18.01.2013 Views

TPCC Annual Report 2008.indd - HeidelbergCement

TPCC Annual Report 2008.indd - HeidelbergCement

TPCC Annual Report 2008.indd - HeidelbergCement

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Tanzania Portland Cement Company Ltd, <strong>Annual</strong> <strong>Report</strong> 2008<br />

Taarifa ya Wakurugenzi kwa Mwaka ulioishia<br />

31 Desemba 2008<br />

Wakurugenzi wanayo furaha kuwasilisha taarifa yao pamoja na hesabu zilizokaguliwa kwa mwaka ulioishia 31 Desemba<br />

2008.<br />

Shughuli kuu<br />

Shughuli kuu ya Kampuni ni uzalishaji, usambazaji na uuzaji wa saruji.<br />

Wajibu wa Wakurugenzi<br />

Kwa mujibu wa Sheria ya Makampuni Na.12 ya mwaka 2002, ni wajibu wa wakurugenzi kuandaa hesabu za Kampuni<br />

kila mwaka zenye kutoa hali halisi ya Kampuni kifedha mwishoni mwa kila kipindi.<br />

Wakurugenzi wanathibitisha kwamba katika kutayarisha hesabu ambazo zinaonyesha hali halisi ya Kampuni kila wakati,<br />

wametumia sera na kanuni za kiuhasibu zinazohakikisha kuwa hesabu zinakidhi matakwa ya viwango vya kimataifa vya<br />

utayarishaji hesabu na taarifa za fedha. Hesabu zimeandaliwa kwa kuzingatia kuwa Kampuni itaendelea kufanya shughuli<br />

zake kwa muda mrefu ujao.<br />

Wakurugenzi wanawajibika kutunza vitabu na nyaraka za kiuhasibu zenye kuonyesha hali halisi na sahihi ya Kampuni<br />

na kuhakikisha kuwa hesabu zinazotayarishwa zinaendana na matakwa ya Sheria ya Makampuni Na.12 ya mwaka 2002.<br />

Wanawajibika pia kuhakikisha kwamba mali zote za Kampuni ziko katika hali ya usalama na kuweka mifumo ya udhibiti<br />

wa shughuli za Kampuni inayofanya kazi ya kuzuia au kugundua wizi, ufujaji au makosa kuwa rahisi.<br />

Wakurugenzi<br />

Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wakati huu ambao wamekuwa wajumbe katika kipindi chote cha mwaka 2008 ni<br />

hawa:<br />

Bw. Jean-Marc Junon Mfaransa Mwenyekiti<br />

Bw. Klaus Hvassing Mnorwei Mjumbe<br />

Bw. William Mlaki Mtanzania Mjumbe<br />

Bw. George Fumbuka Mtanzania Mjumbe<br />

Bw. Daniel Gauthier Mbeljiji Mjumbe<br />

Bw. Arne J. Selen Mnorwei Mjumbe mbadala wa Daniel Gauthier<br />

Bw. Ola Schippert Mswedi Mjumbe<br />

Wajumbe wote wa Bodi siyo watendaji katika Kampuni, isipokuwa Bw. Klaus Hvassing ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji.<br />

Wakurugenzi Wanahisa<br />

Bw. William Mlaki ana hisa 49,927 katika Kampuni<br />

22

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!