MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOANI SIMIYU
mwongozo-simiyu mwongozo-simiyu
na Kanuni, Sheria ya Ulindaji wa Mmea (1997) na Kanuni, Sheria ya Madini (2010), Kanuni za Madini 2012, na sheria nyingine za kisekta na sheria ndogondogo za Mkoa wa Simiyu. Taasisi kuu zinazohusiana na uwekezaji mkoani Simiyu na Tanzania kwa ujumla: Taasisi kuu zinazojishughulisha na masuala ya uwekezaji katika Mkoa wa Simiyu na Tanzania kwa ujumla ni: Kituo cha Uwekezaji Tanzania (Baruapepe: information@tic.co.tz), Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO), Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Wizara ya Biashara, Viwanda na Uwekezajira, Wakala wa Chakula na Dawa Tanzania, Mampuni ya Ugavi wa Maji katika mikoa inayohusika, Mamlaka za Manispaa katika wilaya zinazohusika (katika masuala ya ardhi), Wizara ya Maji na Umwagiliaji, na Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi. Mikakati, Mipango na Programu: Mikakati, mipango na programu kuu ni: Mipango ya Mwaka ya Mkoa na Taarifa za Mwaka (mf. Taarifa ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo mwaka 2016/2017, Taarifa ya Maendeleo ya Sekta ya Mifugo Mwaka 2016/2017, etc), Taarifa za PO-PRALG, Mipango ya Maendeleo ya Wilaya, Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano (FYDP II), Mkakati na Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo 2017-2022 (ASDP II), Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Mifugo 2011, Ripoti za Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, na Mkakati wa Ujumuishaji wa Maendeleo ya Viwanda (IIDS 2025), Mkakati wa Taifa wa Maendeleo ya Mpunga, Mpango wa Uwekezaji wa Kilimo na Usalama wa Chakula Tanzania, na Ukuaji wa Ushoroba wa Kilimo Tanzania. Kwa sera hizo hapo juu, mfumo wa udhibiti, mikakati na mipango, ni wazi kuwa hali ya uwekezaji katika Mkoa wa Simiyu inaungwa mkono na mifumo ambayo inatoa mazingira yanayofaa kuhamasisha uwekezaji katika Mkoa wa Simiyu. 38 | MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOANI SIMIYU
4.2 Michakato na Mahitaji Michakato mikuu ambayo inahitajika kufanywa na mwekezaji anayetarajiwa katika Mkoa wa Simiyu imeorodheshwa hapo chini. Taasisi inayoongoza: Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) ni wakala wa serikali ya Tanzania ulioazishwa chini ya Sheria ya Uwekezaji Tanzania Na. 26 ya 1997 kuhamasisha, kuratibu na kuwezesha uwekezaji nchini Tanzania. Kituo hiki ni mratibu kwa wawekezaji wote na kinafanya kazi za ushirikiano kwa mwekezaji tangu i maulizo mpaka kuanza kwa mradi. Kituo kinashughulikia viwanda vyote ambavyo kipato chake cha chini cha uwekezaji si chini ya Dola za Marekani 300,000 zinazomilikiwa kigeni na Dola za Kimarekani 10 0,000 zinazomilikiwa nchini. Kituo kitasaidia wawekezaji wote kupata kibali, idhini n.k., zinazotakiwa kwa mujibu wa sheria ili kuandaa na kufanya uwekezaji nchini Tanzania. Mawasiliano ya Kituo cha Uwekezaji ni: Mkurugenzi Mtendaji, Kituo cha Uwekezaji Tanzania, Kiwanja Na; 9A&B, Mtaa wa Shabaan Robert, S.L.P 938, Dar-Es-Salaam, Tanzania, Simu: 255 22 2113365/116328-32 Faksi: 255 22 2118253, Baruapepe: tic@cats-net.com Usajili: Usajili wa uwekezaji unaweza kufanywa katika ofisi za BRELA, katika wilaya, mkoa au taifa au katika Kituo cha Uwekezaji Tanzania ambapo nyaraka zifuatazo zinahitajika: (i) Katiba ya Kampuni; (ii) Cheti cha Usajili au Cheti cha Kuandikishwa; (iii) Upembuzi yakinifu wa Uwekezaji; (iv) Cheti cha Motisha iwapo miradi imethibitishwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania; (v) Mkataba wa Ushirikiano (hati rasmi), iwapo ni ushirikiano; (vi) Mkataba wa Upangaji, (vii) Fomu ya Maombi ya Biashara (viii) Fomu za IT 21 kwa kampuni na fomu za IT 20 kwa watu binafsi, na (ix) Cheti cha Usajili wa Kampuni na Mwendeshaji cha Namba ya Utambulisho wa Mlipakodi (TIN). MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOANI SIMIYU | 39
- Page 1: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFI
- Page 4 and 5: YALIYOMO Utangulizi................
