Kijiwe Newsletter Sept

19.10.2021 Views

Toleo Na. 03KahawaSeptember 2021E-Newsletter"Eimu bado hatuna, hiyo COP26 umeisema hapa ndionimeisikia leo. Mje mara kwa mara mtupe eimu" - HadijaTIBA ni taasisi isiyo ya kiserikali wala kupata faida inayolengakubadilisha maisha ya wanawake,vijana na watoto,kwa kutumianjia shirikishi katika jamii kwa kutumia vyombo vyahabadi,technologia na sanaa.TIBA imejikita katika kuhakikisha inamuinua mwanamke na kuletausawa wa kijinsia,kutoa elimu na kufanya ushawishi katikamasuala ya afya ya uzazi kwa vijana, kungazia athari zinazoletwana mabadiliko ya tabia nchi na uharibifu wa mazingira,elimushirikishi kwa wasichana na watu wenye ulemavu.Kijiwe Cha Kahwa ni mradi unaolenga kuongeza ushirikishwaji wawanaume katika masuala ya jinsia na maendeleo ikiwemomabadiliko ya tabia ya nchi,afya ya uzazi kwa vijana,kuzuia ukatiliwa kijinsia,usawa wa kijinsia ,ushiriki wa wanawake katika masualaya ulianzi na amani. ambayo huathiri ustawi wa wanawake nawatoto, na wanaume wenyewe.Kupitia vijiwe vya kahawa, TIBA imekuwa ikifanya mijadala nawanaume pamoja na wanawake wachache ili kuibua changamoto nakuzitafutia ufumbuzi wa pamoja. Msimu huu wa pili wa Kijiwe ChaKahawa, kwa kipindi cha miaka miwili 2019 TIBA imefikia wanawake2750,wanaume 2852,na vimetengezza wanaume vinara wa jinsia 55katika midahalo 26 katika kata 3 ambazo ni Tandale,Mwanyamalana Upanga.Msimu huu wa pili wa Kijiwe Cha Kahawa, TIBA tunashirikianapamoja na Mema Tanzania katika kutekeleza mradi wilaya yaKinondoni na ukanda wa Pwani kwa ujumla. Mchaka mchaka waKijiwe cha Kahawa uliendelea mtaa wa Tandale Mashuka, tulikutanana waswahili wenzetu kujadili "Rasilimali katika kukabiliana namabadiliko ya tabia, Je, zinafahamika katika jamii"?

Toleo Na. 03

Kahawa

September 2021

E-Newsletter

"Eimu bado hatuna, hiyo COP26 umeisema hapa ndio

nimeisikia leo. Mje mara kwa mara mtupe eimu" - Hadija

TIBA ni taasisi isiyo ya kiserikali wala kupata faida inayolenga

kubadilisha maisha ya wanawake,vijana na watoto,kwa kutumia

njia shirikishi katika jamii kwa kutumia vyombo vya

habadi,technologia na sanaa.

TIBA imejikita katika kuhakikisha inamuinua mwanamke na kuleta

usawa wa kijinsia,kutoa elimu na kufanya ushawishi katika

masuala ya afya ya uzazi kwa vijana, kungazia athari zinazoletwa

na mabadiliko ya tabia nchi na uharibifu wa mazingira,elimu

shirikishi kwa wasichana na watu wenye ulemavu.

Kijiwe Cha Kahwa ni mradi unaolenga kuongeza ushirikishwaji wa

wanaume katika masuala ya jinsia na maendeleo ikiwemo

mabadiliko ya tabia ya nchi,afya ya uzazi kwa vijana,kuzuia ukatili

wa kijinsia,usawa wa kijinsia ,ushiriki wa wanawake katika masuala

ya ulianzi na amani. ambayo huathiri ustawi wa wanawake na

watoto, na wanaume wenyewe.

Kupitia vijiwe vya kahawa, TIBA imekuwa ikifanya mijadala na

wanaume pamoja na wanawake wachache ili kuibua changamoto na

kuzitafutia ufumbuzi wa pamoja. Msimu huu wa pili wa Kijiwe Cha

Kahawa, kwa kipindi cha miaka miwili 2019 TIBA imefikia wanawake

2750,wanaume 2852,na vimetengezza wanaume vinara wa jinsia 55

katika midahalo 26 katika kata 3 ambazo ni Tandale,Mwanyamala

na Upanga.

Msimu huu wa pili wa Kijiwe Cha Kahawa, TIBA tunashirikiana

pamoja na Mema Tanzania katika kutekeleza mradi wilaya ya

Kinondoni na ukanda wa Pwani kwa ujumla. Mchaka mchaka wa

Kijiwe cha Kahawa uliendelea mtaa wa Tandale Mashuka, tulikutana

na waswahili wenzetu kujadili "Rasilimali katika kukabiliana na

mabadiliko ya tabia, Je, zinafahamika katika jamii"?


Tandale Wafunga Pazia

Mtandaoni Hatukuboi

Kuelekea kijiweni, huwa tunafanya mjadala mtandaoni ili kupata mtazamo wa watu wengine ambao hawawezi kuhudhuria kijiwe cha

kahawa. Tarehe 27 Septemba, tulijumuika na Sarah Pima katika Club House kujadili 'Mkutano wa COP26 na Nafasi ya Jamii katika

Mikutano ya Kimataifa ya Mabadiiko ya Tabia Nchi? Mjadala ulianza saa 3 usiku mpaka saa 5 usiku. Jumla ya watu 16 walishiriki katika

Kijiwe Cha Kahawa Room. Chini tumekushushia mitazamo kutoka kwa wazungumzaji wa siku hiyo.


"Nawashukuru kwa miezi mitatu mmekuwa pamoja na sisi. Yale

wananchi waliyopendekeza mimi na wenzangu tutayafanyia kazi.

Niwaombe yale mambo ya kitaalamu mje mtupe msaada."

Khatib Kibwana - M/Kiti Mtaa wa Tandale kwa Tumbo

05

AUG

09

SEP

Mwezi Septemba, tuliendelea kufikia vijiwe vya kahawa vilivyopo mtaa wa Tandale kwa Tumbo.

Mada iliyojadiliwa ni "Mkutano wa COP26 na Nafasi ya Jamii katika Mikutano ya Kimataifa ya

Mabadiiko ya Tabia Nchi".Kazi zifuatazo ziliambatana na utekelezaji wa sehemu hii ya tatu ya

mradi

Vyombo vya

Habari

30

SEP

Tandale

Club House

27

SEP

05

OCT

Mafanikio ya Kijiwe cha Kahawa

yanaendana na ushirikiano wa karibu na

vyombo vya habari. Mkurugenzi wa TIBA,

Marcela Lungu alialikwa redio ya TIMES

Fm kuzungumzia mradi wa Kijiwe cha

Kahawa siku ya tarehe 5 August. Pia

Hassan Kiyungi, mkurugenzi wa Mema

Tanzania alipata mwaliko kutoka Mlimani

Tv kuzungumzia mabadiiko ya tabia nchi

kuelekea mkutano wa COP26.

Hii ndio ilikuwa siku yenyewe ya kijiwe.

Tulijumuika na wadau wa kijiwe cha

Tandale kwa Tumbo. Zaidi ya watu 49

walishiriki katika mjadala. Maoni na

mitazamo ya watu ilikuwa tofauti

kulingana na uelewa wao. Watu walitoa

maoni tofauti kuhusu nafasi ya jamii

katika mikutano ya kimataifa ya

mabadiiko ya tabia nchi

Kabla na baada ya kwenda

Tandale, tulifanya mjadala katika

mtandao wa Club House. Mijadala

hii ina lengo la kuchukua mitazamo

ya watu kabla ya kwenda kijiweni

na kufanya tathmini tulichojifunza

baada ya kutoka kijiweni. Mpaka

sasa club ya kijiwe ina wafuasi zaidi

ya 300. Jumla ya watu 45 walishiriki

katika mijadala ya club house.


JE,

WAJUA

TIBA (Transformative and Intergrative Buildout for All) ni taasisi

isiyo ya kiserikali iliyoanzishwa na vijana mwaka 2015 kama taasisi

ya kijamii na kisha kupata usajili nambari ooNGO/0009488 mwaka

2018 chini ya sheria ya msajili wa NGO kwa lengo la kuleta mabadiliko

katika jamii kwa kuanzisha programu endelevu zitakazowezesha na

kubadilisha maisha ya wanawake, watoto na vijana.

Lengo

Lengo kuu ni kuwa na wanawake, vijana na watoto wanaojitegemea kijamii na

kiuchumi na kuchangia katika maendeleo ya taifa.

Dira

Kuwa na kizazi cha wanawake, watoto na vijana chenye fursa na ndoto sawa.

Dhamira

Kuwezesha kila Mwanamke, mtoto na kijana kuwa na nafasi ya kufikia uwezo

kamili katika nyanja za maisha.

Agenda Zetu

Usawa wa Kijinsia na Uwezeshaji Wanawake

Afya ya Uzazi kwa Vijana

Elimu Jumuishi kwa watoto wa Kike na Watoto Wenye Ulemavu

Mabadiliko ya Tabia Nchi na Mazingira

Utawala Bora na Uwazi

Mafanikio ya Kijiwe Cha Kahawa 2020

Kuchochea na kuwezesha kiuchumi wauzaji wa wadogo wa kahawa.

Mijadala 26 ilifanyika na kuwafikia wanaume 2,852 na wanawake 2,750.

Wanaume vinara wa jinsia 55 walipatikana kutoka Mwanyamala, Tandale na Upang

Zaidi ya watu 61,000 walifikiwa mtandaoni kipindi cha COVID19

Jukwaa la mtandaoni lilianzishwa kwa ajili ya uendelevu wa mradi.

Wanawake 30 walipewa mafunzo ya urejeshaji taka na jinsia kutoka kata ya Mwana


Kahawa

@MemaTanzania

TUFUATE:

@TIBA Tanzania

@tibaofficialpage

@Tiba_Tanzania

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!