24.03.2017 Views

MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOANI SIMIYU

mwongozo-simiyu

mwongozo-simiyu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Msaada<br />

uliopo<br />

Changamoto/<br />

Vihatarishi<br />

na hatua za<br />

kukabiliana<br />

nazo<br />

• Ng’ombe wengi wa kiasili aina ya Zebu waliopo Simiyu. Zaidi ya 90% ya ng’ombe<br />

wanafugwa na wafugaji wadogowadogo na wafugaji wakulima, ambao mara nyingi<br />

wanakabiliwa na tatizo la uzalishaji mdogo na mavuno kidogo;<br />

• Simiyu ina ikolojia inayofaa kwa kilimo, topografia, na ardhi ya malisho kwa ajili ya<br />

maendeleo ya ufugaji wa ng’ombe;<br />

• Umuhimu wa kuboresha kijenetiki za ng’ombe wa kiasili na kuwa na mifugo<br />

iliyoboreshwa kwa uzalishaji mkubwa;<br />

• Ongezeko la idadi ya watu, kukua kwa miji (urbanization) na kuongezeka kwa viwango<br />

vya mapato mkoani Simiyu vitaongeza mahitaji ya nyama katika miongo 2-3 ijayo;<br />

• Machinjio mengi yaliyopo yana eneo dogo, ambalo linaweza kumudu uchinjaji wa<br />

ng’ombe kati ya mmoja na kumi kwa siku. Machinjio yana maeneo yasiyoendelezwa<br />

yaliyotengenezwa kwa ulingo wa saruji wenye paa la bati kwa ajili ya kivuli;<br />

• Kuna masoko kwa ajili ya nyama ya ng’ombe yenye ubora ya Tanzania ambayo inakidhi<br />

viwango vya masoko ya ndani, kikanda, na ya nje mf. katika nchi za Jumuiya ya Afrika<br />

Mashariki, Mashariki ya Kati, n.k.;<br />

• Ongezeko la sasa la usambazaji wa mifugo nchini Tanzania (4-5%) linaweza lisifikie<br />

mahitaji ya baadaye hivyo uwekezaji mkubwa unahitajika mkoani Simiyu kutoa ujuzi wa<br />

kiufundi na mtaji wa kuendesha ranchi, sehemu za malisho, machinjio, vichakata nyama<br />

na uchunaji ngozi kulingana na ASDP II;<br />

• Huduma za hali ya chini za msaada wa kiufundi na miundombinu ya masoko inatoa fursa<br />

nyingi za uwekezaji.<br />

• Simiyu imetambuliwa kitaifa katika ASDP II kwa ajili ya maendeleo ya viwanda vya<br />

nyama ya ng’ombe katika utaratibu mpya wa “Mkoa Mmoja Bidhaa Moja”;<br />

• Mamlaka za serikali zinazohamasisha Ushirikiano wa Sekta Binafsi na za Umma ili<br />

kuboresha mifumo ya usimamiaji na masoko ya ng’ombe;<br />

• Uwepo wa Mfuko wa Maendeleo ya Mifugo;<br />

• Uwepo wa Taasisi ya Taifa ya Mifugo huko Mpwapwa;<br />

• Serikali ya Tanzania inarekebisha uingizaji nchini usio wa haki wa bei ya nyama na<br />

bidhaa za nyama bandia;<br />

• Serikali kuu inasaidia na kuhamasisha utafiti katika teknolojia ya nyama kuendana na<br />

mahitaji yanayoibuka;<br />

• Mikopo inayofaa kutoka Benki ya Uwekezaji Tanzania (TIB), EADB, AfDB, n.k.<br />

• Baadhi ya watu wana zaidi ya ng’ombe 2000 ambao hawalishwi/ hawatunzwi<br />

ipasavyo;<br />

• Wananchi wengi wana ardhi kubwa (Hekta 20-100) lakini hawatengi maeneo kwa ajili<br />

ya mashamba/ malisho, matokeo yake wamekuwa wakihamahama kutafuta malisho<br />

hata mikoa ya mbali, wakati mwingine kusababisha migogoro ya ardhi, uharibifu wa<br />

udongo na viumbe anuwai, na kuingia kinyume cha sheria katika hifadhi za wanyama;<br />

• Ng’ombe wa wastani ana uzito wa chini wa kg 200, jambo ambalo linafanya wafugaji<br />

wapate bei ya chini ya Sh. 200, 000 mpaka sh. 300,000. Ng’ombe aliyelishwa vizuri<br />

anauzwa Sh. 700,000 mpaka Milioni 1 mnadani;<br />

24 | <strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong>

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!