You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Ni matumaini yangu kuwa mambo yote uliyojifunza katika kozi hii yatakuwa chachu ya
kukufanya usimame katika nafasi yako ya kiutumishi na kumtumikia Bwana Yesu sawa
sawa na agizo lake.
Mungu anamtaka kila kiongozi asimame kwa miguu yake mwenyewe katika utumishi
Bwana aliomuitia.
Ezekieli 2:1 Akaniambia, mwanadamu simama kwa miguu yako, name nitasema nawe.
Kumbuka kuwa utumishi huu hatuufanyi kwa nguvu zetu wenyewe bali kwa kuwezeshwa
na Mungu mwenyewe.
(Zekaria 4:6) “Si kwa uwezo, wala si kwa nguvu, bali ni kwa roho yangu, asema Bwana
wa majeshi.”
1Wakoritho 2:4 Na neno langu na kuhubiri kwangu hakukuwa kwa maneno ya hekima
yenye kushawishi akili za watu, bali kwa dalili za Roho na nguvu, ili imani yenu
isiwe katika hekima ya wanadamu, bali katika nguvu ya Mungu.
Simama katika kweli ya Mungu na acha Mungu akutumie mwenyewe kama apendavyo.
PICHA ZA BAADHI YA WANAMATENGENEZO MAARUFU WA KANISA
Ulrich Zwingli Dr. Martin Luther John Carvin John Knox
58