Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Mantiki ya<br />
uwekezaji<br />
huu<br />
Msaada<br />
uliopo<br />
Changamoto/<br />
Vihatarishi<br />
na hatua za<br />
kukabiliana<br />
nazo<br />
• Uanzishaji wa uendeshaji wa utalii wa utamaduni katika maeneo ya utamaduni hai ya<br />
Hadzabe, Sukuma na mfuko wa Taturu huko Maswa, Wilaya za Meatu, Busega, Itilima na<br />
Bariadi Vijijini.<br />
• Uanzishaji wa ushughuli za kitalii;<br />
• Uendelezaji wa hifadhi za misitu huko Maswa.<br />
• Hifadhi ina wanyamapori mbalimbali kama vile simba, kiboko, nyati, pundamilia,<br />
mbwamwitu, mbawala, swalapala, twiga na nyani;<br />
• Utalii unaweza kuunda kwa urahisi maelfu ya kazi katika ngazi ndogo ya ujuzi iliyowekwa<br />
ndani ya mwelekeo wa sekta ya utalii, na sio moja kwa moja katika pande nyingine ikiwa<br />
ni pamoja na kilimo, uchakataji wa mazao ya kilimo, miundombinu na anga;<br />
• Uanuwai wa uoto na mimea;<br />
• Ukuzaji wa ziara za kitalii;<br />
• Tasnia ya ukarimu iliyodunishwa.<br />
• Msaada wa kiuendeshaji kutoka Bodi ya Utalii Tanzania, Bodi ya Leseni za Utalii;<br />
• Msaada wa sera kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii;<br />
• Msaada kutoka vyama vya utalii, mf. Chama cha Mahoteli Tanzania (Simu. +255 (0)22<br />
2602440 www.hat-tz.org / info@hat-tz.org), n.k.<br />
•· Mnamo mwaka 2011, Tanzania ilikuwa ya 110 kati ya nchi 139 katika sekta ya ushindani<br />
wa kiutalii, licha ya kushika nafasi ya pili duniani kwa majaaliwa ya rasilimali zetu;<br />
• Changamoto zinazoidhinisha utendaji zinajumuisha udhibiti uliozidi na mahitaji ya kifedha<br />
ambayo huufanya kuwa mgumu kwa uendeshaji wa nchi kushiriki katika soko;<br />
• Haja ya kuhamasisha maendeleo ya mtangamano wa soko la sekta ya utalii katika Mkoa<br />
wa Simiyu;<br />
• Haja ya kuunda biashara ya kirafiki zaidi ya sekta ya uwekezaji kwa kuanza na uhakiki wa<br />
sera na Sheria;<br />
• Kuongeza ushiriki wa mdau katika mzunguko wa thamani wa uongozi kuimarisha utendaji<br />
katika Mkoa wa Simiyu; na<br />
• Kuchapuza marekebisho ya kuimarisha ukuaji wa sekta ya utalii ili iweze kuwa miongoni<br />
mwa makusudio kumi ya juu barani Afrika.<br />
Hifadhi ya<br />
misitu<br />
32 | <strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong>