You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Mantiki ya<br />
uwekezaji<br />
huu<br />
Msaada<br />
uliopo<br />
Changamoto/<br />
Vihatarishi<br />
na hatua za<br />
kukabiliana<br />
nazo<br />
3. Kundi la Huduma za Jamii: Vituo vya Abiria na usafirishaji; vituo vya ustawi; vituo vya<br />
mafunzo; na maduka makubwa;<br />
4. Kundi la Uunganishaji: Uunganishaji, ufungashaji, na uongezaji thamani katika<br />
mashine, vifaa, na bidhaa nyingine za viwanda, mf. mashine na zana za viwandani,<br />
vifaa vya machinjio n.k.;<br />
5. Tasnia ya ukarimu (mahoteli, migahawa, burudani, utalii)<br />
6. Vituo vya Masoko: Ubadilishanaji wa Bidhaa za Kilimo huko Lamadi, masoko ya kisasa<br />
Bariadi na Maswa; na Kituo kimoja cha Soko/Mnada wa Mifugo huko Meatu;<br />
7. Mashamba ya Misitu na Matunda (mf., miombo, seda, mikalitusi ya kisasa, fito)<br />
kuhakikisha ubora wa hewa, mbao, mbao za vibanzi, tabaka la mbao, bamba la nyuzi,<br />
samani, boriti, ufugaji wa nyuki, na usalama wa lishe;<br />
8. Makundi ya teknolojia ya juu<br />
9. Uzalishaji wa nishati, biogesi, photovoltaic solar panels, uzalishaji wa makaa, kiwanda<br />
cha mvuke<br />
10. Vituo vya burudani;<br />
11. Ufungashaji na usambazaji;<br />
• Maendeleo endelevu yaliyofikiriwa vizuri, yaliyoundwa na kupangwa kwa pamoja kwa<br />
ajili ya maendeleo endelevu ya mkoa wa Simiyu;<br />
• Haja ya uwekezaji wa umma na binafsi katika upangaji wa miji na maendeleo ya<br />
miundombinu ya miji ili kuwa na miji iliyopangwa vizuri kwa kuzingatia sheria na<br />
kanuni;<br />
• Simiyu iko kimkakati kwa uwekezeja katika maeneo ya viwanda. Ina fikika kwa urahisi<br />
kutokea pande zote za biashara ya EAC na COMESA kwa njia ya ardhi na njia za majini;<br />
• Muunganiko mzuri katika bandari za Ziwa Victoria, Kiwanja cha ndege cha Mwanza.<br />
Reli ya Kati inatoa muunganiko katika bandari kuu ya Dar es Salaam na Uwanja<br />
wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, ambao unatoa hakikisho la usafirishaji<br />
wa bidhaa kwa anga na majini kutoka na kwenda katika masoko ya kimataifa. Reli<br />
kutoka Mwanza - Dar es Salaam na Barabara ya Tunduma na reli ya TAZARA inatoa<br />
muunganiko na Kusini mwa Tanzania na nchi za SADC;<br />
• Eneo la uwekezaji wa muda mrefu kwa miundombinu ya kiumbo na kiufundi.<br />
• Msaada mkubwa wa taifa na nchi za ukanda.<br />
• Serikali kuu ina mpango wa kujenga uwanja wa ndege huko Igegu, Bariadi<br />
• Upatikanaji wa fedha;<br />
• Changamoto za usafirishaji, nishati, huduma za umma, na rasilimali watu wenyeujuzi;<br />
• Ukosefu wa makundi ya viwanda yenye ufanisi kuimarisha ubora na uvumbuzi;<br />
• Msaada madhubuti, wa ubunifu, na endelevu wa serikali na sekta binafsi unahitajika;<br />
• Uratibu mbovu wa waendeshaji wa biashara katika mzunguko wa thamani unaweza<br />
kusababisha maendeleo ya mgawanyiko;<br />
• Haja ya awali ya kufanya upimaji wa ardhi wa kina kwa ajili ya kuweka mipaka ya ardhi<br />
na utaratibu wa mipango ya matumizi ya ardhi.<br />
30 | <strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong>