21.03.2020 Views

HISTORIA YA KANISA I DBT 2019 PRINT

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Ni matumaini yangu kuwa mambo yote uliyojifunza katika kozi hii yatakuwa chachu ya

kukufanya usimame katika nafasi yako ya kiutumishi na kumtumikia Bwana Yesu sawa

sawa na agizo lake.

Mungu anamtaka kila kiongozi asimame kwa miguu yake mwenyewe katika utumishi

Bwana aliomuitia.

Ezekieli 2:1 Akaniambia, mwanadamu simama kwa miguu yako, name nitasema nawe.

Kumbuka kuwa utumishi huu hatuufanyi kwa nguvu zetu wenyewe bali kwa kuwezeshwa

na Mungu mwenyewe.

(Zekaria 4:6) “Si kwa uwezo, wala si kwa nguvu, bali ni kwa roho yangu, asema Bwana

wa majeshi.”

1Wakoritho 2:4 Na neno langu na kuhubiri kwangu hakukuwa kwa maneno ya hekima

yenye kushawishi akili za watu, bali kwa dalili za Roho na nguvu, ili imani yenu

isiwe katika hekima ya wanadamu, bali katika nguvu ya Mungu.

Simama katika kweli ya Mungu na acha Mungu akutumie mwenyewe kama apendavyo.

PICHA ZA BAADHI YA WANAMATENGENEZO MAARUFU WA KANISA

Ulrich Zwingli Dr. Martin Luther John Carvin John Knox

58

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!