24.03.2017 Views

MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOANI SIMIYU

mwongozo-simiyu

mwongozo-simiyu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mantiki ya<br />

uwekezaji<br />

huu<br />

Msaada<br />

uliopo<br />

Changamoto/<br />

Vihatarishi<br />

na hatua za<br />

kukabiliana<br />

nazo<br />

3. Kundi la Huduma za Jamii: Vituo vya Abiria na usafirishaji; vituo vya ustawi; vituo vya<br />

mafunzo; na maduka makubwa;<br />

4. Kundi la Uunganishaji: Uunganishaji, ufungashaji, na uongezaji thamani katika<br />

mashine, vifaa, na bidhaa nyingine za viwanda, mf. mashine na zana za viwandani,<br />

vifaa vya machinjio n.k.;<br />

5. Tasnia ya ukarimu (mahoteli, migahawa, burudani, utalii)<br />

6. Vituo vya Masoko: Ubadilishanaji wa Bidhaa za Kilimo huko Lamadi, masoko ya kisasa<br />

Bariadi na Maswa; na Kituo kimoja cha Soko/Mnada wa Mifugo huko Meatu;<br />

7. Mashamba ya Misitu na Matunda (mf., miombo, seda, mikalitusi ya kisasa, fito)<br />

kuhakikisha ubora wa hewa, mbao, mbao za vibanzi, tabaka la mbao, bamba la nyuzi,<br />

samani, boriti, ufugaji wa nyuki, na usalama wa lishe;<br />

8. Makundi ya teknolojia ya juu<br />

9. Uzalishaji wa nishati, biogesi, photovoltaic solar panels, uzalishaji wa makaa, kiwanda<br />

cha mvuke<br />

10. Vituo vya burudani;<br />

11. Ufungashaji na usambazaji;<br />

• Maendeleo endelevu yaliyofikiriwa vizuri, yaliyoundwa na kupangwa kwa pamoja kwa<br />

ajili ya maendeleo endelevu ya mkoa wa Simiyu;<br />

• Haja ya uwekezaji wa umma na binafsi katika upangaji wa miji na maendeleo ya<br />

miundombinu ya miji ili kuwa na miji iliyopangwa vizuri kwa kuzingatia sheria na<br />

kanuni;<br />

• Simiyu iko kimkakati kwa uwekezeja katika maeneo ya viwanda. Ina fikika kwa urahisi<br />

kutokea pande zote za biashara ya EAC na COMESA kwa njia ya ardhi na njia za majini;<br />

• Muunganiko mzuri katika bandari za Ziwa Victoria, Kiwanja cha ndege cha Mwanza.<br />

Reli ya Kati inatoa muunganiko katika bandari kuu ya Dar es Salaam na Uwanja<br />

wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, ambao unatoa hakikisho la usafirishaji<br />

wa bidhaa kwa anga na majini kutoka na kwenda katika masoko ya kimataifa. Reli<br />

kutoka Mwanza - Dar es Salaam na Barabara ya Tunduma na reli ya TAZARA inatoa<br />

muunganiko na Kusini mwa Tanzania na nchi za SADC;<br />

• Eneo la uwekezaji wa muda mrefu kwa miundombinu ya kiumbo na kiufundi.<br />

• Msaada mkubwa wa taifa na nchi za ukanda.<br />

• Serikali kuu ina mpango wa kujenga uwanja wa ndege huko Igegu, Bariadi<br />

• Upatikanaji wa fedha;<br />

• Changamoto za usafirishaji, nishati, huduma za umma, na rasilimali watu wenyeujuzi;<br />

• Ukosefu wa makundi ya viwanda yenye ufanisi kuimarisha ubora na uvumbuzi;<br />

• Msaada madhubuti, wa ubunifu, na endelevu wa serikali na sekta binafsi unahitajika;<br />

• Uratibu mbovu wa waendeshaji wa biashara katika mzunguko wa thamani unaweza<br />

kusababisha maendeleo ya mgawanyiko;<br />

• Haja ya awali ya kufanya upimaji wa ardhi wa kina kwa ajili ya kuweka mipaka ya ardhi<br />

na utaratibu wa mipango ya matumizi ya ardhi.<br />

30 | <strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong>

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!