18.01.2013 Views

TPCC Annual Report 2008.indd - HeidelbergCement

TPCC Annual Report 2008.indd - HeidelbergCement

TPCC Annual Report 2008.indd - HeidelbergCement

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Tanzania Portland Cement Company Ltd, <strong>Annual</strong> <strong>Report</strong> 2008<br />

Bodi ya Wakurugenzi<br />

Bw. Jean-Marc Junon, Mfaransa<br />

(Digrii ya kwanza ya Sayansi katika Uhandisi Ujenzi)<br />

Bw. Jean-Marc Junon ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni kuanzia Aprili 2005. Alipata mafunzo yake<br />

ya uzalishaji katika tasnia ya nyuklia huko Ufaransa, ambapo alifanya kazi kwa miaka mitano akapanda cheo hadi kufikia<br />

ngazi ya Meneja wa Eneo la Ujenzi “Site Manager”. Alijiunga na tasnia ya saruji mnamo mwaka 1987 karna Meneja<br />

Msaidizi wa Kiwanda katika kampuni ya Italcementi Group, akafanya kazi na Kampuni hiyo kwa miaka 14 katika nyadhi-<br />

fa kubwa mbalimbali, kusimamia majukumu ya watendaji katika uzalishaji, mipongo mkakatia ya kibiashaara na maen-<br />

deleo. Alipanda ngazi hadi kufikia cheo cha Meneja Maendeleo ya Biashara kanda y Asia Kusini Mashariki na China tabla<br />

ya kuacha kazi Italcementi mwishoni mwa mwaka 2000. Alijiunga na kundi la makampuni la <strong>HeidelbergCement</strong> Group<br />

mwaka 2001 kama Afisa Mkuu Uendeshaji katika China. Sasa hivi ni Afisa Mkuu Uendeshaji wa <strong>HeidelbergCement</strong><br />

Africa. Bw. Junon ni mwenyekiti au mjumbe wa bodi mbalimbali za makampuni yaliyo chini ya kundi la makampuni la<br />

HeidelbergCemMiaka 25 ya uzoefu katika nyadhifa mbalimbali kwenye sekta ya saruent Group.<br />

Bw. Klaus Henrik Hvassing, Mnorwei<br />

(Digrii ya Uzamili ya Sayansi ya Biashara, Digrii ya kwanza ya Uhandisi Ujenzi)<br />

Bw. Klaus Hvassing aliteuliwa kuwa Mkurugenzi mkuu wa <strong>TPCC</strong> mnamo Desemba 2004, na Meneja wa eneo la Tanzania<br />

katika Kanda ya Afrika Mashariki, anayewajibika kwa Tanzania na huduma za mradi katika Afrika. Alijiunga na Heidel-<br />

bergCement mnamo 1994 kama Meneja wa Fedha wa kiwanda cha Norcem Kjøpsvik huko Norway. Aliteuliwa kuwa<br />

Meneja Kiwanda katika kiwanda hicho mnamo 1995 na, kuanzia 2001, Meneja Kiwanda wa Norcem Brevik. Mwishoni<br />

mwa mwaka huo aliteuliwa kuwa Makamu wa Rais Mwandamizi katika Scancem International ANS, anayewajibika kwa<br />

Masuala ya Kiufundi, Manunuzi, na majukumu ya nchi kwa Liberia na Sierra Leone. Akiwa mhitimu wa Shahada ya Uza-<br />

mili ya Sayansi katika Biashara na Shahada ya Kwanza ya Sayansi katika Uhandisi Ujenzi, Bw. Hvassing pia amefanya kazi<br />

katika Bodi za makampuni mengine yaliyoko chini ya <strong>HeidelbergCement</strong> Group.<br />

Bw. William Mlaki, Mtanzania<br />

(Shahada ya Uzamili ya Sayansi katika Uongozi wa Viwanda na Viwanda vya Kilimo) Bw. Mlaki ni Meneja Mkuu wa Benki<br />

ya Raslimali Tanzania (TIB). Ameshika nyadhifa mbalimbali katika TIB tangu 1972 (Afisa Mwandamizi, Mkurugenzi wa<br />

Preparation of big bags for delivery Maintenance of cooler tubes on one of the old kilns<br />

14

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!