24.03.2017 Views

MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOANI SIMIYU

mwongozo-simiyu

mwongozo-simiyu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

uzalishaji wake wa ndani wa Jumla. Serikali ya Mkoa na mamlaka za Wilaya<br />

ziko tayari na zimejitolea kutoa huduma mbalimbali za ziada za msaada na<br />

motisha kwa wawekezaji ili kusukuma maendeleo ya viwanda na ukuwaji<br />

wa uchumi kwa vipindi vya muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu.<br />

Fursa kuu za uwekezaji wa kimkakati katika Mkoa wa Simiyu kwa<br />

vipaumbele ni:<br />

1. Ujenzi wa malambo ya kina kifupi, malambo ya juujuu, ujenzi wa<br />

mfumo wa kuvuna maji ya mvua na uchimbaji wa visima virefu<br />

vyenye uwezo wa kusambaza mita za ujazo milioni 150-160 za maji<br />

kwa kila wilaya kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji na matumizi ya<br />

viwandani (Angalizo: ijapokuwa bomba la maji la kutoka Ziwa Victoria<br />

kwa kupitia kwenye matanki ya maji yaliyojengwa juu ya Kilima cha<br />

Ngasamo hadi wilayani limedhamiriwa kuwa kwa jili ya usambazaji<br />

wa maji majumbani lakini usambazaji utakuwa ni km 12 tu kutoka<br />

kwenye bomba kuu na asilimia 40 - 50% ya vijiji ndiyo watakaoweza<br />

kuyafikia maji hayo).<br />

2. Mabwawa ya kuhifadhi maji na Mipango ya Kilimo cha Kumwagilia<br />

chenye kunusuru maji kwa ajili ya uzalishaji wa mpunga, mazao ya<br />

mbogamboga, mahindi na pamba katika wilaya za Busega na Bariadi.<br />

Kuongeza uzalisha wa kilimo cha umwagiliaji kwa kutumia mitambo<br />

na kuhakikisha uzingatiaji wa hali ya hewa.<br />

3. Kuanzisha mashamba ya kilimo cha kibiashara ya mtu mmoja mmoja<br />

au vikundi kwa ajili ya uzalishaji wa pamba yenye ubora wa hali ya<br />

juu yatakayoweza kuzalisha tani 700,000 - 800,000 za pamba yenye<br />

mbegu kwa ajili ya uzalishaji wa ndani wa vitambaa, bidhaa za afya<br />

ya viumbe hai na usafi, bidhaa za matumizi ya shule, vifaa kwa ajili ya<br />

biashara ya kukaribisha wageni, na kwa kusafirisha nchi za nje ifikapo<br />

mwaka 2040.<br />

4. Viwanda viwili vya kisasa vya kuchambulia pamba kimoja Meatu na<br />

kingine Maswa, na kiwanda cha kutengeneza vitambaa Meatu na/au<br />

Maswa.<br />

5. Viwanda vya kusaga/kukoboa na kufungasha mchele, mahindi, dengu,<br />

choroko na mbaazi; Lamadi, Bariadi, na Maswa.<br />

8 | <strong>MWONGOZO</strong> <strong>WA</strong> <strong>UWEKEZAJI</strong> <strong>MKOANI</strong> <strong>SIMIYU</strong>

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!