- Page 6 and 7: wataalamu waliochangia katika kuand
- Page 8 and 9: wa fedha vikiongezewa nguvu na uhau
- Page 10 and 11: • Wawekezaji wanakaribishwa vile
- Page 12 and 13: inajumuisha Wilaya za Bariadi, Buse
- Page 14 and 15: uzalishaji wake wa ndani wa Jumla.
- Page 16 and 17: Lagangabilili na Lugulu, 15km x 15k
- Page 18 and 19: Itilima na Maswa, kwa kilimo kwenye
- Page 20 and 21: Uzalishaji unaotarajiwa/matokeo:
- Page 22 and 23: kushuka na kupanda kwa bei ya sokon
- Page 24 and 25: Msaada uliopo Changamoto/ Vihataris
- Page 26 and 27: 6. Vituo vya Mafunzo: Kituo kimoja
- Page 28 and 29: Kiasi kikubwa cha alizeti inayozali
- Page 30 and 31: Msaada uliopo Changamoto/ Vihataris
- Page 32 and 33: • Uwekaji alama wa kiasili /duni
- Page 34 and 35: • Kiasi kikubwa cha gharama za uz
- Page 36 and 37: Mantiki ya uwekezaji huu Msaada uli
- Page 38 and 39: Mantiki ya uwekezaji huu Msaada uli
- Page 40 and 41: Msaada uliopo Changamoto/ Vihataris
- Page 42 and 43: Msaada uliopo Changamoto/ Vihataris
- Page 46 and 47: Kodi: Kodi zinazohusika katika mira
- Page 48 and 49: Ongezeka la Thamani (Import duty an
- Page 50 and 51: Motisha nyingine kwa ajili ya uweke
- Page 52: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofi
na Kanuni, Sheria ya Ulindaji wa Mmea (1997) na Kanuni, Sheria ya<br />
Madini (2010), Kanuni za Madini 2012, na sheria nyingine za kisekta na<br />
sheria ndogondogo za Mkoa wa Simiyu.<br />
Taasisi kuu zinazohusiana na uwekezaji mkoani Simiyu na<br />
Tanzania kwa ujumla:<br />
Taasisi kuu zinazojishughulisha na masuala ya uwekezaji katika Mkoa<br />
wa Simiyu na Tanzania kwa ujumla ni: Kituo cha Uwekezaji Tanzania<br />
(Baruapepe: information@tic.co.tz), Wakala wa Usajili wa Biashara na<br />
Leseni (BRELA), Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Shirika la Ugavi<br />
wa Umeme Tanzania (TANESCO), Shirika la Viwango Tanzania (TBS),<br />
Wizara ya Biashara, Viwanda na Uwekezajira, Wakala wa Chakula na Dawa<br />
Tanzania, Mampuni ya Ugavi wa Maji katika mikoa inayohusika, Mamlaka<br />
za Manispaa katika wilaya zinazohusika (katika masuala ya ardhi), Wizara<br />
ya Maji na Umwagiliaji, na Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi.<br />
Mikakati, Mipango na Programu:<br />
Mikakati, mipango na programu kuu ni: Mipango ya Mwaka ya Mkoa<br />
na Taarifa za Mwaka (mf. Taarifa ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo<br />
mwaka 2016/2017, Taarifa ya Maendeleo ya Sekta ya Mifugo Mwaka<br />
2016/2017, etc), Taarifa za PO-PRALG, Mipango ya Maendeleo ya Wilaya,<br />
Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano (FYDP II), Mkakati na Programu<br />
ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo 2017-2022 (ASDP II), Programu ya<br />
Maendeleo ya Sekta ya Mifugo 2011, Ripoti za Wizara ya Viwanda, Biashara<br />
na Uwekezaji, na Mkakati wa Ujumuishaji wa Maendeleo ya Viwanda (IIDS<br />
2025), Mkakati wa Taifa wa Maendeleo ya Mpunga, Mpango wa Uwekezaji<br />
wa Kilimo na Usalama wa Chakula Tanzania, na Ukuaji wa Ushoroba wa<br />
Kilimo Tanzania.<br />
Kwa sera hizo hapo juu, mfumo wa udhibiti, mikakati na mipango, ni<br />
wazi kuwa hali ya uwekezaji katika Mkoa wa Simiyu inaungwa mkono<br />
na mifumo ambayo inatoa mazingira yanayofaa kuhamasisha uwekezaji<br />
katika Mkoa wa Simiyu.<br />
38 | <strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong>