Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
• Uwekaji alama wa kiasili /duni (pamoja na upigaji viboko mifugo) kwenye ngozi ya<br />
wanyama unaathiri bidhaa za ngozi.<br />
Ng’ombe katika wilaya ya Meatu<br />
11. Viwanda vya uzalishaji bidhaa za ngozi<br />
Maelezo ya Fursa<br />
Mambo<br />
Muhimu<br />
Mantiki ya<br />
uwekezaji<br />
huu<br />
• Viwanda vya uzalishaji wa bidhaa bora za ngozi huko Meatu, Itilima, Bariadi na Maswa;<br />
• Uanzishaji wa pamoja wa uzalishaji wa bidhaa za ngozi (leather goods cluster).<br />
• Simiyu inatoa kiasi cha ngozi 40,000 za ng’ombe, mbuzi na kondoo;<br />
• Ngozi nyingi zinauzwa nje ya mkoa nje ya mkoa au kusafirshwa nje ya nchi, mf. kwenda<br />
Kenya, India, n.k.;<br />
• Ingawa kuna wajasiriamali wanazitumia ngozi ndani ya nchi, bado kiasi kikubwa cha<br />
ngozi kinapelekwa nje ya nchi;<br />
• Eneo muhimu kwa uzalishaji, uuzaji na usafirishaji nje wa mikoba, viatu, soli yenye ngozi,<br />
nguo, vikorokoro vya nguo za ngozi, na samani;<br />
• Uwezo mdogo wa kukamilisha mzunguko wa thamani wa ngozi za Simiyu na Tanzania;<br />
• Kutokana na kukua kwa daraja la kati (middle class) kuna umuhimu wa kuzalisha kwa<br />
ajili ya soko la walaji wa bidhaa kama vile mikoba, viatu, makoti, na samani;<br />
Msaada<br />
uliopo<br />
• Msaada wa serikali unaotoa mafunzo kwa wataalam wa ngozi mf. 2017 unatoa nafasi<br />
1,000 DIT Mwanza.<br />
26 | <strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong>