You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
hawa waliokufa po pote katika inchi wakafurahisha roho za watu na kusudi isiyokufa <strong>ya</strong><br />
kuvunja minyororo za Roma.<br />
Yohana Knox<br />
Hamilton na Wishart, pamoja na mstari mrefu wa wanafunzi wapole, wakatoa maisha <strong>ya</strong>o<br />
kwa kigingi. Lakini kutoka kwenye tuta la kuni moto wa Wishart kukatokea mtu ambaye<br />
ndimi za moto hazikumun<strong>ya</strong>mazisha, mtu ambaye, chini <strong>ya</strong> uongozi wa Mungu ilipashwa<br />
kupinga onyo la mauti kwa kanisa la Papa katika inchi <strong>ya</strong> Scotland.<br />
John Knox akatupia mbali maagizo <strong>ya</strong> asili <strong>ya</strong> kanisa na akajilisha kwa ukweli wa Neno<br />
la Mungu. Mafundisho <strong>ya</strong> Wishart <strong>ya</strong>kathibitisha kusudi lake la kuachana na Roma na<br />
kujiunga mwenyewe na Watengenezaji walioteswa.<br />
Aliposhurutishwa na wenzake kufan<strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> kuhubiri, akarudi anapotetemeka mbele <strong>ya</strong><br />
madaraka kama hayo. Ilikuwa tu baada <strong>ya</strong> siku za vita kali pamoja naye ndipo akakubali.<br />
Lakini alipokubali, akaendelea mbele na uhodari wa kutisha. Ujasiri huu wa mtengenezaji<br />
haukuogopa mtu. Alipoletwa uso kwa uso na malkia wa Scotland, Yohana Knox hakukubali<br />
kushindwa kwa sababu <strong>ya</strong> kubembelezwa; hakutetemeka juu <strong>ya</strong> vitisho. Kwamba Malkia<br />
akatangaza kwamba alifundisha watu kukubali dini iliyokatazwa na serekali, na kwa hivyo<br />
alivunja pia amri <strong>ya</strong> Mungu inayolazimisha watu kutii watawala wao. Knox akajibu kwa<br />
ujasiri: “Kama watoto wa Izraeli wote walikubali dini <strong>ya</strong> Farao ambao walikuwa watu wake,<br />
nakuuliza, Bibilia, ni dini <strong>ya</strong> namna gani ingaliweza kuwa katika dunia? Ao kama watu wote<br />
katika siku za mitume, wangalikuwa wa dini <strong>ya</strong> wafalme wa Roma, ni dini <strong>ya</strong> namna gani<br />
ingalikuwa mbele <strong>ya</strong> uso wa dunia?”<br />
Akasema Marie: “Mnatafsiri Maandiko kwa namna ingine, na (Wakatoliki wa Roma)<br />
wanatafsiri kwa namna ingine; nitamwamini nani, na ni nani atakuwa mwamzi?”<br />
“Utamwamini Mungu, ile inasemwa wazi katika Neno lake,” akajibu Mtengenezaji. ...<br />
Neno la Mungu linakuwa wazi ndani <strong>ya</strong>ke lenyewe; na kama kukionekana giza lolote katika<br />
mahali fulani, Roho Mtakatifu, asiyekuwa na mabishano kati <strong>ya</strong>ke mwenyewe, hueleza<br />
namna moja wazi zaidi mahali pengine.”<br />
Kwa moyo usio na hofu Mtengenezaji shujaa, kwa ajili <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>ke, akaendelea na<br />
kusudi lake, hata Scotland ikapata uhuru kutoka kwa kanisa la Papa.<br />
Kuimarishwa kwa dini <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> kama dini <strong>ya</strong> taifa katika Uingereza kulituliza<br />
mateso lakini bila kuikomesha kabisa. Mengi katika maagizo <strong>ya</strong> Roma <strong>ya</strong>liendelea. Mamlaka<br />
<strong>ya</strong> Papa ilikataliwa, lakini mahali tu ambapo mfalme alipewa kiti kama kichwa cha kanisa.<br />
Katika ibada watu walikuwa wakingali mbali na utakatifu wa injili. Uhuru wa dini ulikuwa<br />
haujafahamika. Ijapo matatizo <strong>ya</strong> kutisha ambayo Roma ilitumia ilipata kimbilio lakini kwa<br />
shida na wakuu wa <strong>Kiprotestanti</strong>, kwani haki <strong>ya</strong> kila mtu kuabudu Mungu kufuata zamiri <strong>ya</strong>ke<br />
mwenyewe haikukubaliwa. Wakaidi walipata mateso kwa mamia <strong>ya</strong> miaka.<br />
99