24.03.2017 Views

MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOANI SIMIYU

mwongozo-simiyu

mwongozo-simiyu

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

• Uwekaji alama wa kiasili /duni (pamoja na upigaji viboko mifugo) kwenye ngozi ya<br />

wanyama unaathiri bidhaa za ngozi.<br />

Ng’ombe katika wilaya ya Meatu<br />

11. Viwanda vya uzalishaji bidhaa za ngozi<br />

Maelezo ya Fursa<br />

Mambo<br />

Muhimu<br />

Mantiki ya<br />

uwekezaji<br />

huu<br />

• Viwanda vya uzalishaji wa bidhaa bora za ngozi huko Meatu, Itilima, Bariadi na Maswa;<br />

• Uanzishaji wa pamoja wa uzalishaji wa bidhaa za ngozi (leather goods cluster).<br />

• Simiyu inatoa kiasi cha ngozi 40,000 za ng’ombe, mbuzi na kondoo;<br />

• Ngozi nyingi zinauzwa nje ya mkoa nje ya mkoa au kusafirshwa nje ya nchi, mf. kwenda<br />

Kenya, India, n.k.;<br />

• Ingawa kuna wajasiriamali wanazitumia ngozi ndani ya nchi, bado kiasi kikubwa cha<br />

ngozi kinapelekwa nje ya nchi;<br />

• Eneo muhimu kwa uzalishaji, uuzaji na usafirishaji nje wa mikoba, viatu, soli yenye ngozi,<br />

nguo, vikorokoro vya nguo za ngozi, na samani;<br />

• Uwezo mdogo wa kukamilisha mzunguko wa thamani wa ngozi za Simiyu na Tanzania;<br />

• Kutokana na kukua kwa daraja la kati (middle class) kuna umuhimu wa kuzalisha kwa<br />

ajili ya soko la walaji wa bidhaa kama vile mikoba, viatu, makoti, na samani;<br />

Msaada<br />

uliopo<br />

• Msaada wa serikali unaotoa mafunzo kwa wataalam wa ngozi mf. 2017 unatoa nafasi<br />

1,000 DIT Mwanza.<br />

26 | <strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong>

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!