siku ile walivumilia kicheko na mateso, mara nyingi mauaji. Kwa<br />
n<strong>ya</strong>kati zingine, matangazo kwa watu wote libandikwa, kuita wale waliotaka kuvunja<br />
madirisha na kun<strong>ya</strong>ngan<strong>ya</strong> katika nyumba za Wamethodiste ili wakusanyike kwa wakati<br />
ulitolewa na mahali. Mateso <strong>ya</strong> desturi <strong>ya</strong>kafanyika juu <strong>ya</strong> watu ambao kosa moja tu lilikuwa<br />
ni kutafuta kugeuza wenye zambi kutoka kwa njia <strong>ya</strong> uharibifu na kuwaingizisha kwa njia <strong>ya</strong><br />
utakatifu!<br />
102