Kupinga ya Kiprotestanti
Kupinga ya Kiprotestanti Maelfu ya Wachungaji (Pasteurs) Walifukuzwa Katika karne ya kumi na saba maelfu ya wachungaji walifukuzwa na watu wakakatazwa kuhuzuria mikutano yo yote ya dini isiyokuwa ile iliyoruhusiwa na kanisa. Ndani ya kimbilio la vilindi mwituni, wale watoto wa Bwana walioteswa walikusanyika kwa kumimina roho zao katika maombi (sala) na kusifu. Wengi waliteseka kwa ajili ya imani yao. Gereza zilijaa, jamaa zikatengana. Lakini mateso hayakunyamazisha ushuhuda wao. Wengi walilazimishwa kuvuka bahari kwenda Amerika na hapo ndipo paliwekwa msingi wa utaalamu na uhuru wa dini. Ndani ya gereza kulijaa na watu waliofanya makosa makubwa, John Bunyan, akapumua hewa ya mbinguni na akaandika mizali yake ya ajabu ya safari ya msafiri kutoka kwa inchi ya uharibifu kwenda kwa mji wa mbinguni. Pilgrim’s Progress na Grace Abounding to the Chief of Sinners vimeongoza nyayo nyingi kwa njia ya uzima. Katika siku ya giza ya kiroho Whitefield na Wesleys wakatokelea kama wachukuzi wa nuru kwa ajili ya Mungu. Chini kanisa lililoanzishwa watu wakarudia zambini ambayo ni vigumu kutofautisha kwa ushenzi. Watu wa vyeo vya juu wakacheka uchaji wa Mungu; watu wa vyeo vya chini wakazamishwa kwa maovu. Kanisa halikuwa na uhodari ao imani kwa kusaidia maanguko ya neno la kweli. Kuhesabiwa Haki kwa Imani Mafundisho makubwa ya kuhesabiwa haki kwa imani, yaliyofundishwa wazi wazi na Luther, yalikuwa karibu kusahauliwa kabisa; kanuni ya kanisa la Roma ya kutumaini matendo mema kwa ajili ya wokovu yakakamata nafasi yake. Whitefield na Wesleys wawili walikuwa watafuti wa kweli kwa ajili ya wema wa Mungu. Hii walifundishwa kuwekwa salama kwa njia ya wema na kushika maagizo ya dini. Wakati Charles Wesley kwa wakati moja alipopata ugonjwa na akatumaini kwamba kifo kilikuwa karibu, akaulizwa, msingi wa tumaini lake la uzima wa milele ulikuwa juu ya kitiu gani. Jibu lake: “Nimetumia juhudi yangu bora kumtumikia Mungu.” Rafiki ilionekana hakutoshelewa kabisa kwa jibu hili. Wesley akafikiri: “Nini! ... Anatamani kuninyanganya juhudi yangu? Sina kitu kingine cha kutumainia.” Hiyo ndiyo ilikuwa giza ambayo iliyoimara kwa kanisa, kugeuza watu kutoka kwa tumaini lao pekee la wokovu--damu ya Mkombozi aliyesulubiwa. Wesley na washiriki wake wakaongozwa kufahamu kwamba sheria ya Mungu inafikishwa mawazoni pia kwa maneno na matendo. Kwa juhudi za kazi na maombi wakafanya bidii ya kushinda maovu ya moyo wa asili. Wakaishi maisha ya kujinyima na kujishusha, wakachunguza kwa uaminifu kila mpango waliochukua ambao ungeweza kuwa wa kusaidia kwa kupata utakatifu ule ambao uliweza kutunza wema wa Mungu. Lakini juhudi zao wenyewe hazikuweza kuwapa uhuru kutoka kwa hukumu ya zambi ao kuvunja uwezo wake. 100
Kupinga ya Kiprotestanti Mioto ya ukweli wa Mungu, ambayo ilikuwa karibu kuzimika juu ya mazabahu ya dini ya Kiprotestanti, ilipashwa kuwashwa kutoka kwa mwenge wa zamani uliotolewa na Wakristo wa Bohemia. Wengine miongoni mwao, wakapata kimbilio katika Saxe (Saxony), wakalinda imani ya zamani. Kutoka kwa Wakristo hawa nuru ikaja kwa Wesley. Yohana na Charles wakatumwa kwa ujumbe kuenda Amerika. Katika meli kulikuwa na kundi la waMoravians. Wakakutana na zoruba kali sana, na Yohana, akawa uso kwa uso na kifo, akajisikia kwamba hakuwa na hakikisho la amani na Mungu. Lakini Wajeremani wakaonyesha utulivu na kutumaini kwamba alikuwa mgeni. “Tangu zamani,” akasema, “nilichunguza umuhimu mkuu wa mwenendo (tabia) wao. ... Wakawa sasa na bahati ya kujaribu kwamba walikuwa huru bila mafikara ya woga pia na ile ya kutokuwa na kiburi, hasira na kulipisha kisasi. Katikati ya zaburi kwa kazi yao ilianza, bahari ikapasuka, na kupasua tanga kubwa kwa vipande vipande, ikafunika merikebu, na kumwanga kati kati ya sakafu kana kwamba kilindi kikuu kimekwisha kutumeza. Kilio cha nguvu kikaanza miongoni mwa Waingereza. Wajeremani kwa utulivu wakaendelea kuimba. Nikauliza mmojawapo wao baadaye,`Hamkuwa na hofu? ‘ Akajibu Namshukuru Mungu, hapana.’ Nikauliza, `Lakini wake wenu na watoto hawakuwa na hofu?’ Akajibu kwa upole, `Sivyo; wake wetu na watoto hawaogopi kufa.’” Moyo wa Wesley “Kwa Jinsi Isiyo ya Kawaida Watiwa Joto” Kwa kurudi kwake Uingereza, Wesley akafikia kwa kufahamu wazi wazi imani ya Biblia chini ya mafundisho ya mtu wa Moravia. Kwa mkutano wa chama cha Wamoravian katika Londoni maneno yakasomwa kutoka kwa Luther. Namna Wesley alipokuwa akisikiliza, imani ikawashwa ndani ya roho yake. “Nilisikia moyo wangu kutiwa joto ngeni,” akasema. “Nilisikia kwamba nilimtumaini Kristo, Kristo pekee, kwa ajili ya wokovu: na tumaini likatolewa kwangu, kwamba aliondoa mbali zambi zangu, hata zangu, na aliniokoa kutoka kwa sheria ya zambi na mauti.’‘ Sasa aliona kwamba neema aliyojitahidi kupata kwa njia ya maombi na kufunga na kujinyima ilikuwa zawadi, “bila mali na bila bei.” Roho yake yote ikawaka na mapenzi ya kutangaza po pote injili utukufu ya neema huru ya Mungu. “Nikatazama juu ya ulimwengu wote kama mtaa wangu,” akasema; “po pote ninapokuwa, ninazania kwamba, nina haki, na wajibu wangu wa lazima, kutangaza kwa wote wale wanaotamani kusikia, habari za furaha za wokovu.” Akaendelea na maisha yake halisi na ya kujinyima, si sasa kama msingi, bali matokeo ya imani; si shina, bali tunda la utakatifu. Neema ya Mungu katika Kristo itaonekana katika utii. Maisha ya Wesley ilitolewa kuwa wakfu kwa kuhubiri kweli kubwa aliyoyakubali-- kuhesabiwa haki kwa njia ya imani katika damu ya kafara ya Kristo, na uwezo mpya wa Roho Mtakatifu kwa moyo, kuendelea kuleta matunda katika maisha yanayofanana kwa mfano wa Kristo. 101
- Page 57 and 58: Kupinga ya Kiprotestanti Tetzel, mj
- Page 59 and 60: Kupinga ya Kiprotestanti ulishindwa
- Page 61 and 62: Kupinga ya Kiprotestanti Kutoka kwa
- Page 63 and 64: Kupinga ya Kiprotestanti Mungu haku
- Page 65 and 66: Kupinga ya Kiprotestanti “Ni wana
- Page 67 and 68: Kupinga ya Kiprotestanti Kukaribia
- Page 69 and 70: Kupinga ya Kiprotestanti Luther aka
- Page 71 and 72: Kupinga ya Kiprotestanti furaha na
- Page 73 and 74: Kupinga ya Kiprotestanti ulipashwa
- Page 75 and 76: Kupinga ya Kiprotestanti utukufu wa
