You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Msaada<br />
unaoweza<br />
kupatikana<br />
Changamoto/<br />
Vihatarishi<br />
na hatua za<br />
kukabiliana<br />
nazo<br />
• Utayari wa Serikali kuandaa mipango ya matumizi ya ardhi, mpango kabambe wa<br />
umwagiliaji, utaratibu wa haki ya matumizi ya maji, kushughulikia vikwazo vinavyoweza<br />
kujitokeza, n.k;<br />
• Upatikanaji wa masoko: mkoani, nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki, COMESA, na<br />
SADC;<br />
• Motisha za kuvutia, kama zinavyotolewa na Kituo cha Uwekezaji cha Tanzania,<br />
Mwongozo wa Kituo cha Uwekezaji cha Tanzania 2014;<br />
• Msaada unaoweza kupatikana wa kiufundi, kujenga uwezo, mambo yanayohusu uingizaji<br />
na utoaji na msaada mwengine wa rasilimali kutoka katika Mipango ya Maendeleo ya<br />
Wilaya na Mpango wa Maendeleo ya Sekta ya Kilimo II (ASDP 2017-2021), na kasma za<br />
bajeti za kisekta;<br />
• Mafunzo, teknolojia, biashara, mambo yanayohusu uingizaji na utoaji, na taasisi za fedha<br />
zinazosaidia maendeleo ya kilimo cha umwagiliaji kama vile Benki ya Dunia, AfDB, EADB,<br />
Kilimo Trust, EU, JICA, KOICA, SNV, BMGF, CSO, vyama visivyokuwa vya Kiserikali vya hapa<br />
nchini na vya nchi za nje, n.k;<br />
• Shauku ya umma inayozidi kukua; vipaumbele vya Sera ya Taifa kama vile Dira ya Taifa<br />
2025 na Mpango wa Pili wa Maendeleo ya Miaka Mitano<br />
• Mkataba wa Maji ya Mto Nile wa 1929 ambao unaizuia Tanzania kuyatumia maji ya Mto<br />
Nile kwa madhumuni ya kilimo cha umwagiliaji inabidi ufanyiwe marekebisho;<br />
• Uwezekano wa kuwepo kwa changamoto za utunzaji za muda mrefu miongoni mwa<br />
watumiaji wa mwisho;<br />
• Zinahitajika juhudi kubwa za kujenga uwezo;<br />
• Uelewa mkubwa na miradi yenye kujali mitaji na shughuli zake;<br />
• Msaada wa kiufundi na kifedha kutoka nje, mafunzo na utendaji ulio bora kabisa kutoka<br />
kwa wale walio bora kabisa darasani na maarifa ya asili yaliyoboreshwa yanahitaji<br />
yatumiwe<br />
3. Uzalishaji wa pamba yenye ubora wa hali ya juu<br />
Muhtasari wa Fursa<br />
Mambo<br />
Muhimu<br />
Uzalishaji endelevu wa pamba yenye ubora wa hali ya juu Meatu na wilaya nyingine<br />
kulingana na viwango na mahitaji ya watumiaji/wanunuzi, Taratibu za Udhibiti za Bodi ya<br />
Pamba ya Tanzania, viwango vya ubora wa mazao kwenye shamba la wazi la hekta 50,000 -<br />
80,000 lenye mazingira ya kumwagiliwa.<br />
1. Uwekezaji kwenye mashamba makubwa na ya wastani ya kuzalisha pamba huko<br />
Maswa na Meatu, ambako wakulima tayari wamekuwa wakiendesha kilimo cha<br />
kutumia samadi na wana ujuzi kamili wa kuendesha kilimo cha kutumia samadi.<br />
2. Uwekezaji katika mashamba ya pamba madogo na ya wastani huko Bariadi na Itilima,<br />
maeneo yenye udongo mwingi mweusi ambao ni mzuri kwa kilimo cha pamba lakini<br />
yanazalisha > katika ekari / 1,000, na uzi wa pamba wenye urefu wa > mm 28.7;<br />
<strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong> | 13