Kupinga ya Kiprotestanti

newcovenantpublicationsintl
from newcovenantpublicationsintl More from this publisher
12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti Kwa wakati moja jamaa lote lilipelekwa mbele ya watu wa hekimu (Inquisiteurs), juu ya kutokwenda kwa misa na kuabudu nyumbani. Kijana wa mwisho katika jamaa akajibu “Tunapiga magoti yetu, na kuomba kwamba Mungu apate kuangaza akili zetu na kusamehe zambi zetu; tunaombea utawala wa mfalme wetu, ili ufalme wake upate kusitawi na maisha yake yawe ya furaha; tunawaombea waamzi wetu, ili Mungu apate kuwalinda.” ‘’Baba na mmojawapo wa watoto wake wakahukumiwa kifo cha (kigingi) mti wa kuchoma upinzani wa ibada ya dini.” Si wanaume tu lakini wanawake na vijana wanawake wakatumia ujasiri imara. “Bibi waliweza kusimama kwa vigingi vya waume wao, na wakati walipokuwa wakivumilia mchomo wa moto wangenongoneza maneno ya faraja ao kuimba zaburi kuwatia moyo.” “Wasichana wakalazwa ndani ya kaburi zao kana kwamba walikuwa wakiingia katika chumba chao kulala usiku; ao kwenda kwa jukwaa na moto, wakijivika kwa mapambo yao mazuri sana, kana kwamba walikuwa wakienda kwa ndoa yao.” Mateso yakazidisha hesabu ya washuhuda kwa ajili ya ukweli. Mwaka kwa mwaka mfalme akashurutisha kazi yakeya ukatili, lakini hakufaulu. William wa Orange mwishowe akaleta uhuru wa kuabudu Mungu katika Holandi. Matengenezo Katika Danemark Katika inchi za kaskazini injili ilipata mwingilio wa amani. Wanafunzi huko Wittenberg waliporudi nyumbani walikuwa wakichukua imani ya matengenezo huko Scandinavia. Maandiko ya Luther pia yakatawanya nuru. Watu hodari wa upande wa kaskazini, wakageuka kutoka maovu na ibada ya sanamu ya Roma na kupokea kwa furaha kweli ya maisha bora ya Biblia. Tausen, “Mtengenezaji wa Danemark,” kama mtoto mwanzoni, akaonyesha akili ya nguvu na akaingia kwa nyumba ya watawa. Mtihani ulimtambulisha kuwa na talanta iliyoahidi kufanya kazi nzuri kanisani. Mwanafunzi kijana akaruhusiwa kujichagulia mwenyewe chuo kikubwa cha Ujeremani ama cha Uholandi, ila kwa sharti moja tu: hakupashwa kwenda Wittenberg kuhatarishwa na uzushi. Watawa wakasema hivyo. Tausen akaenda Cologne, mojawapo ya ngome ya Kiroma. Hapo hakukawia kuchukizwa. Ni wakati ule ule aliposoma maandiko ya Luther kwa furaha na akatamani sana kujifunza mafundisho ya kipekee ya Mtengenezaji. Lakini kwa kufanya vile alipashwa kujihatarisha kupoteza usaada wa wakuu wake. Kwa upesi kusudi lake likafanyika na mara akawa mwanafunzi huko Wittenberg. Kwa kurudi Danemark, hakuonyesha siri yake, lakini akajitahidi kuongoza wenzake kwa imani safi. Akafungua Biblia na akahubiri Kristo kwao kama tumaini pekee la mwenye zambi la wokovu. Hasira ya mkuu wa nyumba ya watawa ilikuwa kubwa sana, walioweka matumaini ya juu juu kwake kuwa mtetezi wa Roma. Akahamishwa mara moja kutoka kwa nyumba yake mwenyewe ya watawa kwenda kwa ingine na kufungiwa kwa chumba chake 94

Kupinga ya Kiprotestanti kidogo. Katika fito za chuma za chumba chake kidogo Tausen akazungumza na wenzake maarifa ya kweli. Kama mababa wema wale wa Danois wangalipatana katika shauri la kanisa juu ya uzushi, sauti ya Tausen haingalisikiwa tena kamwe; lakini badala ya kumzika hai kwa gereza la chini ya udongo, wakafukuzwa kwa nyumba ya watawa. Amri ya mfalme, ikatangazwa, ikatolea ulinzi kwa elimu ya mafundisho mapya. Makanisa yakafunguliwa kwa ajili yake, na watu wakajaa tele kusikiliza. Agano Jipya katika Kidanois kikaenezwa mahali pengi. Juhudi ya kuangusha kazi ikaishia kwa kuitawanya, na kwa hiyo Danemark ikatangaza ukubali wake wa imani ya matengenezo. Maendeleo katika Uswedi Katika Uswedi vilevile vijana kutoka Wittenberg wakachukua maji ya uzima kwa watu wa kwao. Waongozi wawili wa Matengenezo katika Swede, Olaf na Laurentius Petri, walijifunza chini ya Luther na Melanchton. Kama mtengenezaji mkuu, Olaf akaamsha watu kwa ufundi wake wa kusema, hivyo Laurentius, sawasawa na Melanchton, alikuwa na uangalifu na utulivu. Wote wawili walikuwa na uhodari imara. Mapadri wakikatoliki wakasukuma watu wajinga na wa ibada ya sanamu kwa nyakati nyingi. Olaf Petri kwa shida akaokoka na maisha yake. Watengenezaji hawa walikuwa, basi, wakilindwa na mfalme, aliyekusudia juu ya Matengenezo na akakaribisha hawa wasaidizi hodari katika vita ya kupinga Roma. Mbele ya mfalme na watu waliojifunza wa Swede, Olaf Petri kwa uwezo mkubwa akatetea imani ya matengenezo. Akatangaza kwamba mafundisho ya mababa yanapaswa kukubaliwa tu kama yakipatana na Maandiko; akatangaza kwamba mafundisho mhimu ya imani yanayofundishwa katika Biblia kwa hali ya wazi ili wote waweza kuyafahamu. Shindano hili linaonyesha watu wa namna gani wanaokuwa katika jeshi la Watengenezaji. Hawakuwa wajinga, watu wa kujitenga, wenye mabishano wa fujo--mbali ya ile. Walikuwa watu waliojifunza Neno la Mungu na waliojua vizuri kutumia silaha walizozipata kwa gala ya silaha ya Biblia. (Walikuwa) wanafunzi na wanafunzi wa elimu ya tabia na sifa za Mungu na dini (Theologie), watu wakamilifu waliozoea mambo ya ukweli wa injili, na walioshinda kwa urahisi wenye kutumia maneno ya ovyo ya uongo wa vyuo na wakuu wa Roma.” Mfalme wa Swede akakubali imani ya Waprotestanti, na baraza la taifa likatangaza ukubali wake. Kwa matakwa ya mfalme ndugu hawa wawili wakaanza utafsiri wa Biblia nzima. Ikaagizwa na baraza kwamba po pote katika ufalme, wachungaji walipashwa kueleza Maandiko, na kwamba watoto katika vyuo walipashwa kufundishwa kusoma Biblia. Walipookoka na magandamizo ya Roma, watu wa taifa la Uswedi wakafikia hali ya nguvu na ukubwa wasiofikia mbele. Baada ya karne moja, taifa hili ndogo na zaifu likawa la kwanza katika Ulaya lililosubutu kutoa mkono wa usaada--kwa ukombozi wa Ujermani mda wa shindano ndefu la Vita ya miaka makumi tatu. Ulaya yote ya Kaskazini ilionekana kuwa tena chini ya ukorofi wa Roma. Majeshi ya Swede ndiyo yaliwezesha Ujeremani kupata uhuru wa 95

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kwa wakati moja jamaa lote lilipelekwa mbele <strong>ya</strong> watu wa hekimu (Inquisiteurs), juu <strong>ya</strong><br />

kutokwenda kwa misa na kuabudu nyumbani. Kijana wa mwisho katika jamaa akajibu<br />

“Tunapiga magoti yetu, na kuomba kwamba Mungu apate kuangaza akili zetu na kusamehe<br />

zambi zetu; tunaombea utawala wa mfalme wetu, ili ufalme wake upate kusitawi na maisha<br />

<strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>we <strong>ya</strong> furaha; tunawaombea waamzi wetu, ili Mungu apate kuwalinda.” ‘’Baba na<br />

mmojawapo wa watoto wake wakahukumiwa kifo cha (kigingi) mti wa kuchoma upinzani wa<br />

ibada <strong>ya</strong> dini.”<br />

Si wanaume tu lakini wanawake na vijana wanawake wakatumia ujasiri imara. “Bibi<br />

waliweza kusimama kwa vigingi v<strong>ya</strong> waume wao, na wakati walipokuwa wakivumilia<br />

mchomo wa moto wangenongoneza maneno <strong>ya</strong> faraja ao kuimba zaburi kuwatia moyo.”<br />

“Wasichana wakalazwa ndani <strong>ya</strong> kaburi zao kana kwamba walikuwa wakiingia katika<br />

chumba chao kulala usiku; ao kwenda kwa jukwaa na moto, wakijivika kwa mapambo <strong>ya</strong>o<br />

mazuri sana, kana kwamba walikuwa wakienda kwa ndoa <strong>ya</strong>o.”<br />

Mateso <strong>ya</strong>kazidisha hesabu <strong>ya</strong> washuhuda kwa ajili <strong>ya</strong> ukweli. Mwaka kwa mwaka<br />

mfalme akashurutisha kazi <strong>ya</strong>ke<strong>ya</strong> ukatili, lakini hakufaulu. William wa Orange mwishowe<br />

akaleta uhuru wa kuabudu Mungu katika Holandi.<br />

Matengenezo Katika Danemark<br />

Katika inchi za kaskazini injili ilipata mwingilio wa amani. Wanafunzi huko Wittenberg<br />

waliporudi nyumbani walikuwa wakichukua imani <strong>ya</strong> matengenezo huko Scandinavia.<br />

Maandiko <strong>ya</strong> Luther pia <strong>ya</strong>katawan<strong>ya</strong> nuru. Watu hodari wa upande wa kaskazini, wakageuka<br />

kutoka maovu na ibada <strong>ya</strong> sanamu <strong>ya</strong> Roma na kupokea kwa furaha kweli <strong>ya</strong> maisha bora <strong>ya</strong><br />

Biblia.<br />

Tausen, “Mtengenezaji wa Danemark,” kama mtoto mwanzoni, akaonyesha akili <strong>ya</strong><br />

nguvu na akaingia kwa nyumba <strong>ya</strong> watawa. Mtihani ulimtambulisha kuwa na talanta<br />

iliyoahidi kufan<strong>ya</strong> kazi nzuri kanisani. Mwanafunzi kijana akaruhusiwa kujichagulia<br />

mwenyewe chuo kikubwa cha Ujeremani ama cha Uholandi, ila kwa sharti moja tu:<br />

hakupashwa kwenda Wittenberg kuhatarishwa na uzushi. Watawa wakasema hivyo.<br />

Tausen akaenda Cologne, mojawapo <strong>ya</strong> ngome <strong>ya</strong> Kiroma. Hapo hakukawia kuchukizwa.<br />

Ni wakati ule ule aliposoma maandiko <strong>ya</strong> Luther kwa furaha na akatamani sana kujifunza<br />

mafundisho <strong>ya</strong> kipekee <strong>ya</strong> Mtengenezaji. Lakini kwa kufan<strong>ya</strong> vile alipashwa kujihatarisha<br />

kupoteza usaada wa wakuu wake. Kwa upesi kusudi lake likafanyika na mara akawa<br />

mwanafunzi huko Wittenberg.<br />

Kwa kurudi Danemark, hakuonyesha siri <strong>ya</strong>ke, lakini akajitahidi kuongoza wenzake kwa<br />

imani safi. Akafungua Biblia na akahubiri Kristo kwao kama tumaini pekee la mwenye zambi<br />

la wokovu. Hasira <strong>ya</strong> mkuu wa nyumba <strong>ya</strong> watawa ilikuwa kubwa sana, walioweka<br />

matumaini <strong>ya</strong> juu juu kwake kuwa mtetezi wa Roma. Akahamishwa mara moja kutoka kwa<br />

nyumba <strong>ya</strong>ke mwenyewe <strong>ya</strong> watawa kwenda kwa ingine na kufungiwa kwa chumba chake<br />

94

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!