Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Kiasi kikubwa cha alizeti inayozalishwa kinaongezewa thamani nje ya mkoa<br />
na au nje ya nchi kwa sababu ya ukosefu wa viwanda vya kuchakata zao<br />
hilo. Wakulima Mkoani Simiyu hivi sasa wanatambua umuhimu wa kuzalisha<br />
alizeti na wanaongeza uzalishaji.<br />
8. Huduma za tiba ya mifugo<br />
Mambo Muhimu<br />
Mantiki ya<br />
uwekezaji huu<br />
Msaada uliopo<br />
Shamba la Alizeti<br />
Maelezo ya Fursa<br />
• Uwekezaji katika huduma za tiba ya mifugo – hasa kliniki za tiba ya mifugo kwa ajili<br />
ya uchunguzi wa wanyama, tiba na chanjo;<br />
• Kuanzisha huduma za uongeshaji katika majosho na tiba ya mifugo;<br />
• Utengenezaji wa chanjo mbalimbali za mifugo Bariadi<br />
• Uwepo wa eneo la uwekezaji Meatu, Maswa, Bariadi, Itilima, Busega.<br />
• Simiyu ina ng’ombe zaidi ya milioni 1.5;<br />
• Haja kubwa ya usambazaji wa dawa na chanjo mbalimbali (Contagious Bovine Pleural<br />
(CBPP, Pneumonia), (FMD), Black Quarter (BQ), Newcastle disease, Anthrax, Blackquarter,<br />
Tick Borne diseases, and Brucellosis;<br />
• Haja ya maabara ya mifugo kwa ajili ya udhibiti wa magonjwa na usimamizi bora na<br />
salama wa bidhaa za mifugo.<br />
• Msaada wa kitaifa na wa serikali ya mtaa wa kiufundi, upanuzi, na kwa kiasi fulani wa<br />
kifedha;<br />
• Kuendana na Dira ya Taifa 2025, Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Miaka Mitano<br />
(FYDP II), Mkakati wa Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP II)<br />
22 | <strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong>