MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOANI SIMIYU
mwongozo-simiyu mwongozo-simiyu
wataalamu waliochangia katika kuandaa Mwongozo huu; Dkt. Gratian Bamwenda, Dkt. Oswald Mashindano, Bibi Margareth Nzuki, Bwana Abdallah K. Hassan, na kupitiwa na Prof. Haidari Amani na Bwana Amon Manyama. Mwisho, napenda kutumia fursa hii kuwakaribisha watu wote na makampuni kuja kuwekeza Simiyu, na kuwahakikishia huduma bora wakati wowote kutoka Ofisi ya Mkoa wa Simiyu ili kuufanya uwekezaji wenu uwe wa tija na wenye kukua kwa maslahi yetu sote. Mheshimiwa Anthony Mtaka Mkuu Wa Mkoa, Simiyu, Tanzania iv | MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOANI SIMIYU
SEHEMU YA KWANZA: KWA NINI UWEKEZE SIMIYU, TANZANIA 1.1 Muhtasari wa sababu muhimu za kuwekeza katika mkoa wa Simiyu nchini Tanzania Simiyu ni sehemu ya Tanzania na fursa zake za uwekezaji zinahusiana na mazingira ya uwekezaji ya jumla ya kitaifa, sera pamoja na mifumo ya kiuchumi. 1.1.1 Kwa nini uwekeze Tanzania? Tanzania ina rasilimali nyingi za asili ambazo zinatoa fursa kadhaa za kuwekeza. Rasilimali hizo ni pamoja na eneo zuri sana la kijiografia, ambalo linafanya nchi sita zisizokuwa karibu na bahari (Land locked) kutegemea bandari za Tanzania kama njia rahisi za kuingizia na kutolea bidhaa zao; ardhi nzuri yenye rutuba; vivutio vingi maarufu vya kitalii, kama vile, mbuga ya taifa ya Serengeti, Mlima Kilimanjaro, bonde la Ngorongoro, na visiwa vya karafuu vya Zanzibar. Vitu vingine ni; rasilimali za asili kama vile madini; soko la kutosha la hapa nchini na la kikanda; vyanzo vya malighafi; stadi za aina nyingi, uhakika wa nguvu kazi kwa gharama nafuu; usalama wa mali; watu wachangamfu na rafiki. Sababu zingine za kuwekeza Tanzania ni kama zifuatavyo: • Usalama wa hali ya juu wa rasilimali zilizowekezwa kwa sababu ya utulivu mkubwa wa kisiasa usiokuwa na migogoro na migawanyiko ya kikabila; utawala wa kidemokrasia unaoheshimu maoni tofauti na utamaduni madhubuti wa kuheshimu katiba na utawala wa sheria; • Utulivu wa uchumi mkubwa ulio rafiki kwa biashara na kiasi cha chini cha mfumko wa bei (kiasi cha 5%); viwango tulivu vya ubadilishaji MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOANI SIMIYU | 1
- Page 1: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFI
- Page 4 and 5: YALIYOMO Utangulizi................
- Page 8 and 9: wa fedha vikiongezewa nguvu na uhau
- Page 10 and 11: • Wawekezaji wanakaribishwa vile
- Page 12 and 13: inajumuisha Wilaya za Bariadi, Buse
- Page 14 and 15: uzalishaji wake wa ndani wa Jumla.
- Page 16 and 17: Lagangabilili na Lugulu, 15km x 15k
- Page 18 and 19: Itilima na Maswa, kwa kilimo kwenye
- Page 20 and 21: Uzalishaji unaotarajiwa/matokeo:
- Page 22 and 23: kushuka na kupanda kwa bei ya sokon
- Page 24 and 25: Msaada uliopo Changamoto/ Vihataris
- Page 26 and 27: 6. Vituo vya Mafunzo: Kituo kimoja
- Page 28 and 29: Kiasi kikubwa cha alizeti inayozali
- Page 30 and 31: Msaada uliopo Changamoto/ Vihataris
- Page 32 and 33: • Uwekaji alama wa kiasili /duni
- Page 34 and 35: • Kiasi kikubwa cha gharama za uz
- Page 36 and 37: Mantiki ya uwekezaji huu Msaada uli
- Page 38 and 39: Mantiki ya uwekezaji huu Msaada uli
- Page 40 and 41: Msaada uliopo Changamoto/ Vihataris
- Page 42 and 43: Msaada uliopo Changamoto/ Vihataris
- Page 44 and 45: na Kanuni, Sheria ya Ulindaji wa Mm
- Page 46 and 47: Kodi: Kodi zinazohusika katika mira
- Page 48 and 49: Ongezeka la Thamani (Import duty an
- Page 50 and 51: Motisha nyingine kwa ajili ya uweke
- Page 52: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofi
SEHEMU YA K<strong>WA</strong>NZA:<br />
K<strong>WA</strong> NINI UWEKEZE <strong>SIMIYU</strong>,<br />
TANZANIA<br />
1.1 Muhtasari wa sababu muhimu za kuwekeza katika mkoa wa<br />
Simiyu nchini Tanzania<br />
Simiyu ni sehemu ya Tanzania na fursa zake za uwekezaji zinahusiana<br />
na mazingira ya uwekezaji ya jumla ya kitaifa, sera pamoja na mifumo ya<br />
kiuchumi.<br />
1.1.1 Kwa nini uwekeze Tanzania?<br />
Tanzania ina rasilimali nyingi za asili ambazo zinatoa fursa kadhaa za<br />
kuwekeza. Rasilimali hizo ni pamoja na eneo zuri sana la kijiografia, ambalo<br />
linafanya nchi sita zisizokuwa karibu na bahari (Land locked) kutegemea<br />
bandari za Tanzania kama njia rahisi za kuingizia na kutolea bidhaa zao;<br />
ardhi nzuri yenye rutuba; vivutio vingi maarufu vya kitalii, kama vile, mbuga<br />
ya taifa ya Serengeti, Mlima Kilimanjaro, bonde la Ngorongoro, na visiwa<br />
vya karafuu vya Zanzibar. Vitu vingine ni; rasilimali za asili kama vile madini;<br />
soko la kutosha la hapa nchini na la kikanda; vyanzo vya malighafi; stadi za<br />
aina nyingi, uhakika wa nguvu kazi kwa gharama nafuu; usalama wa mali;<br />
watu wachangamfu na rafiki.<br />
Sababu zingine za kuwekeza Tanzania ni kama zifuatavyo:<br />
• Usalama wa hali ya juu wa rasilimali zilizowekezwa kwa sababu ya<br />
utulivu mkubwa wa kisiasa usiokuwa na migogoro na migawanyiko<br />
ya kikabila; utawala wa kidemokrasia unaoheshimu maoni tofauti na<br />
utamaduni madhubuti wa kuheshimu katiba na utawala wa sheria;<br />
• Utulivu wa uchumi mkubwa ulio rafiki kwa biashara na kiasi cha chini<br />
cha mfumko wa bei (kiasi cha 5%); viwango tulivu vya ubadilishaji<br />
<strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong> | 1