24.03.2017 Views

MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOANI SIMIYU

mwongozo-simiyu

mwongozo-simiyu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Lagangabilili na Lugulu, 15km x 15km Itilima; na eneo la kutengeneza<br />

bidhaa za kusafirisha nje hapo Malampaka (Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Maswa).<br />

16. Ujenzi wa nyumba zenye ubora na za bei nafuu katika makao makuu<br />

ya wilaya zote, maduka makubwa, kumbi za mikutano na ofisi kwa ajili<br />

ya kukodisha.<br />

17. Utalii: Kuanzisha maeneo ya wanyama pori, ranchi za wanyama pori,<br />

vitalu vya mawindo, maeneo ya kupiga kambi na hoteli katika Hifadhi<br />

ya Wanyama Pori ya Maswa, kwa ajili ya kuona wanyama, kupiga<br />

picha, matembezi, utalii wa kimazingira na utalii wa kiutamaduni<br />

katika wilaya za Meatu na Maswa.<br />

18. Ujenzi wa gati na kituo cha burudani cha Nyamikoma, usafiri wa<br />

majini, kuangalia ndege wanaoishi kwenye maji, kupiga mbizi ndani<br />

ya maji ya kina kirefu, michezo ya kuvua samaki na ujenzi wa kituo<br />

cha michezo ya ndani ya maji wilaya ya Busega.<br />

19. Ufugaji wa samaki kwa kutumia vizimba na matanki (RAS) katika wilaya<br />

za Busega na Bariadi kukidhi mahitaji yanayotokana na ongezeko<br />

la idadi ya watu; kupunguza uharibifu wa mazingira ya Ziwa Victoria<br />

kutokana na uvuvi haramu, kuongeza uzalishaji wa samaki kwa ajili ya<br />

masoko ya ndani na nje;<br />

20. Ujenzi wa masoko ya kisasa, yenye huduma za minada ili kujenga<br />

mazingira mazuri na nafasi ya kutosha kwa ajili ya biashara; huduma<br />

za kifedha na za kibiashara; maeneo makubwa ya karakana na<br />

maegesho ya magari na; (~200 malori), maghala ikiwa ni pamoja<br />

maghala yenye ubaridi;<br />

21. Upandaji miti kwenye wilaya zote, miti ya asili na ya kisasa inayokua<br />

kwaharaka.<br />

22. Hoteli (nyota 2-3) huko Bariadi, Maswa, Lamadi na Meatu, na hoteli<br />

za nyota 4 kwenye hifadhi za wanyama pori ya Maswa na Lamadi -<br />

Busega. (karibu na Serengeti).<br />

23. Hospitali na Kliniki za utaalamu maalum katika kila Wilaya.<br />

24. Ujenzi na uboreshaji wa maeneo ya michezo pamoja na huduma za<br />

michezo (viwanja vya kuchezea, vyuo vya michezo, maduka ya vifaa<br />

vya michezo) ili kuendeleza michezo na ustawi wa watu wa Simiyu.<br />

10 | <strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong>

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!