24.03.2017 Views

MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOANI SIMIYU

mwongozo-simiyu

mwongozo-simiyu

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

6. Vituo vya Mafunzo: Kituo kimoja cha mafunzo ya kilimo na<br />

mifugo Busega, na kituo kimoja cha mafunzo ya teknolojia ya<br />

viwanda Bariadi na Itilima, na Taasisi ya Mafunzo ya Afya Itilima<br />

Mambo Muhimu<br />

Mantiki ya<br />

uwekezaji huu<br />

Msaada uliopo<br />

Changamoto/<br />

Vihatarishi<br />

na hatua za<br />

kukabiliana nazo<br />

Maelezo ya Fursa<br />

1. Uanzishaji wa shule maalum za sayansi za Sekondari za kidato cha kwanza hadi<br />

kidato cha sita katika wilaya zote, na matawi ya Taasisi za Teknolojia na Vyuo Vikuu vya<br />

Uhandisi katika wilaya zote<br />

2. Uanzishaji wa kituo kimoja cha mafunzo ya kilimo na mifugo chenye uwezo wa kuchukua<br />

wanafunzi 200 Busega<br />

3. Uwekezaji katika Taasisi ya Mafunzo ya Afya Itilima,<br />

4. Vyuo vya Mafunzo ya ualimu Zanzui na katika Halmashauri ya Itilima<br />

5. Matawi ya Taasisi za Teknolojia na Vyuo Vikuu vya Uhandisi kwa ajili ya kupata vipaji na<br />

ujuzi wa hali ya juu huko Bariadi, Maswa, na Meatu.<br />

• Rasilimali watu kuwa kitu muhimu katika maendeleo ya kilimo na viwanda mkoani Simiyu<br />

• Uhaba wa nguvu kazi iliyo na utaalamu inaweza kukwamisha uwekezaji unohitaji<br />

maarifa muhimu mkoani Simiyu<br />

• Zaidi ya wanafunzi 3,000 wa kidato cha nne na 1,000 wa ngazi ya kidato cha sita wapo<br />

katika shule zilizomo mkoani Simiyu;<br />

• Uanzishaji wa mfumo wa elimu bure katika shule za msingi kuanzia Januari 2017<br />

kutaongeza mahitaji ya mafunzo ya ufundi stadi katika muongo ujao;<br />

•· Maendeleo na kukua kwa technolojia na haja ya kuwa na rasilimali watu iliyo elimika na<br />

yenye ujuzi wa biashara na ufundi wa hali ya juu unaongeza haja ya kuwa na vyuo vya<br />

kuto mafunzo mkoani Simiyu<br />

• Kiwango cha ongezeko la idadi kubwa ya watu cha 2.8 % huko Simiyu kinaongeza haja<br />

ya kuwa na vyuo vya kujengea uwezo wananchi.<br />

• Uwepo wa msaada wa uboreshaji wa elimu toka mamlaka za mikoa na wilaya;<br />

• Msaada wa washirika wa maendeleo;<br />

•· Viwanda vinaweza kuwasaidia wafanyakazi wao kuongeza ujuzi.<br />

• Uwezo mdogo wa kulipia kozi za gharama kubwa;<br />

• Michakato ya ukuzaji wa mitaala, usajili na utambuzi rasmi kuchukua muda mrefu;<br />

• Kulinda viwango endelevu.<br />

7. Viwanda vya uzalishaji na usafishaji wa mafuta ya mimea<br />

Maelezo ya Fursa<br />

Mambo<br />

Muhimu<br />

• Kuanzisha viwanda vya uzalishaji wa mafuta ya mimea na usafishaji Bariadi Vijijini na<br />

Itilima kutokana na mbegu za mafuta ya alizeti na pamba;<br />

• Uzalishaji wa dizeli itokanayo na mimea/viumbe (bio diesel) kutokana na mafuta ya<br />

mbegu za pamba.<br />

20 | <strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong>

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!