MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOANI SIMIYU
mwongozo-simiyu mwongozo-simiyu
Msaada uliopo Changamoto/ Vihatarishi na hatua za kukabiliana nazo Msaada imara wa kiufundi kutoka Bodi ya Utalii Tanzania, Mamlaka za Mikoa, na Wizara ya Maliasili na Utalii. • Usimamizi wa fedha; • Utaalamu wa kiufundi. 3.3 Makundi yanayolengwa na Mwongozo huu Wanufaika wa moja kwa moja wanaolengwa na Mwongozo huu ni; • Wawekezaji, wamiliki wa biashara, wamiliki wa makampuni yanayoendesha mashamba makubwa ya mazao ya kilimo na makampuni ya uongezaji thamani ya mazao na masoko yanayokusudia kuwekeza katika maeneo ya viwanda na biashara yaliyotengwa katika mkoa wa Simiyu; • Wizara ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji; • Wadau mbalimbali katika mnyororo wa thamani, ikiwa ni pamoja na wajasiriamali binafsi, waingizaji na wasafirishaji nje wa pembejeo na mazao ya kilimo, wafugaji wa mifugo na wavuvi kwa ujumla. Asasi za viwanda/bodi za mazao na masoko.; • Wizara za serikali, wakala, Mamlaka za Serikali za Mitaa, EPZA, na mashirika ya umma (mf. yale yanayowajibika na kilimo, viwanda, biashara, fedha, na ushirikiano wa kimataifa); • Vyombo vingine vya sekta binafsi; • Wanataaluma/watafiti katika Ukanda wa Ziwa na nchini Tanzania; • Asasi za Ufadhili kama vile Baraza la Taifa la Biashara, TCCIA, mifuko ya pensheni inayowekeza katika kilimo na viwanda, na taasisi nyingine za misaada; • Taasisi zinazosimamia usimamizi wa ubora na masuala ya usimamizi wa usalama, kama vile TBS, TFDA n.k; • Asasi zinazotoa uwezo wa uzalishaji, habari na data, Ufuatiliaji na Tathmini (M&E), na huduma nyingine za kusaidia biashara, mashirika ya Kusaidia Viwanda (ISOs), Kitengo cha Maendeleo ya Utengenezaji wa Nguo, BRELA, TRA, FCC, NEEC, TANTRADE, n.k.; • Asasi za kijamii na asasi zisizo za kiserikali; na • Washirika wa Maendeleo, kama FAO, UNDP, Benki ya Dunia, UNCTAD, ITC, EU, UNIDO, TMEA, n.k. 36 | MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOANI SIMIYU
Sehemu ya nne: UWEZESHAJI, MICHAKATO, MAHITAJI NA MOTISHA 4.1 Uwezeshaji Mkoa wa Simiyu na Serikali Kuu zinaboresha mazingira yanayofaa ili kushawishi na kuwezesha uwekezaji katika Mkoa wa Simiyu katika maeneo yaliyoonyeshwa katika sehemu ya tatu ya Mwongozo huu. Sera, sheria, mikakati, mipango na programu kuu za uwekezaji ambazo zinahamasisha uwekezaji katika wilaya zimeonyeshwa hapo chini. Mazingatio ya Sera, Sheria, Taasisi na Udhibiti: Sera Kuu: Sera zinazoongoza uhamasishaji uwekezaji katika Mkoa wa Simiyu zinajumuisha: Sera ya Taifa ya Uhamasishaji wa Uwekezaji, 1996, Sera ya Taifa ya Kilimo 2013, Sera ya Taifa ya Mifugo 2006, Sera ya Taifa ya Maendeleo Endelevu ya Viwanda (SIDP) 1996-2020, Sera ya Taifa ya Biashara kwa Uchumi wa Ushindani na Kuelekea Ukuaji wa Biashara ya Nje, Sera ya Taifa ya Shughuli Ndogo za Kifedha, 2015, Sera ya Taifa ya Misitu (1998), Sera ya Ufugaji wa Nyuki (1998), Sera ya Maendeleo ya Viwanda Vidogo na vya Kati (2003), Sera ya Taifa ya Ardhi (1995), rasimu ya Sera ya Taifa ya Mazingira 2016, Sera ya Madini ya Tanzania, (2009), Mwongozo wa Mwekezaji wa Tasnia ya Madini Tanzania, 2015, na Dira ya Mkoa wa Simiyu na sera za maendeleo. Mfumo wa kisheria: Sheria kuu na kanuni ambazo zinaongoza uhamasishaji wa uwekezaji na shughuli katika Mkoa wa Simiyu ni: Sheria ya uwekezaji Tanzania (1997), Sheria ya Mamlaka ya Mapato Tanzania 2006, Sheria ya Ardhi (1999), Sheria ya Ardhi ya Vijiji (1999), Sheria ya Madini (1998), Sheria ya Shirika la Viwango Tanzania (2009), Sheria ya Chakula na Dawa Tanzania (2003) MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOANI SIMIYU | 37
- Page 1: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFI
- Page 4 and 5: YALIYOMO Utangulizi................
- Page 6 and 7: wataalamu waliochangia katika kuand
- Page 8 and 9: wa fedha vikiongezewa nguvu na uhau
- Page 10 and 11: • Wawekezaji wanakaribishwa vile
- Page 12 and 13: inajumuisha Wilaya za Bariadi, Buse
- Page 14 and 15: uzalishaji wake wa ndani wa Jumla.
- Page 16 and 17: Lagangabilili na Lugulu, 15km x 15k
- Page 18 and 19: Itilima na Maswa, kwa kilimo kwenye
- Page 20 and 21: Uzalishaji unaotarajiwa/matokeo:
- Page 22 and 23: kushuka na kupanda kwa bei ya sokon
- Page 24 and 25: Msaada uliopo Changamoto/ Vihataris
- Page 26 and 27: 6. Vituo vya Mafunzo: Kituo kimoja
- Page 28 and 29: Kiasi kikubwa cha alizeti inayozali
- Page 30 and 31: Msaada uliopo Changamoto/ Vihataris
- Page 32 and 33: • Uwekaji alama wa kiasili /duni
- Page 34 and 35: • Kiasi kikubwa cha gharama za uz
- Page 36 and 37: Mantiki ya uwekezaji huu Msaada uli
- Page 38 and 39: Mantiki ya uwekezaji huu Msaada uli
- Page 40 and 41: Msaada uliopo Changamoto/ Vihataris
- Page 44 and 45: na Kanuni, Sheria ya Ulindaji wa Mm
- Page 46 and 47: Kodi: Kodi zinazohusika katika mira
- Page 48 and 49: Ongezeka la Thamani (Import duty an
- Page 50 and 51: Motisha nyingine kwa ajili ya uweke
- Page 52: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofi
Sehemu ya nne:<br />
UWEZESHAJI, MICHAKATO,<br />
MAHITAJI NA MOTISHA<br />
4.1 Uwezeshaji<br />
Mkoa wa Simiyu na Serikali Kuu zinaboresha mazingira yanayofaa ili<br />
kushawishi na kuwezesha uwekezaji katika Mkoa wa Simiyu katika maeneo<br />
yaliyoonyeshwa katika sehemu ya tatu ya Mwongozo huu. Sera, sheria,<br />
mikakati, mipango na programu kuu za uwekezaji ambazo zinahamasisha<br />
uwekezaji katika wilaya zimeonyeshwa hapo chini.<br />
Mazingatio ya Sera, Sheria, Taasisi na Udhibiti:<br />
Sera Kuu:<br />
Sera zinazoongoza uhamasishaji uwekezaji katika Mkoa wa Simiyu<br />
zinajumuisha: Sera ya Taifa ya Uhamasishaji wa Uwekezaji, 1996, Sera<br />
ya Taifa ya Kilimo 2013, Sera ya Taifa ya Mifugo 2006, Sera ya Taifa ya<br />
Maendeleo Endelevu ya Viwanda (SIDP) 1996-2020, Sera ya Taifa ya<br />
Biashara kwa Uchumi wa Ushindani na Kuelekea Ukuaji wa Biashara ya<br />
Nje, Sera ya Taifa ya Shughuli Ndogo za Kifedha, 2015, Sera ya Taifa ya<br />
Misitu (1998), Sera ya Ufugaji wa Nyuki (1998), Sera ya Maendeleo ya<br />
Viwanda Vidogo na vya Kati (2003), Sera ya Taifa ya Ardhi (1995), rasimu<br />
ya Sera ya Taifa ya Mazingira 2016, Sera ya Madini ya Tanzania, (2009),<br />
Mwongozo wa Mwekezaji wa Tasnia ya Madini Tanzania, 2015, na Dira ya<br />
Mkoa wa Simiyu na sera za maendeleo.<br />
Mfumo wa kisheria:<br />
Sheria kuu na kanuni ambazo zinaongoza uhamasishaji wa uwekezaji na<br />
shughuli katika Mkoa wa Simiyu ni: Sheria ya uwekezaji Tanzania (1997),<br />
Sheria ya Mamlaka ya Mapato Tanzania 2006, Sheria ya Ardhi (1999),<br />
Sheria ya Ardhi ya Vijiji (1999), Sheria ya Madini (1998), Sheria ya Shirika<br />
la Viwango Tanzania (2009), Sheria ya Chakula na Dawa Tanzania (2003)<br />
<strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong> | 37