- Page 77 and 78: Kupinga ya Kiprotestanti kuu wakimu
- Page 79 and 80: Kupinga ya Kiprotestanti aliyempele
- Page 81 and 82: Kupinga ya Kiprotestanti Alikuwa ch
- Page 83 and 84: Kupinga ya Kiprotestanti Wapadri wa
- Page 85 and 86: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 11. U
- Page 87 and 88: Kupinga ya Kiprotestanti nafasi ya
- Page 89 and 90: Kupinga ya Kiprotestanti watawala w
- Page 91 and 92: Kupinga ya Kiprotestanti kukaimaris
- Page 93 and 94: Kupinga ya Kiprotestanti Katika mti
- Page 95 and 96: Kupinga ya Kiprotestanti Calvin hak
- Page 97 and 98: Kupinga ya Kiprotestanti Tena mkuta
- Page 99 and 100: Kupinga ya Kiprotestanti Ngurumo ya
- Page 101 and 102: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 13. K
- Page 103 and 104: Kupinga ya Kiprotestanti kidogo. Ka
- Page 105 and 106: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 14. U
- Page 107: Kupinga ya Kiprotestanti hawa walio
- Page 111 and 112: Kupinga ya Kiprotestanti Uharibifu
- Page 113 and 114: Sababu yake ya Kweli Kupinga ya Kip
- Page 115 and 116: Kupinga ya Kiprotestanti kwa hali y
- Page 117 and 118: Kupinga ya Kiprotestanti Mmojawapo
- Page 119 and 120: Kupinga ya Kiprotestanti kazi wakal
- Page 121 and 122: Kupinga ya Kiprotestanti Kosa la Ha
- Page 123 and 124: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 16. K
- Page 125 and 126: Kupinga ya Kiprotestanti angeweza k
- Page 127 and 128: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 17. A
- Page 129 and 130: Kupinga ya Kiprotestanti watu elfu
- Page 131 and 132: Kupinga ya Kiprotestanti Ilikuwa ja
- Page 133 and 134: Kupinga ya Kiprotestanti kumpokea m
- Page 135 and 136: Kupinga ya Kiprotestanti “Niliona
- Page 137 and 138: Kupinga ya Kiprotestanti milele.”
- Page 139 and 140: Kupinga ya Kiprotestanti 408 k.k -
- Page 141 and 142: Kupinga ya Kiprotestanti tarehe hii
- Page 143 and 144: Kupinga ya Kiprotestanti wakati wa
- Page 145 and 146: Kupinga ya Kiprotestanti kutosha; n
- Page 147 and 148: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 19. S
- Page 149 and 150: Kupinga ya Kiprotestanti Zahabu saf
- Page 151 and 152: Kupinga ya Kiprotestanti kwa uangal
- Page 153 and 154: Kupinga ya Kiprotestanti Miaka mita
- Page 155 and 156: Kupinga ya Kiprotestanti Imani ya n
- Page 157 and 158: Kupinga ya Kiprotestanti Watu wakas
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Maelfu <strong>ya</strong> Wachungaji (Pasteurs) Walifukuzwa<br />
Katika karne <strong>ya</strong> kumi na saba maelfu <strong>ya</strong> wachungaji walifukuzwa na watu wakakatazwa<br />
kuhuzuria mikutano yo yote <strong>ya</strong> dini isiyokuwa ile iliyoruhusiwa na kanisa. Ndani <strong>ya</strong> kimbilio<br />
la vilindi mwituni, wale watoto wa Bwana walioteswa walikusanyika kwa kumimina roho zao<br />
katika maombi (sala) na kusifu. Wengi waliteseka kwa ajili <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong>o. Gereza zilijaa,<br />
jamaa zikatengana. Lakini mateso ha<strong>ya</strong>kun<strong>ya</strong>mazisha ushuhuda wao. Wengi walilazimishwa<br />
kuvuka bahari kwenda Amerika na hapo ndipo paliwekwa msingi wa utaalamu na uhuru wa<br />
dini.<br />
Ndani <strong>ya</strong> gereza kulijaa na watu waliofan<strong>ya</strong> makosa makubwa, John Bun<strong>ya</strong>n, akapumua<br />
hewa <strong>ya</strong> mbinguni na akaandika mizali <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> ajabu <strong>ya</strong> safari <strong>ya</strong> msafiri kutoka kwa inchi<br />
<strong>ya</strong> uharibifu kwenda kwa mji wa mbinguni. Pilgrim’s Progress na Grace Abounding to the<br />
Chief of Sinners vimeongoza n<strong>ya</strong>yo nyingi kwa njia <strong>ya</strong> uzima.<br />
Katika siku <strong>ya</strong> giza <strong>ya</strong> kiroho Whitefield na Wesleys wakatokelea kama wachukuzi wa<br />
nuru kwa ajili <strong>ya</strong> Mungu. Chini kanisa lililoanzishwa watu wakarudia zambini ambayo ni<br />
vigumu kutofautisha kwa ushenzi. Watu wa vyeo v<strong>ya</strong> juu wakacheka uchaji wa Mungu; watu<br />
wa vyeo v<strong>ya</strong> chini wakazamishwa kwa maovu. Kanisa halikuwa na uhodari ao imani kwa<br />
kusaidia maanguko <strong>ya</strong> neno la kweli.<br />
Kuhesabiwa Haki kwa Imani<br />
Mafundisho makubwa <strong>ya</strong> kuhesabiwa haki kwa imani, <strong>ya</strong>liyofundishwa wazi wazi na<br />
Luther, <strong>ya</strong>likuwa karibu kusahauliwa kabisa; kanuni <strong>ya</strong> kanisa la Roma <strong>ya</strong> kutumaini matendo<br />
mema kwa ajili <strong>ya</strong> wokovu <strong>ya</strong>kakamata nafasi <strong>ya</strong>ke. Whitefield na Wesleys wawili walikuwa<br />
watafuti wa kweli kwa ajili <strong>ya</strong> wema wa Mungu. Hii walifundishwa kuwekwa salama kwa<br />
njia <strong>ya</strong> wema na kushika maagizo <strong>ya</strong> dini.<br />
Wakati Charles Wesley kwa wakati moja alipopata ugonjwa na akatumaini kwamba kifo<br />
kilikuwa karibu, akaulizwa, msingi wa tumaini lake la uzima wa milele ulikuwa juu <strong>ya</strong> kitiu<br />
gani. Jibu lake: “Nimetumia juhudi <strong>ya</strong>ngu bora kumtumikia Mungu.” Rafiki ilionekana<br />
hakutoshelewa kabisa kwa jibu hili. Wesley akafikiri: “Nini! ... Anatamani kunin<strong>ya</strong>ngan<strong>ya</strong><br />
juhudi <strong>ya</strong>ngu? Sina kitu kingine cha kutumainia.” Hiyo ndiyo ilikuwa giza ambayo iliyoimara<br />
kwa kanisa, kugeuza watu kutoka kwa tumaini lao pekee la wokovu--damu <strong>ya</strong> Mkombozi<br />
aliyesulubiwa.<br />
Wesley na washiriki wake wakaongozwa kufahamu kwamba sheria <strong>ya</strong> Mungu inafikishwa<br />
mawazoni pia kwa maneno na matendo. Kwa juhudi za kazi na maombi wakafan<strong>ya</strong> bidii <strong>ya</strong><br />
kushinda maovu <strong>ya</strong> moyo wa asili. Wakaishi maisha <strong>ya</strong> kujinyima na kujishusha,<br />
wakachunguza kwa uaminifu kila mpango waliochukua ambao ungeweza kuwa wa kusaidia<br />
kwa kupata utakatifu ule ambao uliweza kutunza wema wa Mungu. Lakini juhudi zao<br />
wenyewe hazikuweza kuwapa uhuru kutoka kwa hukumu <strong>ya</strong> zambi ao kuvunja uwezo wake.<br />
100