You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
wataalamu waliochangia katika kuandaa Mwongozo huu; Dkt. Gratian<br />
Bamwenda, Dkt. Oswald Mashindano, Bibi Margareth Nzuki, Bwana<br />
Abdallah K. Hassan, na kupitiwa na Prof. Haidari Amani na Bwana Amon<br />
Manyama.<br />
Mwisho, napenda kutumia fursa hii kuwakaribisha watu wote na makampuni<br />
kuja kuwekeza Simiyu, na kuwahakikishia huduma bora wakati wowote<br />
kutoka Ofisi ya Mkoa wa Simiyu ili kuufanya uwekezaji wenu uwe wa tija<br />
na wenye kukua kwa maslahi yetu sote.<br />
Mheshimiwa Anthony Mtaka<br />
Mkuu Wa Mkoa,<br />
Simiyu, Tanzania<br />
iv | <strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong>