Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Sh. 800 na 1,200, lakini dengu ni Sh. 2,200 kwa kg);<br />
• Hakuna vifaa vya kushughulikia uchafu;<br />
5. Viwanda vya kukoboa, kusaga na kufungasha mchele na unga<br />
wa mahindi<br />
Mambo<br />
Muhimu<br />
Mantiki ya<br />
uwekezaji<br />
huu<br />
Msaada<br />
uliopo<br />
Changamoto/<br />
Vihatarishi<br />
na hatua za<br />
kukabiliana<br />
nazo<br />
Maelezo ya Fursa<br />
Uanzishaji wa viwanda vya uchakataji na ufungashaji wa mchele na unga wa mahindi huko<br />
Lamadi, Bariadi, Itilima, na Maswa.<br />
• Kiasi cha uzalishaji wa mpunga na mahindi kinacho endelea kuongezeka;<br />
• Kuongezeka kwa mahitaji ya bidhaa zilizochakatwa ambazo zimeimarishwa;<br />
• Bei ndogo ya mazao wakati wa msimu wa uvunaji;<br />
• Kushika masoko ya ndani na ya nje yenye mahitaji makubwa, hasa katika nchi jirani;<br />
• Mahitaji makubwa ya bidhaa za mchele na mahindi katika nchi jirani.<br />
• Msaada mkubwa kutoka PO-RALG, MALF, MITI, na mamlaka za wilaya;<br />
• Kuwepo kwa wanunuzi na walaji kwani watu wanaongezeka mkoani Simiyu kwa zaidi<br />
ya 2.8 % kwa mwaka;<br />
• Ruzuku ya pembejeo inayotolewa na serikali kuu;<br />
• Msaada kutoka katika vyama vya wakulima mf. Baraza la Mpunga Tanzania;<br />
• Msaada wa kiufundi na kifedha kutoka ASDP II;<br />
• Msaada kutoka kwa washirika wa maendeleo na watendaji wasio wa serikali.<br />
• Changamoto za hasara baada ya kuvuna, takriban 20-30%;<br />
• Ubora wa ufungashaji na kuweka katika maghala kwa muda mrefu;<br />
• Miundombinu ya hali ya chini ya mzunguko wa usambazaji;<br />
• Uingiliaji wa makusudi wa kisiasa.<br />
Mpunga na Mahindi<br />
<strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong> | 19