Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
6. Vituo vya Mafunzo: Kituo kimoja cha mafunzo ya kilimo na<br />
mifugo Busega, na kituo kimoja cha mafunzo ya teknolojia ya<br />
viwanda Bariadi na Itilima, na Taasisi ya Mafunzo ya Afya Itilima<br />
Mambo Muhimu<br />
Mantiki ya<br />
uwekezaji huu<br />
Msaada uliopo<br />
Changamoto/<br />
Vihatarishi<br />
na hatua za<br />
kukabiliana nazo<br />
Maelezo ya Fursa<br />
1. Uanzishaji wa shule maalum za sayansi za Sekondari za kidato cha kwanza hadi<br />
kidato cha sita katika wilaya zote, na matawi ya Taasisi za Teknolojia na Vyuo Vikuu vya<br />
Uhandisi katika wilaya zote<br />
2. Uanzishaji wa kituo kimoja cha mafunzo ya kilimo na mifugo chenye uwezo wa kuchukua<br />
wanafunzi 200 Busega<br />
3. Uwekezaji katika Taasisi ya Mafunzo ya Afya Itilima,<br />
4. Vyuo vya Mafunzo ya ualimu Zanzui na katika Halmashauri ya Itilima<br />
5. Matawi ya Taasisi za Teknolojia na Vyuo Vikuu vya Uhandisi kwa ajili ya kupata vipaji na<br />
ujuzi wa hali ya juu huko Bariadi, Maswa, na Meatu.<br />
• Rasilimali watu kuwa kitu muhimu katika maendeleo ya kilimo na viwanda mkoani Simiyu<br />
• Uhaba wa nguvu kazi iliyo na utaalamu inaweza kukwamisha uwekezaji unohitaji<br />
maarifa muhimu mkoani Simiyu<br />
• Zaidi ya wanafunzi 3,000 wa kidato cha nne na 1,000 wa ngazi ya kidato cha sita wapo<br />
katika shule zilizomo mkoani Simiyu;<br />
• Uanzishaji wa mfumo wa elimu bure katika shule za msingi kuanzia Januari 2017<br />
kutaongeza mahitaji ya mafunzo ya ufundi stadi katika muongo ujao;<br />
•· Maendeleo na kukua kwa technolojia na haja ya kuwa na rasilimali watu iliyo elimika na<br />
yenye ujuzi wa biashara na ufundi wa hali ya juu unaongeza haja ya kuwa na vyuo vya<br />
kuto mafunzo mkoani Simiyu<br />
• Kiwango cha ongezeko la idadi kubwa ya watu cha 2.8 % huko Simiyu kinaongeza haja<br />
ya kuwa na vyuo vya kujengea uwezo wananchi.<br />
• Uwepo wa msaada wa uboreshaji wa elimu toka mamlaka za mikoa na wilaya;<br />
• Msaada wa washirika wa maendeleo;<br />
•· Viwanda vinaweza kuwasaidia wafanyakazi wao kuongeza ujuzi.<br />
• Uwezo mdogo wa kulipia kozi za gharama kubwa;<br />
• Michakato ya ukuzaji wa mitaala, usajili na utambuzi rasmi kuchukua muda mrefu;<br />
• Kulinda viwango endelevu.<br />
7. Viwanda vya uzalishaji na usafishaji wa mafuta ya mimea<br />
Maelezo ya Fursa<br />
Mambo<br />
Muhimu<br />
• Kuanzisha viwanda vya uzalishaji wa mafuta ya mimea na usafishaji Bariadi Vijijini na<br />
Itilima kutokana na mbegu za mafuta ya alizeti na pamba;<br />
• Uzalishaji wa dizeli itokanayo na mimea/viumbe (bio diesel) kutokana na mafuta ya<br />
mbegu za pamba.<br />
20 | <strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong>