24.03.2017 Views

MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOANI SIMIYU

mwongozo-simiyu

mwongozo-simiyu

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mantiki ya<br />

uwekezaji<br />

huu<br />

Msaada<br />

uliopo<br />

Changamoto/<br />

Vihatarishi<br />

na hatua za<br />

kukabiliana<br />

nazo<br />

• Uanzishaji wa uendeshaji wa utalii wa utamaduni katika maeneo ya utamaduni hai ya<br />

Hadzabe, Sukuma na mfuko wa Taturu huko Maswa, Wilaya za Meatu, Busega, Itilima na<br />

Bariadi Vijijini.<br />

• Uanzishaji wa ushughuli za kitalii;<br />

• Uendelezaji wa hifadhi za misitu huko Maswa.<br />

• Hifadhi ina wanyamapori mbalimbali kama vile simba, kiboko, nyati, pundamilia,<br />

mbwamwitu, mbawala, swalapala, twiga na nyani;<br />

• Utalii unaweza kuunda kwa urahisi maelfu ya kazi katika ngazi ndogo ya ujuzi iliyowekwa<br />

ndani ya mwelekeo wa sekta ya utalii, na sio moja kwa moja katika pande nyingine ikiwa<br />

ni pamoja na kilimo, uchakataji wa mazao ya kilimo, miundombinu na anga;<br />

• Uanuwai wa uoto na mimea;<br />

• Ukuzaji wa ziara za kitalii;<br />

• Tasnia ya ukarimu iliyodunishwa.<br />

• Msaada wa kiuendeshaji kutoka Bodi ya Utalii Tanzania, Bodi ya Leseni za Utalii;<br />

• Msaada wa sera kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii;<br />

• Msaada kutoka vyama vya utalii, mf. Chama cha Mahoteli Tanzania (Simu. +255 (0)22<br />

2602440 www.hat-tz.org / info@hat-tz.org), n.k.<br />

•· Mnamo mwaka 2011, Tanzania ilikuwa ya 110 kati ya nchi 139 katika sekta ya ushindani<br />

wa kiutalii, licha ya kushika nafasi ya pili duniani kwa majaaliwa ya rasilimali zetu;<br />

• Changamoto zinazoidhinisha utendaji zinajumuisha udhibiti uliozidi na mahitaji ya kifedha<br />

ambayo huufanya kuwa mgumu kwa uendeshaji wa nchi kushiriki katika soko;<br />

• Haja ya kuhamasisha maendeleo ya mtangamano wa soko la sekta ya utalii katika Mkoa<br />

wa Simiyu;<br />

• Haja ya kuunda biashara ya kirafiki zaidi ya sekta ya uwekezaji kwa kuanza na uhakiki wa<br />

sera na Sheria;<br />

• Kuongeza ushiriki wa mdau katika mzunguko wa thamani wa uongozi kuimarisha utendaji<br />

katika Mkoa wa Simiyu; na<br />

• Kuchapuza marekebisho ya kuimarisha ukuaji wa sekta ya utalii ili iweze kuwa miongoni<br />

mwa makusudio kumi ya juu barani Afrika.<br />

Hifadhi ya<br />

misitu<br />

32 | <strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong>

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!