24.03.2017 Views

MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOANI SIMIYU

mwongozo-simiyu

mwongozo-simiyu

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Kiasi kikubwa cha alizeti inayozalishwa kinaongezewa thamani nje ya mkoa<br />

na au nje ya nchi kwa sababu ya ukosefu wa viwanda vya kuchakata zao<br />

hilo. Wakulima Mkoani Simiyu hivi sasa wanatambua umuhimu wa kuzalisha<br />

alizeti na wanaongeza uzalishaji.<br />

8. Huduma za tiba ya mifugo<br />

Mambo Muhimu<br />

Mantiki ya<br />

uwekezaji huu<br />

Msaada uliopo<br />

Shamba la Alizeti<br />

Maelezo ya Fursa<br />

• Uwekezaji katika huduma za tiba ya mifugo – hasa kliniki za tiba ya mifugo kwa ajili<br />

ya uchunguzi wa wanyama, tiba na chanjo;<br />

• Kuanzisha huduma za uongeshaji katika majosho na tiba ya mifugo;<br />

• Utengenezaji wa chanjo mbalimbali za mifugo Bariadi<br />

• Uwepo wa eneo la uwekezaji Meatu, Maswa, Bariadi, Itilima, Busega.<br />

• Simiyu ina ng’ombe zaidi ya milioni 1.5;<br />

• Haja kubwa ya usambazaji wa dawa na chanjo mbalimbali (Contagious Bovine Pleural<br />

(CBPP, Pneumonia), (FMD), Black Quarter (BQ), Newcastle disease, Anthrax, Blackquarter,<br />

Tick Borne diseases, and Brucellosis;<br />

• Haja ya maabara ya mifugo kwa ajili ya udhibiti wa magonjwa na usimamizi bora na<br />

salama wa bidhaa za mifugo.<br />

• Msaada wa kitaifa na wa serikali ya mtaa wa kiufundi, upanuzi, na kwa kiasi fulani wa<br />

kifedha;<br />

• Kuendana na Dira ya Taifa 2025, Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Miaka Mitano<br />

(FYDP II), Mkakati wa Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP II)<br />

22 | <strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong>

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!