12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

hawa waliokufa po pote katika inchi wakafurahisha roho za watu na kusudi isiyokufa <strong>ya</strong><br />

kuvunja minyororo za Roma.<br />

Yohana Knox<br />

Hamilton na Wishart, pamoja na mstari mrefu wa wanafunzi wapole, wakatoa maisha <strong>ya</strong>o<br />

kwa kigingi. Lakini kutoka kwenye tuta la kuni moto wa Wishart kukatokea mtu ambaye<br />

ndimi za moto hazikumun<strong>ya</strong>mazisha, mtu ambaye, chini <strong>ya</strong> uongozi wa Mungu ilipashwa<br />

kupinga onyo la mauti kwa kanisa la Papa katika inchi <strong>ya</strong> Scotland.<br />

John Knox akatupia mbali maagizo <strong>ya</strong> asili <strong>ya</strong> kanisa na akajilisha kwa ukweli wa Neno<br />

la Mungu. Mafundisho <strong>ya</strong> Wishart <strong>ya</strong>kathibitisha kusudi lake la kuachana na Roma na<br />

kujiunga mwenyewe na Watengenezaji walioteswa.<br />

Aliposhurutishwa na wenzake kufan<strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> kuhubiri, akarudi anapotetemeka mbele <strong>ya</strong><br />

madaraka kama hayo. Ilikuwa tu baada <strong>ya</strong> siku za vita kali pamoja naye ndipo akakubali.<br />

Lakini alipokubali, akaendelea mbele na uhodari wa kutisha. Ujasiri huu wa mtengenezaji<br />

haukuogopa mtu. Alipoletwa uso kwa uso na malkia wa Scotland, Yohana Knox hakukubali<br />

kushindwa kwa sababu <strong>ya</strong> kubembelezwa; hakutetemeka juu <strong>ya</strong> vitisho. Kwamba Malkia<br />

akatangaza kwamba alifundisha watu kukubali dini iliyokatazwa na serekali, na kwa hivyo<br />

alivunja pia amri <strong>ya</strong> Mungu inayolazimisha watu kutii watawala wao. Knox akajibu kwa<br />

ujasiri: “Kama watoto wa Izraeli wote walikubali dini <strong>ya</strong> Farao ambao walikuwa watu wake,<br />

nakuuliza, Bibilia, ni dini <strong>ya</strong> namna gani ingaliweza kuwa katika dunia? Ao kama watu wote<br />

katika siku za mitume, wangalikuwa wa dini <strong>ya</strong> wafalme wa Roma, ni dini <strong>ya</strong> namna gani<br />

ingalikuwa mbele <strong>ya</strong> uso wa dunia?”<br />

Akasema Marie: “Mnatafsiri Maandiko kwa namna ingine, na (Wakatoliki wa Roma)<br />

wanatafsiri kwa namna ingine; nitamwamini nani, na ni nani atakuwa mwamzi?”<br />

“Utamwamini Mungu, ile inasemwa wazi katika Neno lake,” akajibu Mtengenezaji. ...<br />

Neno la Mungu linakuwa wazi ndani <strong>ya</strong>ke lenyewe; na kama kukionekana giza lolote katika<br />

mahali fulani, Roho Mtakatifu, asiyekuwa na mabishano kati <strong>ya</strong>ke mwenyewe, hueleza<br />

namna moja wazi zaidi mahali pengine.”<br />

Kwa moyo usio na hofu Mtengenezaji shujaa, kwa ajili <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>ke, akaendelea na<br />

kusudi lake, hata Scotland ikapata uhuru kutoka kwa kanisa la Papa.<br />

Kuimarishwa kwa dini <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> kama dini <strong>ya</strong> taifa katika Uingereza kulituliza<br />

mateso lakini bila kuikomesha kabisa. Mengi katika maagizo <strong>ya</strong> Roma <strong>ya</strong>liendelea. Mamlaka<br />

<strong>ya</strong> Papa ilikataliwa, lakini mahali tu ambapo mfalme alipewa kiti kama kichwa cha kanisa.<br />

Katika ibada watu walikuwa wakingali mbali na utakatifu wa injili. Uhuru wa dini ulikuwa<br />

haujafahamika. Ijapo matatizo <strong>ya</strong> kutisha ambayo Roma ilitumia ilipata kimbilio lakini kwa<br />

shida na wakuu wa <strong>Kiprotestanti</strong>, kwani haki <strong>ya</strong> kila mtu kuabudu Mungu kufuata zamiri <strong>ya</strong>ke<br />

mwenyewe haikukubaliwa. Wakaidi walipata mateso kwa mamia <strong>ya</strong> miaka.<br />

99

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!