You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Changamoto/<br />
Vihatarishi<br />
na hatua za<br />
kukabiliana<br />
nazo<br />
• Hali ya misimu: Wakati mwingine kunaweza kusiwe na ngozi bora kwa ajili ya viwanda<br />
vya ngozi;<br />
• Ubora wa ngozi unaoathiriwa na viboko na uwekaji alama katika mifugo;<br />
• Kukosekana huduma za uhakika za kifedha<br />
• Ubora wa ngozi ya mifugo unaoathiriwa na uuzaji wa mifugo wakiwa wazee au<br />
wagonjwa (zaidi ya miaka 5);<br />
• Ushindani kutoka ngozi sanisi na bidhaa sanisi (synthetic leather).<br />
12. Viwanda vya bidhaa za maziwa<br />
Maelezo ya Fursa<br />
• Uanzishaji wa viwanda vya uchakataji maziwa na bidhaa za maziwa;<br />
• Kuwekeza katika uzao ili kupata ng’ombe chotara wenye mavuno mengi na<br />
Mambo Muhimu<br />
wanaohimili magonjwa;<br />
• Kuwekeza katika ranchi ndogo na ranchi kubwa;<br />
• Uanzishaji wa mashamba ya ng’ombe wanaolishwa nyumbani;<br />
• Maeneo ya uwekezaji: Maswa, Bariadi, Itilima.<br />
• Simiyu ina ng’ombe zaidi ya milioni 1.5;<br />
• Uzalishaji wa maziwa uko mikononi mwa wamiliki wadogo wadogo; wazalishaji<br />
wakubwa ni wachache;<br />
• Maziwa ni mengi kuanzia Novemba mpaka Aprili;<br />
• Masoko yapo ndani ya Wilaya na Halmashauri ya Mji wa Bariadi, Lamadi, Mwanza, na<br />
mahoteli;<br />
• Bei ndogo ya maziwa ya shambani, Sh. 400 kwa lita, wakati mtindi una gharama ya<br />
Mantiki ya<br />
zaidi ya Sh. 4,000/L (Bei ya maziwa ya Meatu);<br />
uwekezaji huu • Uchakataji maziwa unafanywa kienyeji katika ngazi za kaya na kijiji kwa kuhusisha<br />
vitengo vidogo vidogo vya uchakataji visivyosajiliwa;<br />
• Nyongeza ya thamani kuimarisha usalama wa chakula na lishe, kupunguza umaskini<br />
wa kipato, na kuboresha viwango vya maisha ya wafugaji;<br />
• Pengo kubwa upatikanaji wa bidhaa za maziwa zilizongezwa thamani katika soko la<br />
Simiyu;<br />
• Utamaduni na uwezo wa watu (pato la mtu Dola za Kimarekani 250) linaruhusu<br />
unywaji wa mara kwa mara wa maziwa.<br />
• Uwepo wa Mfuko wa Maendeleo ya Mifugo;<br />
Msaada uliopo • Msaada wa kisiasa wa mamlaka za wilaya na ugharimiaji wa Mipango ya Mandeleo<br />
Changamoto/<br />
Vihatarishi<br />
na hatua za<br />
kukabiliana nazo<br />
ya Wilaya.<br />
• Changamoto zaujazo (kiasi kisichofaa);<br />
• Changamoto za usafirishaji – vituo vya ukusanyaji mpaka katika mitambo ya<br />
uchakataji; ukosefu wa majokofu;<br />
• Uhaba wa maziwa msimu wa ukame Mei-Julai kwa sababu ya changamoto za maji<br />
na malisho;<br />
<strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong> | 27