MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOANI SIMIYU

mwongozo-simiyu mwongozo-simiyu

24.03.2017 Views

wataalamu waliochangia katika kuandaa Mwongozo huu; Dkt. Gratian Bamwenda, Dkt. Oswald Mashindano, Bibi Margareth Nzuki, Bwana Abdallah K. Hassan, na kupitiwa na Prof. Haidari Amani na Bwana Amon Manyama. Mwisho, napenda kutumia fursa hii kuwakaribisha watu wote na makampuni kuja kuwekeza Simiyu, na kuwahakikishia huduma bora wakati wowote kutoka Ofisi ya Mkoa wa Simiyu ili kuufanya uwekezaji wenu uwe wa tija na wenye kukua kwa maslahi yetu sote. Mheshimiwa Anthony Mtaka Mkuu Wa Mkoa, Simiyu, Tanzania iv | MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOANI SIMIYU

SEHEMU YA KWANZA: KWA NINI UWEKEZE SIMIYU, TANZANIA 1.1 Muhtasari wa sababu muhimu za kuwekeza katika mkoa wa Simiyu nchini Tanzania Simiyu ni sehemu ya Tanzania na fursa zake za uwekezaji zinahusiana na mazingira ya uwekezaji ya jumla ya kitaifa, sera pamoja na mifumo ya kiuchumi. 1.1.1 Kwa nini uwekeze Tanzania? Tanzania ina rasilimali nyingi za asili ambazo zinatoa fursa kadhaa za kuwekeza. Rasilimali hizo ni pamoja na eneo zuri sana la kijiografia, ambalo linafanya nchi sita zisizokuwa karibu na bahari (Land locked) kutegemea bandari za Tanzania kama njia rahisi za kuingizia na kutolea bidhaa zao; ardhi nzuri yenye rutuba; vivutio vingi maarufu vya kitalii, kama vile, mbuga ya taifa ya Serengeti, Mlima Kilimanjaro, bonde la Ngorongoro, na visiwa vya karafuu vya Zanzibar. Vitu vingine ni; rasilimali za asili kama vile madini; soko la kutosha la hapa nchini na la kikanda; vyanzo vya malighafi; stadi za aina nyingi, uhakika wa nguvu kazi kwa gharama nafuu; usalama wa mali; watu wachangamfu na rafiki. Sababu zingine za kuwekeza Tanzania ni kama zifuatavyo: • Usalama wa hali ya juu wa rasilimali zilizowekezwa kwa sababu ya utulivu mkubwa wa kisiasa usiokuwa na migogoro na migawanyiko ya kikabila; utawala wa kidemokrasia unaoheshimu maoni tofauti na utamaduni madhubuti wa kuheshimu katiba na utawala wa sheria; • Utulivu wa uchumi mkubwa ulio rafiki kwa biashara na kiasi cha chini cha mfumko wa bei (kiasi cha 5%); viwango tulivu vya ubadilishaji MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOANI SIMIYU | 1

SEHEMU YA K<strong>WA</strong>NZA:<br />

K<strong>WA</strong> NINI UWEKEZE <strong>SIMIYU</strong>,<br />

TANZANIA<br />

1.1 Muhtasari wa sababu muhimu za kuwekeza katika mkoa wa<br />

Simiyu nchini Tanzania<br />

Simiyu ni sehemu ya Tanzania na fursa zake za uwekezaji zinahusiana<br />

na mazingira ya uwekezaji ya jumla ya kitaifa, sera pamoja na mifumo ya<br />

kiuchumi.<br />

1.1.1 Kwa nini uwekeze Tanzania?<br />

Tanzania ina rasilimali nyingi za asili ambazo zinatoa fursa kadhaa za<br />

kuwekeza. Rasilimali hizo ni pamoja na eneo zuri sana la kijiografia, ambalo<br />

linafanya nchi sita zisizokuwa karibu na bahari (Land locked) kutegemea<br />

bandari za Tanzania kama njia rahisi za kuingizia na kutolea bidhaa zao;<br />

ardhi nzuri yenye rutuba; vivutio vingi maarufu vya kitalii, kama vile, mbuga<br />

ya taifa ya Serengeti, Mlima Kilimanjaro, bonde la Ngorongoro, na visiwa<br />

vya karafuu vya Zanzibar. Vitu vingine ni; rasilimali za asili kama vile madini;<br />

soko la kutosha la hapa nchini na la kikanda; vyanzo vya malighafi; stadi za<br />

aina nyingi, uhakika wa nguvu kazi kwa gharama nafuu; usalama wa mali;<br />

watu wachangamfu na rafiki.<br />

Sababu zingine za kuwekeza Tanzania ni kama zifuatavyo:<br />

• Usalama wa hali ya juu wa rasilimali zilizowekezwa kwa sababu ya<br />

utulivu mkubwa wa kisiasa usiokuwa na migogoro na migawanyiko<br />

ya kikabila; utawala wa kidemokrasia unaoheshimu maoni tofauti na<br />

utamaduni madhubuti wa kuheshimu katiba na utawala wa sheria;<br />

• Utulivu wa uchumi mkubwa ulio rafiki kwa biashara na kiasi cha chini<br />

cha mfumko wa bei (kiasi cha 5%); viwango tulivu vya ubadilishaji<br />

<strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong> | 1

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!