You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Msaada uliopo<br />
Changamoto/<br />
Vihatarishi<br />
na hatua za<br />
kukabiliana nazo<br />
Msaada imara wa kiufundi kutoka Bodi ya Utalii Tanzania, Mamlaka za Mikoa, na Wizara ya<br />
Maliasili na Utalii.<br />
• Usimamizi wa fedha;<br />
• Utaalamu wa kiufundi.<br />
3.3 Makundi yanayolengwa na Mwongozo huu<br />
Wanufaika wa moja kwa moja wanaolengwa na Mwongozo huu ni;<br />
• Wawekezaji, wamiliki wa biashara, wamiliki wa makampuni yanayoendesha<br />
mashamba makubwa ya mazao ya kilimo na makampuni ya uongezaji<br />
thamani ya mazao na masoko yanayokusudia kuwekeza katika maeneo<br />
ya viwanda na biashara yaliyotengwa katika mkoa wa Simiyu;<br />
• Wizara ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji;<br />
• Wadau mbalimbali katika mnyororo wa thamani, ikiwa ni pamoja na<br />
wajasiriamali binafsi, waingizaji na wasafirishaji nje wa pembejeo na<br />
mazao ya kilimo, wafugaji wa mifugo na wavuvi kwa ujumla. Asasi za<br />
viwanda/bodi za mazao na masoko.;<br />
• Wizara za serikali, wakala, Mamlaka za Serikali za Mitaa, EPZA, na mashirika<br />
ya umma (mf. yale yanayowajibika na kilimo, viwanda, biashara, fedha,<br />
na ushirikiano wa kimataifa);<br />
• Vyombo vingine vya sekta binafsi;<br />
• Wanataaluma/watafiti katika Ukanda wa Ziwa na nchini Tanzania;<br />
• Asasi za Ufadhili kama vile Baraza la Taifa la Biashara, TCCIA, mifuko ya<br />
pensheni inayowekeza katika kilimo na viwanda, na taasisi nyingine za<br />
misaada;<br />
• Taasisi zinazosimamia usimamizi wa ubora na masuala ya usimamizi wa<br />
usalama, kama vile TBS, TFDA n.k;<br />
• Asasi zinazotoa uwezo wa uzalishaji, habari na data, Ufuatiliaji na<br />
Tathmini (M&E), na huduma nyingine za kusaidia biashara, mashirika ya<br />
Kusaidia Viwanda (ISOs), Kitengo cha Maendeleo ya Utengenezaji wa<br />
Nguo, BRELA, TRA, FCC, NEEC, TANTRADE, n.k.;<br />
• Asasi za kijamii na asasi zisizo za kiserikali; na<br />
• Washirika wa Maendeleo, kama FAO, UNDP, Benki ya Dunia, UNCTAD,<br />
ITC, EU, UNIDO, TMEA, n.k.<br />
36 | <strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong>